Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

Alienda kuonana na ndugu wa marehemu wa watu waliyokufa kwa corona hapa Tz.
 
Wapinzani hawana misimamo na ndio maana wanajikuta wanapinga kila jambo tu,sasa ndio kama hili la Corona yani mtu anapiga kelele weee kwamba sijui watu wanakufa kimya kimya lakini hata yeye haamini jilo suala.
 
Hapo ndio mahali tuna kosea tuna sahau kuwa hata Chadema ina ongozwa na wanadamu wenye miili yenye damu na nyama kama CCm tu. Ukisha kuwa mwanadamu makosa yana weza fanyika tu, kuwa hukumu kwa kosa kama hilo na kusahau hayo mengine mema walio tufungua macho sio sahihi sana. Mtu yeyote yule ana weza fanya uamuzi ukawa sahihi au ukawa na dosari so ni vizuri kukubali makosa pale tunapo kosea na kujirekebisha.
 
Nenda kasome tena kuhusu wajibu na majukumu ya mbunge halafu ndio urudi hapa
Nonsense I dully understand the three arms of government and its core functions....lakini sio wajibu wake kama vile wanafanya wabunge wenu kugonga meza tuu na chorus zawo Ndiyooooooooo!!!!!!!
 
Mimi point yangu ambayo nilikuwa nafafanua hapa ni kwamba suala la Magufuli kusema kuwa Corona ni virus dhaifu ambae huwa anayeyuka kwenye joto haikuwa ni scientific fact bali ilikuwa ni porojo.

Yes ni poroja na kwa sababu sisi Watanzania kufikiri huwa ni kitu cha mwisho mtu hawezi kufikiri zaidi................. na huyo huyo uliyemtaja huwa ana porojo anadhani kila mtu akili yake imedumaa just take simple kuwaambia wafanyabiashara wadogo ile card ya 20k inaweza kukopa bank bima and so...................... Mtu unabaki like seriously? kitu hakina hata jina yaani anyway Mungu atusimamie kwa kweli.
 
Nimefurahi kuona Rais Magufuli amepita humuhumu akiwa Kawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…