Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #41
Nani apinge wakati Agitator ameona?Nani achague mataputapu?. Yani hata JPM akitaka ateue mbunge kule atateua nani?. Hakuna chama cha hovyo kabisa kama Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani apinge wakati Agitator ameona?Nani achague mataputapu?. Yani hata JPM akitaka ateue mbunge kule atateua nani?. Hakuna chama cha hovyo kabisa kama Chadema.
Huoni kuwa unajidharau mwenyewe? Umeshasema husoni bandiko lote means hujaelewa nimeandika nn na bado unakomenti. Nyie ndio Aina ya wanachama wa chama cha MboweSina haja ya kusoma porojo zoote hizo,kifupi ni "ukibwetere" unakusumbua.magufuli ni kibwetere anayeangamiza "wajinga". Endelea kumfuata!
Jamaa hawako siriasi kabisaCHADEMA NIWAHUNI WA KUPUUZWA TU KAMA WAHUNI WENGINE WA MTAANI
Hawasikii hawa hata nabii akishuka leoVyuo na shule zilifungwa kuwanusuru wanafunzi, serikali ikahimiza tahadhari zote kama social distancing, kusimamisha mijumuiko kama kwenye matamasha mbalimbali, kutumia sanitizers na barakoa hadi hali ya maambukizi ilipoonekana kupungua sana. Ni hatua gani angechukua zaidi aonekane anawajali wengine?!
Mimi hoja yangu ya msingi ni kwamba WHO ndiyo taasisi iliyopewa jukumu la kupitisha na kutangaza tafiti zote sahihi na halali zinazohusu magonjwa,tiba na kinga.Hatuwezi kuwa na dunia ambayo kila mtu ataibuka na tafiti yake ya uchwara kwa sababu kwa kufanya hivyo itahatarisha maisha ya watu na mfano mzuri ni kilichotokea Madagascar kwenye hii ishu ya Corona.Magufuli wa Madagascar aliibuka na tafiti yake fake matokeo yake wakaishia kupukutika zaidi kwa sababu tafiti hiyo haikuwa imethibitishwa na shirika lililopewa dhamana hiyo.1) WHO sio Mungu
2) Ziko wap izo maiti kwenye bahari?
3) una taarifa WHO wametimuliwa marekani?
4) Hio hoja kwamba corona inayeyuka kwenye joto sio ya magufuli, hio ndo fact!! infact sio lazima joto but ukiwa mtu wa afya nzuri u can get it na hata usijue unayo
5) je unajua mafua yanaua watu million ngap duniani kila mwaka? vp mafua hakuna tanzania?
UkibweterE sina muda nao. KWA AKILI YAKO NA DHATI UNAAMINI CORONA TUMEISHINDA KWA POROJO ZA MAGUFULI? KONTENA LA MADAGASKA LILIPELEKWA WAPI NA MATOKEO YA "UTAFITI WA MAABARA ITEMBEAYO) YA KABUDI YAKO WAPI?Huoni kuwa unajidharau mwenyewe? Umeshasema husoni bandiko lote means hujaelewa nimeandika nn na bado unakomenti. Nyie ndio Aina ya wanachama wa chama cha Mbowe
WEWE NI MIONGONI MWA WAHUNI WA CHADEMA SASA JIBU SWALI CORONA IPO KWA KIWANG AMBACHO CDM WALIZUSHA?Mimi hoja yangu ya msingi ni kwamba WHO ndiyo taasisi iliyopewa jukumu la kupitisha na kutangaza tafiti zote sahihi na halali zinazohusu magonjwa,tiba na kinga.Hatuwezi kuwa na dunia ambayo kila mtu ataibuka na tafiti yake ya uchwara kwa sababu kwa kufanya hivyo itahatarisha maisha ya watu na mfano mzuri ni kilichotokea Madagascar kwenye hii ishu ya Corona.Magufuli wa Madagascar aliibuka na tafiti yake fake matokeo yake wakaishia kupukutika zaidi kwa sababu tafiti hiyo haikuwa imethibitishwa na shirika lililopewa dhamana hiyo.
Kama kuna tiba au tafiti yoyote ile inayohusu Corona ni lazima itangazwe na ipitishwe na mwenye dhamana hiyo, tofauti na hapo hizo nyingine ni porojo za kuhatarisha maisha ya watu.Alichotangaza Magufuli haikuwa ni scientific fact kwa sababu hakuwahi kufanya tafiti hiyo na pia hakuna mtu ambae amewahi kufanya tafiti hiyo na ikapitishwa
Walizusha kivipi?WEWE NI MIONGONI MWA WAHUNI WA CHADEMA SASA JIBU SWALI CORONA IPO KWA KIWANG AMBACHO CDM WALIZUSHA?
walivyo kimbia bungeni kihuni walikuwa na maana ganiWalizusha kivipi?
Mwanzoni hakuna mtu ambae alikuwa anajua kuwa Corona haitazishambulia nchi za Afrika kama ilivyoshambulia nchi za Ulaya,Asia na Marekani. Hata WHO wenyewe walikuwa hawajui.walivyo kimbia bungeni kihuni walikuwa na maana gani
HAKUNA mwana chadema aliyechukua tahadhari, wabunge walitoka bungeni wakaenda kula Bata dar, makonda akasema atawakamata Kama Malaya wanaojiuza, wakatoka mbio kurudi dodoma.Sasa mbona mnawabeza CHADEMA kwa kufuata hatua za tahadhari?
Vijiji vimepata zaidi ya 50MKuna wanavijji huko bado wanasubiri 50M tangu 2015 chama chetu kilivyoingia madarakani. tuanze kujipima sisi wenyewe kwanza!!
Mimi hoja yangu ya msingi ni kwamba WHO ndiyo taasisi iliyopewa jukumu la kupitisha na kutangaza tafiti zote sahihi na halali zinazohusu magonjwa,tiba na kinga.Hatuwezi kuwa na dunia ambayo kila mtu ataibuka na tafiti yake ya uchwara kwa sababu kwa kufanya hivyo itahatarisha maisha ya watu na mfano mzuri ni kilichotokea Madagascar kwenye hii ishu ya Corona.Magufuli wa Madagascar aliibuka na tafiti yake fake matokeo yake wakaishia kupukutika zaidi kwa sababu tafiti hiyo haikuwa imethibitishwa na shirika lililopewa dhamana hiyo.
Kama kuna tiba au tafiti yoyote ile inayohusu Corona ni lazima itangazwe na ipitishwe na mwenye dhamana hiyo, tofauti na hapo hizo nyingine ni porojo za kuhatarisha maisha ya watu.Alichotangaza Magufuli haikuwa ni scientific fact kwa sababu hakuwahi kufanya tafiti hiyo na pia hakuna mtu ambae amewahi kufanya tafiti hiyo na ikapitishwa