Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

Amani Msumari Unaelewa kuwa Magufuli alikuwa anabeti roho za Watanzania na alikuwa ameshaanza kuzika watu usiku wa manane ila kilichookoa jahazi ni kwamba Corona haikuzipiga nchi za Afrika kama ilivyopiga Ulaya,Asia na Marekani?

Unaelewa kuwa Corona ingekuwa serious hapa Afrika kama ilivyokuwa serious Italy Watanzania wangeisha?Unaelewa kuwa Alichofanya Magufuli siyo kupambana na Corona bali ilikuwa ni kutoa watu sadaka na ponea yetu ilitokana na Corona kutoiathiri sana nchi za Afrika?Unaelewa kuwa kilichotuokoa na Corona siyo Magufuli bali ilitokana na Corona kutokupiga sana nchi za Afrika kama ilivyopiga Asia,Ulaya na Marekani?Unawezaje kumsifu Rais aliebeti rohoo za watu?!Una akili timamu?!

Kama Magufuli hakubeti rohoo zetu na alitumia mbinu nzuri sana kupambana na corona ni kwa kivipi mbinu aliyoitumia kuzuia Corona Tanzania ingetuvusha salama kama ingetokea Corona ingezipiga nchi za Afrika Kama ilivyozipiga nchi za Asia,Ulaya na Marekani?Kwa sababu hakuna ambae alikuwa anajua kuwa Corona haitaishambulia sana Afrika,hata WHO walikuwa hawajui
 
Tahadhari gani! Kukimbia vikao vya bunge kwenda kulewa hadi kuvunja miguu?!
Kulewa na kuvunjika miguu hizo ni shughuri binafsi. Kama mikusanyiko ilikatazwa na bunge ilikua ni sehemu ya mikusanyiko sioni shida kwa upande wao maana ilikua ni kuchukua tahadhari
 
Unaelewa kuwa Magufuli alikuwa anabeti roho za Watanzania na alikuwa ameshaanza kuzika watu usiku wa manane ila kilichookoa jahazi ni kwamba Corona haikuzipiga nchi za Afrika kama ilivyopiga Ulaya,Asia na Marekani?

Unaelewa kuwa Corona ingekuwa serious hapa Afrika kama ilivyokuwa serious Italy Watanzania wangeisha?Unaelewa kuwa Alichofanya Magufuli siyo kupambana na Corona bali ilikuwa ni kutoa watu sadaka na ponea yetu ilitokana na Corona kutoiathiri sana nchi za Afrika?Unaelewa kuwa kilichotuokoa na Corona siyo Magufuli bali ilitokana na Corona kutokupiga sana nchi za Afrika kama ilivyopiga Asia,Ulaya na Marekani?Unawezaje kumsifu Rais aliebeti rohoo za watu?!Una akili timamu?!

Kama Magufuli hakubeti rohoo zetu na alitumia mbinu nzuri sana kupambana na corona ni kwa kivipi mbinu aliyoitumia kuzuia Corona Tanzania ingetuvusha salama kama ingetokea Corona ingezipiga nchi za Afrika Kama ilivyozipiga nchi za Asia,Ulaya na Marekani?Kwa sababu hakuna ambae alikuwa anajua kuwa Corona haitaishambulia sana Afrika,hata WHO walikuwa hawajui

hapa ndo umefikiria mpaka mwisho? magufuli ni PHD holder wa kemia, na alishatoa sababu kwann corona ni ya kupuuuzwa kisayansi, yeye mwenyewe alikua mstari wa mbele kuambia watu waache kuvaa barakoa kuanzia makanisan mpaka hadharani sasa unaongea nn?

corona ni weak virus with less minimum effect to a healthy body, its an oil virus ukiwa na joto zuri hupati corona sasa wewe endelea kumuiga yule binti mdomo wenu kuongea pumba
 
hapa ndo umefikiria mpaka mwisho? magufuli ni PHD holder wa kemia, na alishatoa sababu kwann corona ni ya kupuuuzwa kisayansi, yeye mwenyewe alikua mstari wa mbele kuambia watu waache kuvaa barakoa kuanzia makanisan mpaka hadharani sasa unaongea nn?

corona ni weak virus with less minimum effect to a healthy body, its an oil virus ukiwa na joto zuri hupati corona sasa wewe endelea kumuiga yule binti mdomo wenu kuongea pumba

Mkuu wangu twende taratibu!Hizo experiments zinazothibitisha kuwa Corona ni weak virus inayoyeyuka kwenye joto alifanya lini na wapi?Kwa sababu duniani kote kila kitu huwa kinakuwa proved kupitia research/experiments na wala siyo kupitia porojo.

Kwa sababu Kuongea huko bar au kanisani au kwenye michezo ya bao kuwa corona ni weak virus inayoyeyuka kwenye joto bila kuthibitisha kupitia experiments au tafiti ni inakuwa ni porojo za maji taka.
 
Mkuu twende taratibu!Hizo experiments zinazothibitisha kuwa Corona ni weak virus inayoyeyuka kwenye joto alifanya lini na wapi?Kwa sababu duniani kote kila kitu huwa kinakuwa proved kupitia research/experiments na wala siyo kupitia porojo.

Kwa sababu Kuongea huko bar au kanisani au kwenye michezo ya bao kuwa corona ni weak virus inayoyeyuka kwenye joto bila kuthibitisha kupitia experiments au tafiti ni inakuwa ni porojo za maji taka.

unajua maaana ya PHD? mtu anaefanya PHD hua ni mtu wa practical masomo yake yote kuanzia kufanya reasearch, sasa yeye ni PHD holder wa chemia, chemistry kama hukusoma, inadeal na kemikali zozote duniani

2) virus hata kuonekana kwa macho haiwezekani unataka aonyeshe nn sasa kwa mfano? wewe ulitaka afanyaje zaidi ya kutumia elimu yake kufanya mamauzi?
3) Kumbukuka Lissu alivokua form 3, yeye alichukua HGE, yaani ARTS, michezo! sasa yeye anachojua ni michezo unataka umlinganishe vp na magufuli sasa
 
unajua maaana ya PHD? mtu anaefanya PHD hua ni mtu wa practical masomo yake yote kuanzia kufanya reasearch, sasa yeye ni PHD holder wa chemia, chemistry kama hukusoma, inadeal na kemikali zozote duniani

2) virus hata kuonekana kwa macho haiwezekani unataka aonyeshe nn sasa kwa mfano? wewe ulitaka afanyaje zaidi ya kutumia elimu yake kufanya mamauzi?
3) Kumbukuka Lissu alivokua form 3, yeye alichukua HGE, yaani ARTS, michezo! sasa yeye anachojua ni michezo unataka umlinganishe vp na magufuli sasa
Nakupinga kwa kutumia logic moja.Kule WHO kuna PhD za kila aina katika ulimwengu wa chemistry,madawa,tafiti na afya pamoja na maprofesa.Sasa kama ni kweli kuwa corona ni virus dhaifu ambae huwa anazinguliwa na joto basi WHO wangetoa taarifa kuwa Afrika itakuwa salama kwa sababu ni eneo la joto lakini badala yake WHO walitoa taarifa kuwa Afrika maiti zitatapakaa mitaani(Kila mtu anakumbuka hili).

Hii inathibitisha kuwa kauli za Magufuli kwamba Corona ni virus dhaifu anaeyeyuka kwenye joto zilikuwa ni porojo na propaganda za maji taka wala siyo scientific fact.
 
Sina haja ya kusoma porojo zoote hizo,kifupi ni "ukibwetere" unakusumbua.Magufuli ni kibwetere anayeangamiza "wajinga". Endelea kumfuata!
 
Nafurahi issue ya corona haikua na imapct kubwa sana kwetu. Ila kama ingevamia basi tungepukutika kama kuku wa mdondo.

Mnamuoma anko mshindi lakini mimi namuona ni mtu mwenye roho mbaya asiyejari maisha ya wengine


Wakikuelewa unitag.
Issue Mungu alituhurumia sana yeye alikimbia kwenda free zone huko Chato tena kwa kukimbia haswa. Bungeni walipukutika kama majani na mwishowe akaja akaondoka mzee Mkapa lakini hakuna atakaelewa hili
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nakupinga kwa kutumia logic moja.Kule WHO kuna PhD za kila aina katika ulimwengu wa chemistry,madawa,tafiti na afya pamoja na maprofesa.Sasa kama ni kweli kuwa corona ni virus dhaifu ambae huwa anazinguliwa na joto basi WHO wangetoa taarifa kuwa Afrika itakuwa salama kwa sababu ni eneo la joto lakini badala yake WHO walitoa taarifa kuwa Afrika maiti zitatapakaa mitaani(Kila mtu anakumbuka hili).

Hii inathibitisha kuwa kauli za Magufuli kwamba Corona ni virus dhaifu anaeyeyuka kwenye joto zilikuwa ni porojo na propaganda za maji taka wala siyo scientific fact.


Watu tuu huwa hawataki kuelewa kwamba mafua huwa ni tishio haswa kwa wenzetu tofauti na sisi immune yetu ni tofauti pia. so hapo ndio tunapowazidi ona hata huko Kenya na Uganda mbona hakuna vifo vinatangazwa zaidi ya wagonjwa na kiuhalisia hata hapa Tanzania wapo
 
Watu tuu huwa hawataki kuelewa kwamba mafua huwa ni tishio haswa kwa wenzetu tofauti na sisi immune yetu ni tofauti pia. so hapo ndio tunapowazidi ona hata huko Kenya na Uganda mbona hakuna vifo vinatangazwa zaidi ya wagonjwa na kiuhalisia hata hapa Tanzania wapo
No!WHO ni wabobezi wa research(wadau wa tafiti za magonjwa,dawa na kinga) za magonjwa mbalimbali na huwa wanafanya tafiti ya magonjwa yote kila mahali duniani bila kubagua eneo.Ingekuwa ni kweli kuwa corona virus huwa haina nguvu katika sehemu za joto na ni mafua ya kawaida basi wangekuwa na hiyo scientific fact.
 
Kuhusu Corona tusiwalaumu sana CHADEMA. Wao walifuata ushauri wa wataalamu wa afya kuwa unatakiwa ujilockdown kwa wiki mbili kama utaona kuna dalili za ugonjwa huo. Kwa kipindi hicho huko Bungeni kuna wabunge wetu walifariki na haikuwekwa wazi chanzo cha hivyo vifo. Hiyo ilikuwa ni kuchukua tahadhari tahadhari tu.
 
Kwani wao ndo walikuwa wanasimamia wizara ya afya hadi wapimwe kwa corona. Mbona mgombea wenu alikimbia Ikulu zaidi ya miezi mitatu amefichama kijijini kama alikuwa haogopi sasa alikwenda kufichama nini.
Kufichama ni mtazamo wako. Sijajua ni kwanini hamsumbui ubongo kuwaza. Yan chochoyr wanachosema viongozi wenu mnaaamini. Chato ni sehemu ya Tanzania nako pia korona ilikuwepo hivyo haiingii akikini kusema alikimbia. Angewezaje kubaki ikulu Dar na kujificha. Isitoshe Dar Kuna huduma bora za afya kuliko Chato. Jiongezeni.

CHADEMA hawana wizara kamili ya afya ila Kama chama kikuu cha upinzani wana wizara kivuli pia wanatakiwa waoneshe sera mbadala
 
No!WHO ni wabobezi wa research(wadau wa tafiti za magonjwa,dawa na kinga) za magonjwa mbalimbali na huwa wanafanya tafiti ya magonjwa yote kila mahali duniani bila kubagua eneo.Ingekuwa ni kweli kuwa corona virus huwa haina nguvu katika sehemu za joto na ni mafua ya kawaida basi wangekuwa na hiyo scientific fact.


Hilo nakubaliana na wewe na Africa kweli kuna joto lakini sio sehemu zote zina joto pia. Nachojaribu kusema ni kwamba immune ya Waafrica wengi kwenye mafua huwa ni kubwa
 
Hilo nakubaliana na wewe na Africa kweli kuna joto lakini sio sehemu zote zina joto pia. Nachojaribu kusema ni kwamba immune ya Waafrica wengi kwenye mafua huwa ni kubwa
Mimi point yangu ambayo nilikuwa nafafanua hapa ni kwamba suala la Magufuli kusema kuwa Corona ni virus dhaifu ambae huwa anayeyuka kwenye joto haikuwa ni scientific fact bali ilikuwa ni porojo.
 
Nani achague mataputapu?. Yani hata JPM akitaka ateue mbunge kule atateua nani?. Hakuna chama cha hovyo kabisa kama CHADEMA.
 
Nakupinga kwa kutumia logic moja.Kule WHO kuna PhD za kila aina katika ulimwengu wa chemistry,madawa,tafiti na afya pamoja na maprofesa.Sasa kama ni kweli kuwa corona ni virus dhaifu ambae huwa anazinguliwa na joto basi WHO wangetoa taarifa kuwa Afrika itakuwa salama kwa sababu ni eneo la joto lakini badala yake WHO walitoa taarifa kuwa Afrika maiti zitatapakaa mitaani(Kila mtu anakumbuka hili).

Hii inathibitisha kuwa kauli za Magufuli kwamba Corona ni virus dhaifu anaeyeyuka kwenye joto zilikuwa ni porojo na propaganda za maji taka wala siyo scientific fact.

1) WHO sio Mungu
2) Ziko wap izo maiti kwenye bahari?
3) una taarifa WHO wametimuliwa marekani?
4) Hio hoja kwamba corona inayeyuka kwenye joto sio ya magufuli, hio ndo fact!! infact sio lazima joto but ukiwa mtu wa afya nzuri u can get it na hata usijue unayo
5) je unajua mafua yanaua watu million ngap duniani kila mwaka? vp mafua hakuna tanzania?
 
Back
Top Bottom