Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Hata kama hakuna kipengele hicho ni kwa nini mnatengeneza ufalme ndani ya uongozi wa chama? Na mkipewa nchi mtafanya same thing. Uongozi bora huanzia chamani,leo mmekuwa na vyumba vya mateso na makundi ya utekaji na kumwagia watu tindikali wasiokubaliana na nyie,tukiwapa nchi ukizingatia hazina ya fedha za nchi itakuwa mikononi mwa wachaga walioanzisha chama kwa mapesa yao,tutapona kweli ambapo usalama wa taifa,jeshi kuu na jeshi la polisi litakuwa chini yenu. Hapa nadhani watz tuwe makini. Hawajashika serikali wana vyumba vya mateso,wakishika je itakuwaje?
 
Huyo Lema kishaua na kujeruhi watu wengi huko Arusha na Moshi ati naye ni mbunge. siasa imevamiwa na matapeli
 
Huyo Lema kishaua na kujeruhi watu wengi huko Arusha na Moshi ati naye ni mbunge. siasa imevamiwa na matapeli

R.I.P chacha Wangwe: huyo naye aliuawa na Lema pia. Lema a.k.a mali ya Mungu ni mtu anayeandaliwa kushika kitengo cha Unyama na utesaji endapo miujiza itatokea CDM wakachukua nchi
 
R.I.P chacha Wangwe: huyo naye aliuawa na Lema pia. Lema a.k.a mali ya Mungu ni mtu anayeandaliwa kushika kitengo cha Unyama na utesaji endapo miujiza itatokea CDM wakachukua nchi

Chadema kushika nchi wabunge vichaa kama wakina lema haiwezekani kabisaaa
 
We Pasco sometimes unaniacha hoi.
1.Unajifanya neutral? Kwa hiyo leo unamkana rasmi EL?
2.Haki gani unayoiongelea kutotolewa na mahakama? Nijuavyo huyo unayeficha jina lake,Mwite Mhusika Mkuu(MM) angeshafukuzwa pamoja na akina Mwigamba na Kitila kwa makosa yanayoendana.Yeye kaamua kwenda kutafuta haki mahakamani.Asijadiliwe.Na mahakama imefanya kazi yake,imeona MM hana haki ya kuzuia chama chake kisimjadili.Haki ya kumjadili na kumwadhibu wanayo chama chake.Hapa mahakama haijafanya kazi yake? Imezuiliwa wapi na CHADEMA?
3.Tukiwa wakweli tutakubali kuwa MM amepata alichostahili,tena siku nyingi.

Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba watu wameamua kupotosha kwa makusudi. Wanataka iaminike kwamba ZZK ametimuliwa uanachama CDM kwa kosa la kwenda mahakamani wakati kimsingi yeye alienda mahakamani 'kuzuia asitimuliwe'. Chama chake kilishaamua kumtimua mapema. Hivyo si sahihi kusema kuwa ametimuliwa kwa kuwa ameenda mahakamani. Ilichofanya mahakama ni kuondoa mkono iliokuwa imemkingia asiporomokee huko anakoelekea kwenda...na sasa huyoooo, hana jinsi tena inambidi aende tu maana kinga ya mahakama imeondolewa.
 
R.I.P chacha Wangwe: huyo naye aliuawa na Lema pia. Lema a.k.a mali ya Mungu ni mtu anayeandaliwa kushika kitengo cha Unyama na utesaji endapo miujiza itatokea CDM wakachukua nchi

ID yako ina uhusiano wa karibu na ulichochangia hapa...
 
Rais atakua Mbowe Waziri mkuu Mnyika, Waziri wa sheria-Lisu, Waziri wa Fedha-KOMU, Waziri wa Ulinzi-kilewo Waziri wa mambo ya ndani-Mrema, Waziri wa Fedha atakuwa ile nyumba ndogo ya Mbowe, Wataanzisha Wazara mpya ya Utawala bora na kazi maalumu Hii atapewa LEMA a,k.a Mali ya mungu. Wizara Nyeti zote watapewa wachaga, na vyeo vyeti kama Mkuu wa majeshi, IGP, Mkuu wa Usalama, wa Magereza, uhamiaji, TRA, Gavana wa BOT, katibu mkuu kiongozi, Jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Spika nk watapewa wachaga tu, huko kwengine wataweka wana ukanda wa kasikazini, usiombee Chadema wachukue nchi utajuta kuzaliwa Tz

Hiyo CCM-Maslahi yenye viongozi wakubwa na wengi imefanya nini kwa zaidi ya nusu karne madarakani? Mbona ni hao hao wezi na mafisadi kuanzia juu hadi chini? Mbona bado ni maskini wa kutupwa na hao hao wakubwa wanadai hawajui kwa nini sisi ni maskini? Uko wapi huo uwezo wa chama? Iko wapi hiyo akili kubwa inayotokana na uwingi wa viongozi maridhawa wa CCM? Mbona kila siku kero tu? Hao ambao siyo wachaga mbona wezi tu? Hao kina Chenge, Ngeleja, Tibaijuka, Werema, JK, n.k. ambao si wachaga mbona siyo wasafi?
 
Rais atakua Mbowe Waziri mkuu Mnyika, Waziri wa sheria-Lisu, Waziri wa Fedha-KOMU, Waziri wa Ulinzi-kilewo Waziri wa mambo ya ndani-Mrema, Waziri wa Fedha atakuwa ile nyumba ndogo ya Mbowe, Wataanzisha Wazara mpya ya Utawala bora na kazi maalumu Hii atapewa LEMA a,k.a Mali ya mungu. Wizara Nyeti zote watapewa wachaga, na vyeo vyeti kama Mkuu wa majeshi, IGP, Mkuu wa Usalama, wa Magereza, uhamiaji, TRA, Gavana wa BOT, katibu mkuu kiongozi, Jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Spika nk watapewa wachaga tu, huko kwengine wataweka wana ukanda wa kasikazini, usiombee Chadema wachukue nchi utajuta kuzaliwa Tz

Duh kama ni hivo kaka basi ni majanga matupu bora CCM iendelee kututawala hadi hapo wapinzani watakapo kua vizuri zaidi, mana kwa hiyo list yako ya mawaziri uloipanga sioni kiongozi hapo.
 
ha haaa. viongozi wa ghadhabu.... khalid wamempa magumi na wamemsingizia mambo lukuki. hao ndio cdm ghadhabu ltd.
 
Pasco unajifanya mwerevu lakini ur an empty basket.et nchi ya kidemokrasia kwa mujibu ya katiba ya77 kwa uwezo wako mdogo.toka lini taifa linalo ongozwa na chama kimoja ikawa taifa la ki demokrasia? Nipe mfano hata1?katiba ya77 ni ya kidikteta nandio inalea urais wa kufalme huu.cdm inaujua kuwawajibisha watukutu tofauti ya ccm ya kulindana
 
Ungemalizia ila pasco ni opportunist anaewezwa kulainishwa kwa nyama choma kama zile za mondoli juu mwisho wa mwaka na vijihela kidogo vinavoweza mfanya aishi mjini
 
Duh kama ni hivo kaka basi ni majanga matupu bora CCM iendelee kututawala hadi hapo wapinzani watakapo kua vizuri zaidi, mana kwa hiyo list yako ya mawaziri uloipanga sioni kiongozi hapo.
kwani kwa sasa mauaji yanayofanyika yamesababishwa na CDM, kumbuka mauaji kule Nyamongo, Geita, Mwangosi, Albino, Ally
 
Pasco unajifanya mwerevu lakini ur an empty basket.et nchi ya kidemokrasia kwa mujibu ya katiba ya77 kwa uwezo wako mdogo.toka lini taifa linalo ongozwa na chama kimoja ikawa taifa la ki demokrasia? Nipe mfano hata1?katiba ya77 ni ya kidikteta nandio inalea urais wa kufalme huu.cdm inaujua kuwawajibisha watukutu tofauti ya ccm ya kulindana

Kama ni Ufalume upo Chadema kwani Mbowe atakuwa Mwenyekiti hadi anatembelea Mkongojo, CDM hamjui kumjui kuwajibisha Watukutu Mnalindana sana, Mbowe na Dr Slaa wamekuwa wakifisadi na kufuja pesa za Ruzuku na zile za misaada lakini hakuna wa kuthubutu kuhoji hilo ! Pesa zinaliwa zinaishia Makao makuu tu, kule chini matawini kwenye shina pesa haifiki kabsa, hawa ndiyo Watukutu kwani wanakula pesa za chama na kila anayethubutu kuwahoji humtengenezea Zengwe kisha kumpakazia Usariti na kumfukuza na hata kumuua kama Chacha Wangwe.
 
Mdaa wote Najiuliza kwanini CCM WAMELAUMU SANA WENGINE HADI WANAUMWA KWA SABABU ETI ZITTO KAFUKUZWA,CDM MBONA HAKNA CHA AJABU HAPO,NA ZTO sio dhahabu na hata ingekuwa dhabu ikipotea tunaandaa wengine,CDM NI KIWANDA KINACHOPIKA WATU WAKE,ACHENI KELELE NA VILIO VYENU
 
Ipo siku CCM baada ya kutoka Madarakani miaka kadhaa itakuja kubainika kilikua Chama Bora ukanda huu Wa Afrika mashariki na kati.

Tunawachukia sasahivi kwasababu tumewazoea na tuna hamu ya mabadiriko. Lakini kwa viashiria hivi vya vyama vya upinzani vya Ubabe,kuibaka Demokrasia ndani ya vyama vyao, na kung'ang'ania madaraka naona kwa mbali huko tuendako hali itakuja kuwa mbaya kuliko wakati wowote wa utawala wa ccm.
 
ha haaa. viongozi wa ghadhabu.... khalid wamempa magumi na wamemsingizia mambo lukuki. hao ndio cdm ghadhabu ltd.

Ahadi ni Deni Huyo Kagenzi anawadai ahadi Zao nyingi kwani wakati akiwa Mlinzi wa chacha wangwe Kabla ya kuhamia kwa Slaa, alifanya kazi kubwa ya kumpeleleza Marehemu chacha na kuwapa report zote ambazo Mnyika na Timu yake walizotumia kufanikisha Mauaji ya chacha wangwe. Walifuga JINI kwa Ajili ya kuwazima wapinzani wa ndani ya chama wakaliahidi Ahadi kibao Lakini baada ya kutotimiza Ahadi limeanza kuwatafuna wenyewe, Mkuki kwa nguruwe Lakin kwa binadamu mchungu.
 
Ipo siku CCM baada ya kutoka Madarakani miaka kadhaa itakuja kubainika kilikua Chama Bora ukanda huu Wa Afrika mashariki na kati.

Tunawachukia sasahivi kwasababu tumewazoea na tuna hamu ya mabadiriko. Lakini kwa viashiria hivi vya vyama vya upinzani vya Ubabe,kuibaka Demokrasia ndani ya vyama vyao, na kung'ang'ania madaraka naona kwa mbali huko tuendako hali itakuja kuwa mbaya kuliko wakati wowote wa utawala wa ccm.
Ni ndoto kusema kuwa CCM itang'oka hivi karibuni kwani watu hawana imani na chadema kwa 100% kutokana na kukumbatia Ukabila, Ukanda na Udini japo wanazuga kuweka watu wachache wa kabila zingine Lakin hawana Maamuzi ya mwisho, wenye maamuzi ni wachaga tu, Chadema kuna Ubabe na Udikiteta mkubwa kila anayethubutu kuhoji Ufisadi na Ufujaji wa pesa za chama hufukuzwa kama Zito au kuuawa kama chacha wangwe.
 
Back
Top Bottom