Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Wanabodi!.

NB. Kwa msisitizo: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote, kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Hili hata ukilirudia 70x70 bado litabaki kuwa unafiki-mistari ya hoja zako zinajieleza-kuwa ni shabiki wa kisiasa labda kwa asiyelewa.


Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.

Iwe Katiba mpya au marekebisho je siyo halali?

Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Kinachonishanga sijaona mahali ukihoji maelezo ya JJMnyika kuwa PTA walifanya nini na je ulikuwa Mkusanyiko halali na ulijadili Katiba?

 
ndugu yangu Pasco, huko siku za nyuma ulishawahi sema hapa jamvini kuwa eti sisi Watanzania ni waoga, goigoi na tunapelekeshwa tu na watawala hata kwenye mambo muhimu yanayogusa mustakabali wetu sisi wananch wenyewe.

fair enough. I second this observation myself, albeit painfully.

sasa wanatokea watu wenye mind-set nyingine na kutuletea matumaini tofauti ya hawa watawala waliopo lakini wewe inaonekana unafanya sudden U-turn na kutaka kuwajaza hofu wananchi walewale uliowaponda kuwa wanaburuzwa wasikubali mind-set mpya.

this I don't second.

huwa unaandika michango mingi humu jamvini (bitter and sweet) kwa kivuli cha "mtu asiyefungamana na itikadi yoyote ya kisiasa" lakini mimi binafsi honestly nimeshindwa kufahamu unasimamia nini haswa.

unapokuwa mchangiaji mkubwa kwenye "public" domains kama JF kama ufanyavyo, utambue kuwa unajenga legacy fulani. but, swali gumu kwangu kwa sasa kuhusu Pasco wa JF ni.....what legacy is he living now which he is going to leave behind eventually?
 
ndugu yangu Pasco, huko siku za nyuma ulishawahi sema hapa jamvini kuwa eti sisi Watanzania ni waoga, goigoi na tunapelekeshwa tu na watawala hata kwenye mambo muhimu yanayogusa mustakabali wetu sisi wananch wenyewe.

fair enough. I second this observation myself, albeit painfully.

sasa wanatokea watu wenye mind-set nyingine na kutuletea matumaini tofauti ya hawa watawala waliopo lakini wewe inaonekana unafanya sudden U-turn na kutaka kuwajaza hofu wananchi walewale uliowaponda kuwa wanaburuzwa wasikubali mind-set mpya.

this I don't second.

huwa unaandika michango mingi humu jamvini (bitter and sweet) kwa kivuli cha "mtu asiyefungamana na itikadi yoyote ya kisiasa" lakini mimi binafsi honestly nimeshindwa kufahamu unasimamia nini haswa.

unapokuwa mchangiaji mkubwa kwenye "public" domains kama JF kama ufanyavyo, utambue kuwa unajenga legacy fulani. but, swali gumu kwangu kwa sasa kuhusu Pasco wa JF ni.....what legacy is he living now which he is going to leave behind eventually?
Mkuu M-Mbabe, kwanza asante kwa bandiko hili, naomba kukiri kuwa nimeguswa!. Kiukweli kabisa from the botom of my heart sina chama ila ni mshabiki wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, hivyo kuunga mkono juhudi zozote za upinzani kuongeza idadi ya wabunge bungeni for the balance of power!.

Pasco wa jf, anasimamia demokrasia ya kweli, haki na usawa!.

Tukubali tukatae, Chadema ndicho chama pekee cha upinzani tegemeo kwa Tanzania bara, kimefika hapo kilipo kwa collective efforts za watu wengi, hata mimi binafsi nikiwemo. Miongoni mwa wengi hao ni Zitto Zuber Kable ambae ni force to reckon with!, ilipoibuka dhana ya usaliti kwa ule waraka wa mabadiliko, mimi nimeusoma waraka ule, kiukweli kabisa una hoja za msingi!. Chadema wakauita ni uhaini wenye lengo la kufanya mapinduzi, mimi nikauta ni "the winning coalition" kwa uchaguzi wa ndani, ambapo viongozi wangebadilishwa kwa lobbying and advocacy kupitia uchaguzi wa ndani, viongozi vilaza wa Chadema wakang'ang'aniza ni mapinduzi!.

Haya na tusema kweli ni usaliti, mpaka leo mpaka kesho bado sijafahamu kwanini Chadema wachukue hatua za papara kinyume cha katiba yake?!. Zitto alipokwenda mahakamani niliamini 100% atashinda!, aliposhindwa ile kauli ya kumfukuza kama mbwa ndio ikanishitua na kilele cha udikteta wa Chadema, lengo ni kuwarudisha Chadema back on the tracks za kufuata sheria, taratibu na kanuni!.

Japo I'm no body, bath najua baadhi ya hoja zangu sio nothing, na positive results huwa ninaziona, likiwemo hili la udikiteta, sasa hapa Chadema ndio nitakufa nao!.

Vipengele kandamizi lazima vingolewe kwenye katiba ya Chadema, ili kule mbele tufike salama!. Kama hapo walipo tuu ni chama na tayari kile 'chumba' wanacho!, wakishika dola yenye 'torture chembers!', si ni kule Isanga wale jamaa wataajiriwa tena!.

Pasco
 
Hatari gani unayoiongelea Pasco,Mbona tupo utawala wa kidikteta tayari? Ama u dikteta ni nini? Kama watu wanauwawa,vitisho na vyombo vya Usalama kutumikia amri za watu na waziri mkuu kuamuru watu wapigwe..Tupo katika udikteta tayari labda kama udikteta unaoongelea wewe una exception kwa baadhi ya watu kufanya.
Mkuu Marshal, asante kwa hii, kama umenote humu karibu siku zote tunaipigia Chadema kelele!, Chadema inapaswa kujionyesha sio tuu ni mbadala wa CCM bali inafanya mambo yake tofauti na CCM!. Chadema ni chama cha Demokrasia na Maendeleo, hivyo ili kiaminike na kukabidhiwa nchi hiyo October, lazima kiliishi hili jina la Demokrasia!, ku practice what you preach!. Waasisi waliweka ukomo wa vipindi viwili ili kutanua wigo wa demokrasia kuzuia uongozi wa kifame au kisultani, wajanja wakanyofoa kinyemela ile iweje?!.

Pasco
 
Pasco ndio maana kuna vyama vingi.. Unachotakiwa kufanya ni kusoma katiba ya chama na kuona kama kuna kipengele kinakukwaza basi unaenda kwenye chama kingine..

Hii kauli yako ni sawa na mlevi wa pombe ya pingu anaedai hajajisaidia haja kubwa wakati anafuatwa na manzi nyuma..
Mkuu Soso, kwanza asante kuchangia uzi wangu huu, yes nakubaliana na wewe tuna vyama vingi, unaisoma katiba ndipo unajiunga, hiyo ni theory tuu sio practical, ni wachache sana wanaojiunga vyama kwa kuzisoma katiba!, ila naamini kisheria hii katiba ya Chadema kupitishwa na kipengele un constitutional ni oversight!.

Mpaka hapa nilipo, bado sijawahi kujiunga na chama chochote!.

Pasco.
 
Pasco Pascoooooooooooooooo

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahhaha

Pascooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Unajua brother tumelelewa katika mfumo ambao unashindwa kuchukua maamuzi kutokana na sheria na katiba

Sasa tunapoona watu wanachukua hatua kutokana na sheria na katiba tunaogopa saaaaana

Nilidhani katika hili pasco utakuwa muelewa sana

Nashangaa kwa kweli...You are better than this.
Mkuu Freeland, kwanza asante kuchangia uzi wangu huu, nakiri kuufahamu umuhimu wa kufuata sheria taratibu na kanuni, na hizi zinatungwa ili kuhakikisha haki inatendeka!. Lakini kwa Chadema kwenye katiba yao wameainisha taratibu za nidhamu ili kutoa haki, kwenye uendeshaji kesi na kufikia maamuzi, taratibu hizi zimewekwa kando na kutolewa maamuzi ya kiimla na vikao visivyo na mamlaka!, yaani katika kufikia uamu za haki, katiba imewekwa pembeni, watu wanyongwe tuu!, ila inapolalia kwao kwamba hili ni kosa la kustahili kunyonga, ndipo sasa Chadema inakuja mbio mbia na katiba yao kuwa sasa ile adhabu ya kunyonga itekelezwe kwa mujibu wa katiba!. What a double standard?!.

Kama hiyo katiba ipo, kwa nini haikufuatwa wakati wa kumhukumu Zitto, lakini leo ameshindwa kesi, vimbelembele hao mbio kwenye katiba!.

Nasisitiza kufuatwa kwa taratibu, sheria na kanuni za haki!.

Pasco
 
We Pasco sometimes unaniacha hoi.
1.Unajifanya neutral? Kwa hiyo leo unamkana rasmi EL?
2.Haki gani unayoiongelea kutotolewa na mahakama? Nijuavyo huyo unayeficha jina lake,Mwite Mhusika Mkuu(MM) angeshafukuzwa pamoja na akina Mwigamba na Kitila kwa makosa yanayoendana.Yeye kaamua kwenda kutafuta haki mahakamani.Asijadiliwe.Na mahakama imefanya kazi yake,imeona MM hana haki ya kuzuia chama chake kisimjadili.Haki ya kumjadili na kumwadhibu wanayo chama chake.Hapa mahakama haijafanya kazi yake? Imezuiliwa wapi na CHADEMA?
3.Tukiwa wakweli tutakubali kuwa MM amepata alichostahili,tena siku nyingi.
Mkuu Ghwanga, kwanza asante kuchangia uzi wangu huu,
  1. Sina chama, CCM namsupport EL, Chadema ni pro ZZK, na Cuf ni pro Jussa!, is there a problem?.
  2. Sijaongelea haki yoyote kutotolewa na mahakama, nilichosema kuwazuia wanachama wa Chadema kwenda kutafuta haki mahakamani ni udikiteta!. Ni kweli MM, M1 na M2 waliishahukumiwa na Chadema kwa kufukuzwa siku nyingi!, jee hizo kesi zao Chadema ziliendeshwa kwa haki?, kanuni zipo zilifuatwa?, au ni udikiteta tuu?!.
  3. Yes MM amepata alichostahili na ndivyo katibabya Chadema inachosema!, sasa sisi wapigania haki ndio tumekuja hapa kuuliza hii ndio haki kweli kwa chama kinachojiita ni cha kimekrasia, au hiki cha hili neno demokrasia ni jina tuu, ila kiukweli ni chama cha kidikiteta?!.
Pasco
 
Hivi Mkuu Pasco kama mtu alishiriki kwenye utengenezaji wa katiba ya chama na vipengele hivyo aliviona na kuviridhia leo huu unaoujadili hapa si utakuwa ujinga usiokuwa na maana kweli..!
 
Last edited by a moderator:
Jamaa ni mtupu sana hajitambui kabisa. Mabandiko yake hapa yamemshusha hadhi yake aliyokuwa nayo miaka ya nyuma kutokana na kubwabwaja povu mara kwa mara. Huyu naye ni kundi lile lile la Elimu MULUGO division ZERO

Kaka msomi wa kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, natumai hapo chuoni ulisoma pia mambo ya mantiki.

Kwa mtaji huo, je, hilo swali lako lina mantiki kweli?

"Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?"


Duuh!
 
Mkuu Pasco,hongera kwa kujitoa muhanga wa kuandika unachokiwaza na sio unachoambiwa.Huu ndio uhuru,unakuwa huru katika kueleza fikra zako.Sasa wenzetu wanataka tuwe watu wa Ndio Mzee au Ndio Mwenyekiti.Hata akisema nani kama kinafaa kukosolewa kitakosolewa na kama ni kupongezwa atapongezwa.
 
Hivi Mkuu Pasco kama mtu alishiriki kwenye utengenezaji wa katiba ya chama na vipengele hivyo aliviona na kuviridhia leo huu unaoujadili hapa si utakuwa ujinga usiokuwa na maana kweli..!
Mkuu Soso, nini katiba ya chama, zipo sheria zinaanzia kwa mwanasheria mkuu zinakuja bungeni, rais anaridhia, kisha mahakamu kuu inazitangaza ni batili!.

Mimi naming this was an oversight kwa ofisi ya msajili and believe me soo it will be dealt with accordingly!.

Mfano hai ni katiba ya nchi ilitoa haki kwa mkono mmoja na kuzichukua kwa mkono mwingine!. Mfano ni haki ya kila mtu kuwa huru kushiriki uongozi toka serikali ya mtaa hadi serikali kuu.

Tume ya uchaguzi ikaweka sharti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Mtikila akapeleka mahakamani, mahakama kuu ikatamka kipengele hicho ni batili!!, serikali ikakata rufaa ikashindwa, ndipo sasa serikali ikaleta mabadiliko ya katiba na kukuingiza kipengele hicho ndani ya katiba.

Chadema imepiga marufuku wanachama wake kwenda mahakamani!, ukitoka unafukuzwa chama!. Sababu ni eti kwa sababu Chadema wana kangaroo court zao kama ile iliyomhukumu Zitto!, sasa nasikia wamejenga chumba cha mahojiano, bado tuu kujenga gereza!, ila nimewashauri hukumu zote zitakuwa za aina moja!, hazimhitaji mtu kukaa gerezani ni kutia tuu hasara ya bure, kwa kuendelea kula bure na kulala bure!, kwenye kile chumba cha mahojiano, kwa nyuma nimewashauri wajenge i electronics crematorium!.

Pasco.
 
Jamaa ni mtupu sana hajitambui kabisa. Mabandiko yake hapa yamemshusha hadhi yake aliyokuwa nayo miaka ya nyuma kutokana na kubwabwaja povu mara kwa mara. Huyu naye ni kundi lile lile la Elimu MULUGO division ZERO

Halafu eti ni mwandishi wa habari na msomi wa sheria.

Hivi ushawahi kusoma habari zake alizoandika kama mwandishi wa habari kwenye gazeti au jarida lolote lile?

Au labda yeye ni broadcast journalist....

Juzijuzi hapa kwenye ule uzi wa Kikwete kupokelewa na seneta kule Nairobi alidai eti Marekani ina cabinet secretaries 6!
 
Mkuu Soso, nini katiba ya chama, zipo sheria zinaanzia kwa mwanasheria mkuu zinakuja bungeni, rais anaridhia, kisha mahakamu kuu inazitangaza ni batili!.

Mimi naming this was an oversight kwa ofisi ya msajili and believe me soo it will be dealt with accordingly!.

Mfano hai ni katiba ya nchi ilitoa haki kwa mkono mmoja na kuzichukua kwa mkono mwingine!. Mfano ni haki ya kila mtu kuwa huru kushiriki uongozi toka serikali ya mtaa hadi serikali kuu.

Tume ya uchaguzi ikaweka sharti la kudhaminiwa na chama cha siasa. Mtikila akapeleka mahakamani, mahakama kuu ikatamka kipengele hicho ni batili!!, serikali ikakata rufaa ikashindwa, ndipo sasa serikali ikaleta mabadiliko ya katiba na kukuingiza kipengele hicho ndani ya katiba.

Chadema imepiga marufuku wanachama wake kwenda mahakamani!, ukitoka unafukuzwa chama!. Sababu ni eti kwa sababu Chadema wana kangaroo court zao kama ile iliyomhukumu Zitto!, sasa nasikia wamejenga chumba cha mahojiano, bado tuu kujenga gereza!, ila nimewashauri hukumu zote zitakuwa za aina moja!, hazimhitaji mtu kukaa gerezani ni kutia tuu hasara ya bure, kwa kuendelea kula bure na kulala bure!, kwenye kile chumba cha mahojiano, kwa nyuma nimewashauri wajenge i electronics crematorium!.

Pasco.

Nilidhani ninaelimishana na member kwa ajili kupata ufahamu mpana.. Kwa bandiko lako hili linaonyesha kabisa umegubikwa na chuki kwa chama na ushabiki kwa Zito..

Sitajibu tena kwenye mada hii Pasco ila ninakupa angalizo tu.. kutumika huku ukiwa umeweka mbele maslahi ya taifa ni jambo jema.. Ila kutumika kwa maslahi binafsi kuwaumiza mamilion ya watanzania ni jambo baya kuliko hata wale wadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao..
 
Last edited by a moderator:
Nilidhani ninaelimishana na member kwa ajili kupata ufahamu mpana.. Kwa bandiko lako hili linaonyesha kabisa umegubikwa na chuki kwa chama na ushabiki kwa Zito..

Sitajibu tena kwenye mada hii Pasco ila ninakupa angalizo tu.. kutumika huku ukiwa umeweka mbele maslahi ya taifa ni jambo jema.. Ila kutumika kwa maslahi binafsi kuwaumiza mamilion ya watanzania ni jambo baya kuliko hata wale wadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao..
CCM imetufanya mbaya ila ndio imetufikisha hapa!. Watu sio wamekatishwa tamaa na CCM bali upinzani nyoronyoro!. Kuna walioichoka CCM wanaitaka Chadema ili tuu kubadili chama, yaani badala ya CCM ije Chadema hata kama itafanya nothing!, bora ije tuu!, mwingine yoyote aje ili mradi sio CCM, hawa ni wale waliokata tamaa. Kuna akina CCM sio tunataka tuu CCM itoke halafu tubaki na vacuum, tunaiuliza kila siku Chadema ikiingia itafanya nini?. Hatuhitaji kubadili jina kutoka CCM kwenda Chadema, bali Chadema ijionyeshe yenyewe ni tofauti na CCM katika mipango, utendaji na utekelezaji!. Kama hakuna tofauti, then bora hata hiyo Chadema na isije hadi itakapokuwa tayari!.

Jambo ninalolipigania ni jambo dogo sana!, Chadema inazo sheria zake, taratibu na kanuni za nidhamu, kwa nini imeziweka pembeni na badala yake kuendesha kangaroo courts?!. Zitto alikuwa NKM, mwisho wa uwezo wa CC ya Chadema ni kuendesha tuu mashitaka, mamnlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumfuta uanachama bila shauri lake kufika kunakohusika?!. Huu ni udikiteta katika madogo tuu, sasa tukiwapa nchi watu kama hawa watatupeleka wapi?!. CCM ni li zimwi, lakini tunalijua. Kama Chadema ndio hawa ma dikiteta wa ajabu!, mara mia bora zimwi CCM likujualo kuliko Zimwi usilolijua, hili zimwi likujualo halikuli likakwisha, zimwi lisilokujua litakuulia mbali!.

There is still time kwa Chadema to do things right, vinginevyo, Chadema kitaendele kuwa ni chana cha kudumu cha upinzani1!.

Pole.

Pasco
 
Mahaba kwa Mbowe yamewafanya washabiki wa chadema kuwa kama kipofu! hata Mbowe akimuua mke wa mwanachadema watashangilia na kumpongeza kwa mauaji matakatifu ya kukinusuru chama.
 
ITAUWA WATU WENGI SANA.
just imagine uwe na waziri kama sugu halafu ujifanye kumchimbachimba,kama hajatuma watu wakakunyonga ama kukupiga shaba.
lema awe waziri umletee vyoko,utaokotwa mtaloni minus your head.

Sugu huwa ni m'bahili tu lakini hana Roho mbaya sana kama Lema na Mnyika,bila kusahau baba yao Mbowe, hawa wakipewa Nchi ujue ni kiama watu watauawa kama nzige, magereza yatafurika wafungwa wa kisiasa, na huyo LEMA a.k.a Mali ya MUNGU atakuwa anatembea na Cobra ( Koboko) popote aendapo ili kuwakomesha wapinzani wa mbowe kama alivyofanya kwa chacha wangwe, Kesheni mkisali na kuomba isitokee Chadema ukaingia ikulu huku lema na Mnyika wakiwepo mtajuta milele. R.I.P chacha wangwe.
 
Mahaba kwa Mbowe yamewafanya washabiki wa chadema kuwa kama kipofu! hata Mbowe akimuua mke wa mwanachadema watashangilia na kumpongeza kwa mauaji matakatifu ya kukinusuru chama.

R.I.P chacha wangwe. Walifuga Jini ( Kagenzi) kwa ajili ya kumteketeza chacha Wangwe na wakalipa Ahadi kede kede likafanya kazi kubwa na kumpa report zote Mnyika ambapo zilimsaidia kutekeleza mauaji ya chacha wangwe kwa Msaada wa Lema, kilewo, Mrema na Deus Malya. Sasa wameshindwa kutekeleza Ahadi kwa Kagenzi kaamua kuwala wenyewe kaanza kumega mke wa slaa( Mchepuko) huku akiwa na Ajenda zingine, Mnyika anajua movie yote A-Z kwani kwa sasa ni kama hampendi Slaa tena na hataki Agombee Urais kwa Tiket ya Chadema na ukawa anataka mbowe pekee, kuna siri imejificha hapa chunguzeni kwa makini mtabaini ukweli.
 
Chadema ni chama kizuri na kina malengo mazuri kama kinavojinadi kila kukicha ila kwa suala la kupewa nchi bado sana,dhamana ya nchi sio suala rahisi kama tunavofikiria,chadema bado haina hazina ya viongozi kuendesha nchi jamani tuwe wa kweli, mfano mdogo tu,endapo chadema ikishika nchi baraza la mawaziri litakuaje?
Rais atakua Mbowe Waziri mkuu Mnyika, Waziri wa sheria-Lisu, Waziri wa Fedha-KOMU, Waziri wa Ulinzi-kilewo Waziri wa mambo ya ndani-Mrema, Waziri wa Fedha atakuwa ile nyumba ndogo ya Mbowe, Wataanzisha Wazara mpya ya Utawala bora na kazi maalumu Hii atapewa LEMA a,k.a Mali ya mungu. Wizara Nyeti zote watapewa wachaga, na vyeo vyeti kama Mkuu wa majeshi, IGP, Mkuu wa Usalama, wa Magereza, uhamiaji, TRA, Gavana wa BOT, katibu mkuu kiongozi, Jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Spika nk watapewa wachaga tu, huko kwengine wataweka wana ukanda wa kasikazini, usiombee Chadema wachukue nchi utajuta kuzaliwa Tz
 
Back
Top Bottom