CHADEMA hatutaki maandamano yenu Jumatatu kumpokea Lissu, tuko katika msiba mkubwa wa kitaifa wa Marehemu Benjamin W. Mkapa

Mwambieni atue na ndege pale ufipa, jnia iko bize na wageni wa nje. Mkampokee hapo
 
Wewe Kama nani
 
Swadakta....

Huwenda wakawa pia na KOLABO na Yale ya wanafunzi wa VYUO kuelekea BODI YA MIKOPO......

Tuko msibani kwa siku 7....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…