Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

umesoma arts ama science?
- Chemistry ni universal subject, ulichosoma Tanzania ndo kilichopo sehem zingine duniani hakuna chemia ya watanzania na kemia ya WHO:
- kama sulphuric acid(H2SO4) inaunguza mbao , tanzania na WHO itafanya ivo ivo, ndo maaana wanasayansi ni muungani dunia nzima sio shirika la WHO

- Nkupe mfano, ulishawahi kuskia mpemba effect?
Hujanielewa ndugu!Mimi sipingani na Chemistry ya Magufuli.Mimi nazungumzia uhalali wa tafiti ya Magufuli kuwa Corona ni virus dhaifu na huyeyuka kwenye joto.Unaelewa kuwa kwa mfano mimi leo hii nikigundua dawa ya ukimwi lakini WHO wakakataa kuipitisha hiyo dawa itakuwa siyo kitu wala siyo chochote hapa duniani na itapigwa pini kuuzwa na kutumika popote pale?
 
We fala. Kipimo kimoja cha Corona unafikaje nacho conclusion? Hata kama ni MEMKWA huwezi kuwa fala namna hiyo.
 
Kuhusu Corona tusiwalaumu sana CHADEMA. Wao walifuata ushauri wa wataalamu wa afya kuwa unatakiwa ujilockdown kwa wiki mbili kama utaona kuna dalili za ugonjwa huo. Kwa kipindi hicho huko Bungeni kuna wabunge wetu walifariki na haikuwekwa wazi chanzo cha hivyo vifo. Hiyo ilikuwa ni kuchukua tahadhari tahadhari tu.

We fala. Kipimo kimoja cha Corona unafikaje nacho conclusion? Hata kama ni MEMKWA huwezi kuwa fala namna hiyo.
Shukrani kwanza kwa kutambua kuwa CHADEMA waliboronga kweby ishu ya korona. Huo nao ni ujasiri kukiri udhaifu.

Madhaifu yapo mengi Ila mimi nimeona nidili na hilo kwa leo
 
Hebu tuwe wakweli wa nafsi zetu. Hivi kwenye issue ya corona jambo gani kubwa ambalo serikali ililifanya katika kupambana na corona tunaweza kisifia?
 
Hebu tuwe wakweli wa nafsi zetu. Hivi kwenye issue ya corona jambo gani kubwa ambalo serikali ililifanya katika kupambana na corona tunaweza kisifia?
Mambo mengi mno ndugu yangu.

Kwanza ilichukua hatua ya kutoa elimu kwa umma Kuhusu ugonjwa wa korona hata kabla hajjathibitishwa kupatikana mgonjwa mwenye maambukizi ya covid-19.

Baada ya kuthibitishwa kuwa ugonjwa huo upo nchini. Serikali iliutangazia umma Kuhusu Jambo hilo, ikaelekeza hatua za kuchukua katika kujikinga. Ili kuepusha maamvukizo na pengine maafa ambayo yangeweza kutokea, shule na vyuo vyote vikafungwa.

Serikali ilishirikiana na wadau mbalimbali kutenga vituo vya watu waluoambukizwa na mafunzo kwa wahudumu.

Bado serikali iliitaka NIMR na matabibu wengine kutafuta suluhu kwa janga hilo. Serikali haikusita kutuma ndege kwenda kuchukua dawa kwa waafrika wenzetu pale walipotangaza kupata dawa, what a spirit of pan africanism Magufuli has.

Magufuli alitumia akili kuwataka wataalamu wafanyie majaribio vipimo vya korona. Majibu yaliyotoka wote tunayajua, what a clever president we have.

Mwisho lakini sio kwa umuhimu, Rais Magufuli alituomba watanzania wote tuombe kwa imani zetu ili kusudi kwamba Mungu aingilie Kati

Unataka niendeleee?
 
UkibweterE sina muda nao. KWA AKILI YAKO NA DHATI UNAAMINI CORONA TUMEISHINDA KWA POROJO ZA MAGUFULI? KONTENA LA MADAGASKA LILIPELEKWA WAPI NA MATOKEO YA "UTAFITI WA MAABARA ITEMBEAYO) YA KABUDI YAKO WAPI?
Mwenzenu alipobugia na kupona ndo anawaambia pigeni maombi!!!! VIBWETERE WENGI KWELI! Endeleeni kumfuata.
Kwahiyo n nn kimetuepusha na mkono wa korona?
 
Hujanielewa ndugu!Mimi sipingani na Chemistry ya Magufuli.Mimi nazungumzia uhalali wa tafiti ya Magufuli kuwa Corona ni virus dhaifu na huyeyuka kwenye joto.Unaelewa kuwa kwa mfano mimi leo hii nikigundua dawa ya ukimwi lakini WHO wakakataa kuipitisha hiyo dawa itakuwa siyo kitu wala siyo chochote hapa duniani na itapigwa pini kuuzwa na kutumika popote pale?

sasa wewe unajichanganya! magufuli hajadeal na dawa ya corona! yeye amesema scientifically virus wa corona yukoje na unaweza kumuepuka vp, thats all! hayo mambo ya dawa umesema wewe

-alafu kingine, WHO ni shirika la kusmamia afya duniani sio shirika la dawa! wao hua wanawork na mashirika mbalimbali kwenye kona nyingi za dunia haziwork na mtu mmoja mmoja!

- kingine, WHO sio standard ni imepewa kibali tu cha kuangalia mwenendo duniani
- virus characteristics hua znafanana ndo maanaa zpo kwenye class moja ya virus, meaning wana endana, so kama umedeal na virus practically meaning hata new virus akija its a matter ya kujua weak points zake na kutunga rules, but virus ni virus.

- Pia lazima ujue virus anaitwa COVID-19 sio corona, CORONA ni group ya virus. kwenye hili group wapo aina nyingi sana ya virus wote wapo kwenye group la corona, na wengi wao wanajulikana kabisa mfano: TOROVIRUS, SARS-COV, AVIAN, WHALE CORONA VIRUS W1, BETA CORONA VIRUS and many more plus huyu sasa wa saahv anaitwa COVID-19

- so ukiwa unajifunza kutengeneza treatment you deal with the virus group sio virus mmoja mmoja, ndo maaana ya kufanya PHD means upo practical, so covid ilivokuja ipo kwenye class ya corona, so in sharp unajua kabisa how to handle a virus of this group type, nadhan umenielewa!

-Lastly, dont undermine your strength cause ndo waafrika tuliko!
kuna Theory moja inaitwa Mpemba effect, inadeal na freezing of cold water and hot water, haijawahi kufanikishwa mpaka alipokuja jamaa mmoja anaitwa ERASTO MPEMBA ambae ni mtanzania , hii theory mpaka Aristostle alishindwa kama unajua philosophy lazima unamjua aristotle ama plato ama socrates! wote hawa ndo wana philiospher na wanasayansi wa kwanza kwanza duniani kabla hata ya yesu kuja

- sasa Ilibaki pending mda wote mpaka miaka ya 1960, kipindi icho alikua form 3 aliweza kuprove kwamba hot water freezes faster than cold water, na ikapita dunia nzima na mpaka leo ndo standard ya hot water and cold water freezing! nlikuuliza kuhusu mpemba effect ili nkuelezee your ability as human, mambo ya kusema sjui wazungu mpaka waseme mda umefka sasa tuachane na hizo fikra
 
Hahahaha lakini nchi kuwa na vijana ka 1000 maambukizi ya ujinga na upumbavu yata zagaa....Wabunge wa CCM hawa kujikarantini walikuwa busy tutafuta tiba ya corona bungeni eti??
Nenda kasome tena kuhusu wajibu na majukumu ya mbunge halafu ndio urudi hapa
 
Hebu tuwe wakweli wa nafsi zetu. Hivi kwenye issue ya corona jambo gani kubwa ambalo serikali ililifanya katika kupambana na corona tunaweza kisifia?

nadhan the fact kwamba unajua kwamba unatembea kwa afya bila kuteseka na covid, in mind ukijua nchi zingine maisha yakoje its enough kuishukuru serikali
 
Nimecheka sanaaaa.chadema walikuwa wanashadadia kuwa korona inauwa watu tena wakishtumu serekali ichukue hatue.sasa wao ndio mstari wa mbele bila balokoa wala mafuruko wanayo pata ya wananchi.wamesahau
 
kwenye mkoa wetu vijiji vyote bado!
Uliza viongozi. 50M hazikuja kwa mtindo waliofikiri wengi wa kusema "jamani hela zimeletwa, njooni mchukue" Bali zimetoka kwa njia za mikopo mbalimbali yenye riba nafuu
 
nadhan the fact kwamba unajua kwamba unatembea kwa afya bila kuteseka na covid, in mind ukijua nchi zingine maisha yakoje its enough kuishukuru serikali
Hongera Magufuli, Hongera Ummy Mwalimu, hongera serikali, hongera CCM na hongereni watanzania kwa kuichagua CCM
 
Nimecheka sanaaaa.chadema walikuwa wanashadadia kuwa korona inauwa watu tena wakishtumu serekali ichukue hatue.sasa wao ndio mstari wa mbele bila balokoa wala mafuruko wanayo pata ya wananchi.wamesahau
Matapeli wa kisiasa
 
Inaelekea akili zako sio nzuri au ufahamu wako wa mambo ni finyu . KWANZA kabisa inabidi mshukuru mungu kwa wimbi la corona lililotokea katika nchi nyingi sana za KIafrika ni kama mvua tu za rasha rasha .Fikiria mataifa makubwa yaliyopata janga hili la corona yalivyotetemeka mfano France , German, Italy , Spain ,Brazil na Uingereza . Je TANZANIA tungepata wimbi la corona kama baadhi za hizi nchi tungesalimika. ? . Watu wangekufa kama inzi . Inabidi UMSHUKURU MUNGU wala usichanganye na mambo ya kisiasa . Mimi mwenyewe nimejiona na macho yangu mwenyewe hali ilivokuwa katika nchi hizi zilizoendelea .
Vifaa vya kujikinga hakuna kabisa kwenye mahospitali yetu . Mashine na kupumulia kama vile ventilator na CPAP ni shida tupu . Mshukuru mungu
 
Kuna mtu alikuwa anasunguka ulaya anasema mamia ya watanzania wanakufa lakini leo anafanya kampeni, anapanda mwendokasi, anakwenda kariakoo sokoni , manzese kwenye mitumba, mlimani city na kote kwenye mikusanyiko lakini havai barakoa ukifikiria alikwepa kwenda kwenye kesi yake akisema anajiweka karantini kwa kifupi walipanga kuichafua nchi bila kujali madhara yake
 
Nafurahi issue ya corona haikua na imapct kubwa sana kwetu. Ila kama ingevamia basi tungepukutika kama kuku wa mdondo.

Mnamuoma anko mshindi lakini mimi namuona ni mtu mwenye roho mbaya asiyejari maisha ya wengine
Kwahiyo corona hii hii yenye impact kwa majirani zetu Kenya ndio haina impact hapa Tz?
 
Back
Top Bottom