Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!


Ukilaza ni subjective hata wewe unaweza kuwa kilaza tu inategemea unasimamia wapi na unaongea na nani......

Nimekuuliza swali ...kama CC ya CHADEMA ilikosea ...Katiba inaainisha ni hatua gani zichukuliwe na muhusika...kukata rufaa kwa ngazi za juu...Je hilo lilifanyika na huyo zito wako?

Au unang'ang'ania kuwa just coz CC did wrong kwa hiyo na huyo zito akafanya wrong.....Pasco wakati mwingine si vyema kujikweza kwa kujua saaaaaana.

Turudi hapa kwenye mada
 
Tuchukulie CC jailkuwa na mamlaka na ilifanya kosa...Muhusika alipaswa kukata rufaa wapi?
Mamlaka ya nidhamu ya NKM ni Baraza Kuu na sio CC. Ilichofanya CC ni udikiteta tuu. Kwa vile CC ndio ilipaswa kuitisha Baraza Kuu, yaani yenyewe ndio ilijigeuza Baraza Kuu, Zitto was left with no options but forced kuiomba mahakama iingilie kati kuilazimisha Chadema kuitisha Baraza Kuu!.

Kwa vile ushahidi wa usaliti na uhaini wa Zitto ulikuwepo, hivi kulikuwa na ugumu gani kuitisha kikao cha Baraza Kuu kimfukuzilie mbali Zitto kihalali?!. Kilichofanywa mwanzo na CC ya Chadema ni haramu, ila kinachofanyika sasa na Chadema kwa Zitto kujifukuzisha kwa kuipeleka Chadema mahakamani ni halali kwa sababu hivyo ndivyo inavyosema katiba ya Chadema , hivyo in totality huku ni kuhalalisha tuu ile haramu ya kumfukuza on the first place, sasa imepatikana sababu safi isiyo na mawaa!, kisheria jambo likiisha kuwa batili, mambo yote yanarudi katika uhalisia wa hali ilivyokuwa kabla ya ule ubatili!, lakini baada ya batili ile uongozi ule umeishapita muda wake, sasa kuna viongozi wapya halali na Chadema inasonga mbele, kuelekea kukabidhiwa nchi!, sisi wana historia tunaoangalia tumetoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi, tukiiangalia Chadema baadhi yake inayofanya, historia inatupa mashaka kama hili dogo tuu wameweza kulifanya hivi, jee hili kubwa la kukabidhiwa nchi itakuwaje?.

Mamlaka ya nidhamu ya Zitto ni Baraza Kuu, CC imejiugeuza ndio hilo Baraza Kuu, huyo Zitto Angeta rufaa wapi?!.

Kuna watu humu wanadhani Zitto alikwenda mahakamani kuomba mahakama kuizuia Chedema isimfukuze!, no way!, Zitto alikwenda mahakmani kuizua CC ya Chadema isimjadili simply because CC ya Chadema haina mamlaka ya kumjadili!. Chombo halali chenye mamlaka ya kumjadili Zitto ni Baraza Kuu!, mpaka sasa bado sijampata mtu yoyote kunieleza ni kwa nini Zitto hakushitakiwa Baraza Kuu ambalo ndicho chombo halali kumhukumu?!. Chadema iliku na kigugumizi gani?!. Ingekuwa hakuna kikao chochote cha baraza kuu labda ingekuwa an excuse, lakini Baraza Kuu limekaa, katika kikao hicho ndio kwanza Chadema sasa ikahalalisha udikiteta wa ile kangaroo court ya CC ya Chadema kwa kukasimu madaraka ya Baraza Kuu la Chadema kwa CC ili ksho na keshokutwa CC ya Chadema ifanye uharamie kama ule kihalali au hata application ya uhramia ule kuhalalishwa retro respectively!.

Nauliza chama chenye kuweza kufanya maamuzi kwa mtindo huu ni chama cha kukabidhiwa nchi?!, jee tusubiri kuikabidhi nchi Chadema kisha ndipo tuje tujute!, au tuisaidie Chadema kuwa tayari kuipokea nchi ndipo tuikabidhi nchi?!.

Kipi ni bora kati ya kinga kabla ya hatari, au majuto ni mjukuu?!.

Pasco
 
Pasco haya CHADEMA haipaswi kukabidhiwa nchi kwa sababu imemtupilia mbali zito

Zito anapaswa kukabidhiwa nchi kwa sababu ni kiongozi mwenye akili,mwadilifu,mtiifu na mwenye sifa zote kuzidi viongozi wote Tanzania.

Ni wakatai sasa wa wananchi kumpatia zito Urais wa Tanzania.

CHADEMA chama cha kidikteta hakimtaki zito.....Demokrasia iko pana zito aende zake

Pasco nikuhakikishie tu...Two wrongs does not make a right....
 
Last edited by a moderator:
kwani udikteta ndoo kitu kipya au? jaribu kuangalia nchi zote ambazo zimepiga hatua kubwa kimaendeleo ni mfumo upi wanatumia kuendesha dola,kwa ufupi ni kwamba katika democrasia kuna makona mengi yanayochelewesha uwajibikaji hivyo ili nchi iendelee ktk kulinda maslahi ya wengi lazima iwe na elements za udikteta kwahiyo udikteta hauepukiki kwa nchi kupiga hatua za kimaendeleo!!!!!!!!
 
Pasco, umeona kwa Mamvi hakulipi umeamua kuja huku kuhara.
Kwa Taarifa yako, hata TFF, Mwanachama wa TFF akipeleka Issue Mahakamani automatically anakuwa amaejivua uanachama.
Mark this

Umekosa hoja na uhalali wa kuchangia, unafananisha chama cha siasa na federation ya vyama vya mpira wa miguu ambayo inapokea maelekezo ya kutunga katiba yake kutoka FIFA? Chadema kilitoa wapi hayo maelekezo? FIFA au na yenyewe ni federation ya saccos fulani fulani? Fikiri kabla ya kuja na povu.
 

i like it
 

Ni aibu kwakweli kufananisha vyama vya siasa na wacheza soka.
 

Udikteta ukifanywa na Chadema ni halali ila upande mwingine ni haramu,Double standard hii.
 

Bahati nzuri,watu wenye weledi huwa hawachagui mtu kwasababu ya chama chake bali huangalia sifa za mtu anayechaguliwa.
 
Last edited by a moderator:

Hivi mshajisahaulisha,Zitto aliomba sana suala lake lifuate utaratibu lakini hakusikilizwa na alipoona kamati kuu inatumia mabavu,ikabidi aende mahakamani ili kulinda haki yake.
 
Hivi mshajisahaulisha,Zitto aliomba sana suala lake lifuate utaratibu lakini hakusikilizwa na alipoona kamati kuu inatumia mabavu,ikabidi aende mahakamani ili kulinda haki yake.

Hapana....unapokea mashtaka ya Kamati kuu kwanza then ndio unakata rufaaa....sio kuzuia kamati kuu kujadili mambo

CHADEMA tunasema kama mnampenda sana zito mfuateni huko aendako mkanywe nae chai

Hatumtakiiiiiiiiiiiiiii
 
Sera na siasa ya CDM bado sana na itakuwa ngumu sana kupewa nchi kuongoza kwa sababu hakuna hata mtu mmoja mwenye uwezo wa kuongoza isipokuwa alikuwa nao ZITO KABWE tu basi, ila hao wengine hawana lolote wanabwabwaja tu.
 

Hoja dhaifu, Nyerere aliwezaje kuunda Serikali yake miaka ile ya 1960'?

Hivi unafikiri kwamba Serikali itaundwa na wale unao waona kama wabubge kwa Sasa pekee? Hata kma jibu ni ndiyo (very minor) UKAWA ina wabunge Wangapi? Mbona wabunge wachache wa UKAWA inaonekana kuwa na hoja zinazo gusa Watanzania kuliko utitili wa upande wa pili?

Nashangaa Serikali iliyopo iliyopo inawaacha watanzania wenye uwezo mkubwa wa kugh'amua vitu wana amua kuokoteza.... katika pangua pangua nyingi tulizo zishuhudia mika ya hivi karibuni!! Aaahhhh kumbe shida ilikuwa ni URAFIIII huyu si mwenzetu!!??? Vibaya hivyo!
 

Nchi si unawapatia hao wasio chukua hatua?!! Acha wakulize na EPA zo ila kesho uije kulalamika oh., eh... lalal!
Magamba yamewakwama, Mafisadi waliotaka kuwangoa leo hii ndiyo wanao wabeba! Magamba bwana, hadi ukakasi..
 
Wanabodi, hii thread ilihusu katiba ya Chadema na udikiteta uliomo ndani yake, jana sula hili limezungumzwa na Aliyekuwa M/Mkiti wa Chadema. Nimefarijika sana kumsoma Arfi akizungumzia kipengele hiki.
Pasco





 
cdm wakipewa nchi hatutaruhusiwa kumsema raisi.hatutaruhusiwa kufanya mikakati ya uchaguzi kabla ya uchaguzi.hatutaruhusiwa kwenda mahakamani mahakama zitafungwa kwenye utawala huu.kwasababu katiba ya cdm yenyewe hazitambui haki ya mtu kwenda mahakamani.

mahakama zote zitafungwa tutahukumiwa na kamati za cdm tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…