Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Pasco

uchambuzi uliotoa kuhusu shida ya katiba ya Chadema na usimamiaji wa Katiba husika haujazingatia kiini cha migogoro ndani ya Chadema na namna chama kinavyotumia miongozo yake kutanzua hiyo migogoro.

Hivi, andiko hili ulobandika hapa, unataka tuamini ati ni hao waliofukuzwa pekee ndio wanafahamu kuhusu kunyofolewa kwa vifungu vya katiba ya Chadema peke Yao?

ndio kusema maelfu ya wanachadema waliobaki Hawajui lolote kuhusu vifungu tajwa?

Jipya lingine ninaloliona kwenye post yako ni kuwa: Chadema wanafanya makosa kama sio dhambi kusimamia misingi ya chama chao, hivi sio Pasco huyuhuyu anayewakemea CCM WANAPOSHINDWA kusimamia misingi ya chama chao? Ama Pasco unafikiri CCM wakianza kusimamia misingi yao Leo hii, utasema CCM wanaongoza ki-dikteta?

Nauliza tu!
 
Chadema ni genge la watu wa hovyo hovyo

Kwa nini?
Kwa kusimamia katiba yake? Mmezoea kuishi kwa kudanganyadanganya...Vyama vipo vingi. Kuna chama watu wamekwiba pesa za ummahalafu wanasema pesa sio ya umma, mara mna wivu wa kike....Majina ya waliobeba pesa kwenye lumbesa na magunia pale Stanbic mpaka leo hayajulikani. Ndio mnapenda chama cha design hio. Nchi ya ujanja ujanja...Na maigizo ya tume ya maadili na CC ya chama chao..


Sheria na katiba ikifuatwa mnanuna. Mnaita ovyo ovyo
 
Mkuu devcon usichoweza kutambua kuwa ni kwamba kwa mfumo uliopo kwa sasa CDM haina hazina ya hao unawotaja kuwa baraza la mawaziri. Ila Ufahamu kwamba mfumo ulipo sasa ndio umetufikisha kwene matatizo haya tuliyonayo. Tunahitaji Mawaziri wasiokuwa wanasiasa.. Na kama utahitaji mawaziri wasiokuwa wanasiasa basi CDM ama chama kingine chochote kinaweza kuendesha serikali bila Tatizo...Tunapswa kuondoa mfumo huu wa kupeana vyeo bila qualifications na Pengine kwa sababu Mnafahamiana tu.....Tufute ujinga wa kukabidhi nchi yote kwa wanasiasa,hata kama ni CDM ama chama kingine...Kwa matatizo tuliyonayo na hali tuliyonayo sioni njia nyingine ya kututoa kama mfumo utabaki kuwa huu wa kuwa na ndugu kuanzia ikulu mpaka wilayani...

Mkuu kwa hilo ulilolisema nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kua nchi haihitaji sana viongozi wanasiasa katika maendeleo bali wataalam.
Hata hivyo kwa chadema bado haijawa na wataalam wa kutosha katika safu yake ya uongozi, mi nafikiri njia pekee ya kulifanikisha hilo ni mabadiliko ya katiba kwanza ili chama tawala tukibanie huko.
Lakini kaka kwa chadema kuchukua nchi kwa sasa bado mapema sana japo sisi sote tunataka mabadiliko
 
Wanabodi!.

Preamble: Chadema ni Chama cha Kimokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla Jee Chadema Ikikabidhiwa Nchi hapo October 2015!, Hakuna Hatari ya Uwezekano wa Kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya Utawala wa Kidikteta?!. Pasco

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuatia misingi ya sheria, taratibu na kanuni kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Katiba ndio sheria mama, kila kitu kuhusiana na shughuli yoyote ndani ya JMT ni kwa mujibu wa Katiba!. Sheria yoyote, kanuni yoyote na taratibu yoyote, inayokwenda kinyume cha katiba ni batili!.

Katiba yetu imeweka utaratibu wa kutafuta haki ndani ya JMT ni kupitia mhimili wa mahakama. Vyama vyote vya siasa nchini, viko kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa!.

Kwenye sheria ya vyama hivyo, vyama kabla ya kusajiliwa, vinapaswa kuwasilisha katiba ya chama hicho na kupitiwa na wanasheria, ikukutwa iko sawa kwa mujibu wa katiba ya nchi, ndipo chama hicho hupewa usajili wa muda, kisha usajili wa kudumu!.

Hivyo ndivyo Chadema ilivyofanya ule mwaka 1992. Uliwasilisha katiba safi ya kidemokrasia yenye ukomo wa vipindi vya uongozi, kuwa ni vipindi viwili tuu, na wanachama wa Chadema walikuwa wako huru kufuata sheria za nchi!.

Mwaka 2006, Chadema ilifanya mabadiliko ya katiba, katika mabadiliko hayo, kile kipengele cha ukomo wa madaraka, kilinyofolewa kinyemela bila kujadiliwa popote!, hivyo marekebisho yaliwasilishwa kwa msajili wa vyama, hayakuwa tena na kipengele hicho cha ukomo, na kiliyeyuka bila muhtaasari wa kikao chochote kilichokijadili kipengele hicho!, hivyo marekebisho yaliyowasilishwa kwa msajili, kipengele hicho hakikuwepo, as if kimejadiliwa na kufikia uamuzi kiondolewe!, wakati kiukweli, hakikujadiliwa popote na yeyote bali kilinyofolewa tuu kinyemela, na katiba iliyowasilishwa mwaka 2006 hakikuwepo tena!.

Lengo la watungaji wa katiba mama ya Chadema, lilikuwa zuri, kwa uongozi wa Chadema kuwa na ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ili kupokezana vijiti ili kuzuia uongozi wa kisultani!. Mwaka huo wa 2006, wakaingia wajanja fulani!, wakakinyofoa kipengele kile, sasa uongozi wa Chadema hauna ukomo!. Yaani ni uongozi wa maisha mpaka kiongozi atakapoamua mwenyewe kuwa sasa amechoka!.

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama!. Na mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Kama Chadema hivi tuu ni chama na bado hakijapewa dola, kimepenyeza vifungu vya kidikteta na kinyume cha katiba kwa kutoutambua mhimili wa mahakama, jee kikipewa nchi hiyo October, si ni kina uwezekano kabisa wa kuisimamisha kabisa katiba yenyewe na kutangaza utawala wa kiimla na kidikiteta jumla?!.

Hili la Katiba ya Chadema, nimewahi kulizungua hapa na nilishutumiwa sana na kunyooshewa vidole kuwa mimi ni CCM!.

Leo nimelikumbuka na kulizungumzia hapa, kufuatia mwanachama fulani wa Chadema, kupoteza uanachama wake, simply kwa kosa la kutafuta haki yake kwenye vyombo halali vya kutoa haki!.

Kwa udikiteta huu, na unaokwenda kinyume cha katiba ya nchi, enyi members wa jf wenye uelewa na sheria na katiba, ndio mnataka kutueleza ni i kuhusiana na Chadema katika kufuata sheria taratibu na kanuni?!.

Nalirudia swali la msingi, Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?. Na Chadema Ikipewa Nchi, Hakuna Hatari Kugeuka Dikteta?!.

Pasco.

NB. Kwa msisitizo: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote, kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Update 1.

Mkuu MwanaHaki, kwanza asante kwa post hii, uzi huu unaelekea post 100, hii ndio posti ya kwanza kuijibu kwa sababu ndio post pekee iliyojikita kwenye subject matter!, na kufuatia post hii, nimeipeleka kule juu ili wenye kuhitaji kuujua ukweli, waujue ukweli, tuwaache hawa wajinga wajinga waendelee kupiga porojo!.

Hii sio mara ya kwanza kulizungumzia hili la Katiba ya Chadema kunyofolewa kipengele hicho cha ukomo wa madaraka!. Nilipouliza mwanzo nilijibiwa hivi.


Soma kwa makini hapo kwenye bold!, kisha tazama hapa kama ulivyoshauri, tena ni scanned copy na sio soft copy!
Suala hili lilifafanuliwa vyema na JJ Mnyika kama hivi.

Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.

Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Na kipengele kinachokiuka katiba ya JMT ni hiki.

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Pasco

Katiba ya Chadema iliandikwa na wanachadema kwa matumizi ya wanachadema kwa malengo ya CHADEMA na manufaa ya wana CHADEMA na ilipitishwa na Wanachadem
 
Mkuu kwa hilo ulilolisema nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kua nchi haihitaji sana viongozi wanasiasa katika maendeleo bali wataalam.
Hata hivyo kwa chadema bado haijawa na wataalam wa kutosha katika safu yake ya uongozi, mi nafikiri njia pekee ya kulifanikisha hilo ni mabadiliko ya katiba kwanza ili chama tawala tukibanie huko.
Lakini kaka kwa chadema kuchukua nchi kwa sasa bado mapema sana japo sisi sote tunataka mabadiliko

Mkuu devcon,
Natambua wasiwasi wako juu ya political maturity cha CHADEMA na vyama vingine vya Kisiasa hata ikiwepo CCM. Wakati Mwalimu nyerere anapewa kuongoza dola ya Tanganyika hakuwa na zaidi ya miaka 40 ki umri, akiwa na Madatari wazawa wasiozidi 3 na bila Wahandisi. Aliiongoza nchi katika kipindi cha mpito na kufanya maamuzi mengi mazuri na mabaya machache. Kipindi hiko ukumbuke kulikuwa na utawala wa machifu na makabila hivyo kuileta nchi pamoja haikuwa jambo rahisi kama watu tunavyoweza kufikiri. Sasa,ukirejea kwa Vyama Pinzani ni kweli Political maturity inaweza kuwa kidogo lakini kuna watanzania wengi tu wenye nia njema kila mahali hata huko CCM watakaounga mkonona kukusaidia chama kuongoza nchi.Mabadiriko ni muhimu katika hii nchi kwa sasa ama la utaishi wewe kwa raha kwa sababu unajuana na fulani ila wanao ukiwaacha leo their survival is deeply at risk. Nchi hii sasa tunamilikisha kwa watawala na familia zao,akiji mwingine nae afanye hivyo na wanawe tutafikia wapi? We need changes NOW whether taking risk or no,the higher the risk the higher the reward. Wapinzani wajiunge and perform as a Team (Common goal) kuwaletea Watanzania maendeleo na kufungua minyororo ya utumwa mpya unaotengenezwa
 
Mkuu devcon,
Natambua wasiwasi wako juu ya political maturity cha CHADEMA na vyama vingine vya Kisiasa hata ikiwepo CCM. Wakati Mwalimu nyerere anapewa kuongoza dola ya Tanganyika hakuwa na zaidi ya miaka 40 ki umri, akiwa na Madatari wazawa wasiozidi 3 na bila Wahandisi. Aliiongoza nchi katika kipindi cha mpito na kufanya maamuzi mengi mazuri na mabaya machache. Kipindi hiko ukumbuke kulikuwa na utawala wa machifu na makabila hivyo kuileta nchi pamoja haikuwa jambo rahisi kama watu tunavyoweza kufikiri. Sasa,ukirejea kwa Vyama Pinzani ni kweli Political maturity inaweza kuwa kidogo lakini kuna watanzania wengi tu wenye nia njema kila mahali hata huko CCM watakaounga mkonona kukusaidia chama kuongoza nchi.Mabadiriko ni muhimu katika hii nchi kwa sasa ama la utaishi wewe kwa raha kwa sababu unajuana na fulani ila wanao ukiwaacha leo their survival is deeply at risk. Nchi hii sasa tunamilikisha kwa watawala na familia zao,akiji mwingine nae afanye hivyo na wanawe tutafikia wapi? We need changes NOW whether taking risk or no,the higher the risk the higher the reward. Wapinzani wajiunge and perform as a Team (Common goal) kuwaletea Watanzania maendeleo na kufungua minyororo ya utumwa mpya unaotengenezwa

Kaka Marshal nakupata sana kiongozi na ninakubaliana na wewe katika point yako ulosema kua wapinzani wajiunge as a team to archive a common goal.
Hiyo ndo point ya msingi na ndo nguvu pekee itakayowatoa ccm madarakani,lakini kaka hivi unafikiri ni kwanini toka vyama vingi kuanzishwa ndani ya nchi hii wapinzani hawataki kuungana na wala hawana mpango huo wakati dhamira yao ni moja?
Hapo mimi ndo huwa napata hofu na wasiwasi juu ya viongozi wetu wa upinzani, any way mana mungu anasema kila ugonjwa una dawa yake isipokua kifo na uzee naamini ipo siku wapinzani wataliona hili na ndo itakua dawa ya CCM.
 
Kaka Marshal nakupata sana kiongozi na ninakubaliana na wewe katika point yako ulosema kua wapinzani wajiunge as a team to archive a common goal.
Hiyo ndo point ya msingi na ndo nguvu pekee itakayowatoa ccm madarakani,lakini kaka hivi unafikiri ni kwanini toka vyama vingi kuanzishwa ndani ya nchi hii wapinzani hawataki kuungana na wala hawana mpango huo wakati dhamira yao ni moja?
Hapo mimi ndo huwa napata hofu na wasiwasi juu ya viongozi wetu wa upinzani, any way mana mungu anasema kila ugonjwa una dawa yake isipokua kifo na uzee naamini ipo siku wapinzani wataliona hili na ndo itakua dawa ya CCM.

Mkuu devcon,
Sisasa za vyama vingi ni ngumu na inachukua muda kwa vyama pinzani kuweza kukitoa chama Ongoza madarakani. Iwapo unatambua mfumo wa divide and rule ndio kikubwa hasa kinachowapa CCM nguvu. Wanamapandikizi yao katika vyama pinzani na kwa sababu ya umaskini watu wengi ni wasaliti hasa unapopewa brifkesi imejaa pesa. Wengi wa wanasiasa tulionao wa vyama vyote kwenye ikiwemo CCM ni wadhaifu kwene pesa kuliko hata changudoa.. believe me or not wengi wapo pale kwa ajili ya matumbo yao na ndio maana itachukua muda mrefu sana kwa wapinzani kuwa na lengo moja... Njaa mwanaharamu eti :smile-big:
 
Mkuu devcon,
Sisasa za vyama vingi ni ngumu na inachukua muda kwa vyama pinzani kuweza kukitoa chama Ongoza madarakani. Iwapo unatambua mfumo wa divide and rule ndio kikubwa hasa kinachowapa CCM nguvu. Wanamapandikizi yao katika vyama pinzani na kwa sababu ya umaskini watu wengi ni wasaliti hasa unapopewa brifkesi imejaa pesa. Wengi wa wanasiasa tulionao wa vyama vyote kwenye ikiwemo CCM ni wadhaifu kwene pesa kuliko hata changudoa.. believe me or not wengi wapo pale kwa ajili ya matumbo yao na ndio maana itachukua muda mrefu sana kwa wapinzani kuwa na lengo moja... Njaa mwanaharamu eti :smile-big:

Hahahahah umenifurahisha sana kaka njaa ni mwanaharamu, ni kweli kabisa na umasikini ni nusu ya ukafiri, Dah sasa tufanye kaka na hali ndo hii tulo nayo na hawa jamaa wanatumia udhaifu huo?
 
Mambo yao ya ndani yanaammuriwa kiaina aina nchi wataiweza kweli.....
 
nijuavyo mimi a litigant has no right to a favourable decision but a right decision, kwa hiyo wafuasi wa Zito kama Pasco kama yangetolewa maamuzi tofauti mngetoa misimamo tofauti pia, ukiisoma vizuri katiba ya CDM huwezi kuona kama kuna kipengele chochote kinachokiuka katiba isipokuwa mwanachama ahakikishe kuwa amefuata taratibu zote za chama, katiba nyingi za kitaasisi ziko hivyo. pia suala la ukomo wa madaraka hapa niwe muwazi demokrasia siyo ukomo wa madaraka isipokuwa njia zinazotumika kupata maamuzi ya mwisho. malkia wa Uingereza hachaguliwi na wananchi na hana ukomo wa madaraka je ni dikteta? Pasco rudi ukatafiti upya hapa umechemsha mno.
 
Mfia pesa tumeshakozea yule jamaa yako anaewapa nyama choma mwaka mpya na chris mass anaumwa vibaya sana hawezi hata kunyanyua kikombe cha kahawa
 
KWA hiyo unataka tuendelee kuwapa nchi ccm tuendelee kuibiwa? wewe unampigania mzee wa watu afya mgogoro,spana mkononi kwa taairifa yako hatutaki kuwapa nchi wagonjwa tupate hasara ya kurudia uchaguzi kila kukicha kama zambia
 
Wanabodi!.

Preamble: Chadema ni Chama cha Kimokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla Jee Chadema Ikikabidhiwa Nchi hapo October 2015!, Hakuna Hatari ya Uwezekano wa Kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya Utawala wa Kidikteta?!. Pasco

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuatia misingi ya sheria, taratibu na kanuni kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Katiba ndio sheria mama, kila kitu kuhusiana na shughuli yoyote ndani ya JMT ni kwa mujibu wa Katiba!. Sheria yoyote, kanuni yoyote na taratibu yoyote, inayokwenda kinyume cha katiba ni batili!.

Katiba yetu imeweka utaratibu wa kutafuta haki ndani ya JMT ni kupitia mhimili wa mahakama. Vyama vyote vya siasa nchini, viko kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa!.

Kwenye sheria ya vyama hivyo, vyama kabla ya kusajiliwa, vinapaswa kuwasilisha katiba ya chama hicho na kupitiwa na wanasheria, ikukutwa iko sawa kwa mujibu wa katiba ya nchi, ndipo chama hicho hupewa usajili wa muda, kisha usajili wa kudumu!.

Hivyo ndivyo Chadema ilivyofanya ule mwaka 1992. Uliwasilisha katiba safi ya kidemokrasia yenye ukomo wa vipindi vya uongozi, kuwa ni vipindi viwili tuu, na wanachama wa Chadema walikuwa wako huru kufuata sheria za nchi!.

Mwaka 2006, Chadema ilifanya mabadiliko ya katiba, katika mabadiliko hayo, kile kipengele cha ukomo wa madaraka, kilinyofolewa kinyemela bila kujadiliwa popote!, hivyo marekebisho yaliwasilishwa kwa msajili wa vyama, hayakuwa tena na kipengele hicho cha ukomo, na kiliyeyuka bila muhtaasari wa kikao chochote kilichokijadili kipengele hicho!, hivyo marekebisho yaliyowasilishwa kwa msajili, kipengele hicho hakikuwepo, as if kimejadiliwa na kufikia uamuzi kiondolewe!, wakati kiukweli, hakikujadiliwa popote na yeyote bali kilinyofolewa tuu kinyemela, na katiba iliyowasilishwa mwaka 2006 hakikuwepo tena!.

Lengo la watungaji wa katiba mama ya Chadema, lilikuwa zuri, kwa uongozi wa Chadema kuwa na ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ili kupokezana vijiti ili kuzuia uongozi wa kisultani!. Mwaka huo wa 2006, wakaingia wajanja fulani!, wakakinyofoa kipengele kile, sasa uongozi wa Chadema hauna ukomo!. Yaani ni uongozi wa maisha mpaka kiongozi atakapoamua mwenyewe kuwa sasa amechoka!.

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama!. Na mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Kama Chadema hivi tuu ni chama na bado hakijapewa dola, kimepenyeza vifungu vya kidikteta na kinyume cha katiba kwa kutoutambua mhimili wa mahakama, jee kikipewa nchi hiyo October, si ni kina uwezekano kabisa wa kuisimamisha kabisa katiba yenyewe na kutangaza utawala wa kiimla na kidikiteta jumla?!.

Hili la Katiba ya Chadema, nimewahi kulizungua hapa na nilishutumiwa sana na kunyooshewa vidole kuwa mimi ni CCM!.

Leo nimelikumbuka na kulizungumzia hapa, kufuatia mwanachama fulani wa Chadema, kupoteza uanachama wake, simply kwa kosa la kutafuta haki yake kwenye vyombo halali vya kutoa haki!.

Kwa udikiteta huu, na unaokwenda kinyume cha katiba ya nchi, enyi members wa jf wenye uelewa na sheria na katiba, ndio mnataka kutueleza ni i kuhusiana na Chadema katika kufuata sheria taratibu na kanuni?!.

Nalirudia swali la msingi, Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?. Na Chadema Ikipewa Nchi, Hakuna Hatari Kugeuka Dikteta?!.

Pasco.

NB. Kwa msisitizo: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote, kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Update 1.

Mkuu MwanaHaki, kwanza asante kwa post hii, uzi huu unaelekea post 100, hii ndio posti ya kwanza kuijibu kwa sababu ndio post pekee iliyojikita kwenye subject matter!, na kufuatia post hii, nimeipeleka kule juu ili wenye kuhitaji kuujua ukweli, waujue ukweli, tuwaache hawa wajinga wajinga waendelee kupiga porojo!.

Hii sio mara ya kwanza kulizungumzia hili la Katiba ya Chadema kunyofolewa kipengele hicho cha ukomo wa madaraka!. Nilipouliza mwanzo nilijibiwa hivi.


Soma kwa makini hapo kwenye bold!, kisha tazama hapa kama ulivyoshauri, tena ni scanned copy na sio soft copy!
Suala hili lilifafanuliwa vyema na JJ Mnyika kama hivi.

Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.

Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Na kipengele kinachokiuka katiba ya JMT ni hiki.

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Pasco
bw pasco tanzania inahitaji kiongozi dikteta ili kurudisha misingi ya azimio la arusha​,
 
Labda ni bora tuwe na Serikali ya Kidikteta, ili watu wanyooke, wawajibike, waache kugeuza kila kitu DILI!

Ukienda Polisi, akikamatwa mtu, hawamwulizi kama ana hatia. Wanauliza ana pesa kiasi gani ili wamuachie. Askari wanashirikiana na majambazi. HATUNA Jeshi la Polisi linalostahili kuitwa Jeshi la Polisi.

Ukienda Hospitali, mgonjwa - haswa mjamzito - anaulizwa ana pesa kiasi gani, ili aweze kupata huduma stahiki. Asiye na pesa atajifungulia hapo hapo chini, sakafuni, na kama sio siku yake ya kuitwa na Yehova, atapona. La sivyo MTAZIKA! Wauguzi na madaktari wameigeuza kazi yako kuwa ajira!

Ukienda Mahakamani, hapo laana tupu. Mtu amekamatwa na ushahidi umetimia, lakini nduguze "wanamweka sawa" Hakimu. Kesi itakapoanza kusikilizwa kuna kitu kinaitwa Preliminary Hearing, ambapo Waendesha Mashtaka (Mawakili wa Serikali) ndio wanapaswa kusema iwapo watuhumiwa ana kesi ya kujibu au la. Baada ya hapo, kesi inaahirishwa ili Hakimu apitie vielelezo vya State Attorneys. Kesi inaporudi kuanza kusikilizwa, Hakimu anasema ushahidi hautoshi, kwa hiyo bora Mahakama isipoteze muda na fedha za serikali. Mtuhumiwa anachoropoka.

Wizarani huko ni balaa! Wanajipangia masurufu kwenye kasma za Semina, Warsha, Makongamano, ambayo yote ni HEWA. Pia kuna wafanyakazi HEWA, ambao ni wale waliostaafu, waliofariki, waliopunguzwa, n.k. Wanaendelea kulipwa na TAMISEMI inalijua hili. Hata HAZINA nako wanajua.

Sasa mnaitaka Serikali LEGELEGE ya CCM au mnaitaka Serikali DIKTETA ya CHADEMA, itakayofuta ufedhuli wote huu?

Kuna mengi sijayasema.... yanakera MNO!
 
PRINCE CROWN ninakuunga mkono. Demokrasia haifai kuwapo Tanzania kwa sasa. Kilichobaki ni UDIKTETA TU!

Mbona tayari sera isiyo rasmi ya CCM, "wapigwe tu" inatumika, na wananchi wanaifumbia macho? UDIKTETA wa KIFICHO wa CCM usihalalishwe kuliko huo ambao ni wa WAZI wa CHADEMA.

PEOPLE's POWER!
 
Last edited by a moderator:
Pasco tukitaka kuwa fair,basi tukubali hili:Sheria za nyumbani kwako zikivunjwa na wewe ndiyo kichwa cha nyumba basi lazima utachukua hatua stahiki.Usipofanya hivyo na Mama watoto ndiyo akawa mchukua majukumu ya kutoa adhabu stahiki pale sheria za nyumba yenu zinapovunjwa basi waswahili watasema Pasco amepewa limbwata au mkeo ndiyo mwenye sauti na wewe mzee huna usemi juu ya lolote.

Na ukishaambiwa hivyo kwa mbantu kama wewe shemeji yangu ambaye kupewa maji ya kunywa binti lazima apige magoti mpaka umalize kunywa maji na kumrudishia glass,na isipofanyika hivyo basi mwali wako huyo hafundishwa heshima vyema na mamaye lazima asakamwe.

Ndiyo hivyo hivyo kwa vyama na serikali.Na kama tungekuwa na viongozi ambao wanafuata sheria tuliojiwekea basi RUSHWA,UFISADI,Mauaji ya ALBINO na hata vyama vingi vingekuwa hadithi tu.

Lakini sababu viongozi wetu sheria tulizojiwekea zenyewe wanavunja,kwanini tuwakodolee macho wanaotetea katiba na sheria za chama chao?

Pasco kama mwanasheria nadhani ungewapa hongera sana kwa kuikingia kifua katiba na sheria zao.
 
Wanabodi!.

Preamble: Chadema ni Chama cha Kimokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla Jee Chadema Ikikabidhiwa Nchi hapo October 2015!, Hakuna Hatari ya Uwezekano wa Kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya Utawala wa Kidikteta?!. Pasco

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuatia misingi ya sheria, taratibu na kanuni kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Katiba ndio sheria mama, kila kitu kuhusiana na shughuli yoyote ndani ya JMT ni kwa mujibu wa Katiba!. Sheria yoyote, kanuni yoyote na taratibu yoyote, inayokwenda kinyume cha katiba ni batili!.

Katiba yetu imeweka utaratibu wa kutafuta haki ndani ya JMT ni kupitia mhimili wa mahakama. Vyama vyote vya siasa nchini, viko kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa!.

Kwenye sheria ya vyama hivyo, vyama kabla ya kusajiliwa, vinapaswa kuwasilisha katiba ya chama hicho na kupitiwa na wanasheria, ikukutwa iko sawa kwa mujibu wa katiba ya nchi, ndipo chama hicho hupewa usajili wa muda, kisha usajili wa kudumu!.

Hivyo ndivyo Chadema ilivyofanya ule mwaka 1992. Uliwasilisha katiba safi ya kidemokrasia yenye ukomo wa vipindi vya uongozi, kuwa ni vipindi viwili tuu, na wanachama wa Chadema walikuwa wako huru kufuata sheria za nchi!.

Mwaka 2006, Chadema ilifanya mabadiliko ya katiba, katika mabadiliko hayo, kile kipengele cha ukomo wa madaraka, kilinyofolewa kinyemela bila kujadiliwa popote!, hivyo marekebisho yaliwasilishwa kwa msajili wa vyama, hayakuwa tena na kipengele hicho cha ukomo, na kiliyeyuka bila muhtaasari wa kikao chochote kilichokijadili kipengele hicho!, hivyo marekebisho yaliyowasilishwa kwa msajili, kipengele hicho hakikuwepo, as if kimejadiliwa na kufikia uamuzi kiondolewe!, wakati kiukweli, hakikujadiliwa popote na yeyote bali kilinyofolewa tuu kinyemela, na katiba iliyowasilishwa mwaka 2006 hakikuwepo tena!.

Lengo la watungaji wa katiba mama ya Chadema, lilikuwa zuri, kwa uongozi wa Chadema kuwa na ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ili kupokezana vijiti ili kuzuia uongozi wa kisultani!. Mwaka huo wa 2006, wakaingia wajanja fulani!, wakakinyofoa kipengele kile, sasa uongozi wa Chadema hauna ukomo!. Yaani ni uongozi wa maisha mpaka kiongozi atakapoamua mwenyewe kuwa sasa amechoka!.

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama!. Na mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Kama Chadema hivi tuu ni chama na bado hakijapewa dola, kimepenyeza vifungu vya kidikteta na kinyume cha katiba kwa kutoutambua mhimili wa mahakama, jee kikipewa nchi hiyo October, si ni kina uwezekano kabisa wa kuisimamisha kabisa katiba yenyewe na kutangaza utawala wa kiimla na kidikiteta jumla?!.

Hili la Katiba ya Chadema, nimewahi kulizungua hapa na nilishutumiwa sana na kunyooshewa vidole kuwa mimi ni CCM!.

Leo nimelikumbuka na kulizungumzia hapa, kufuatia mwanachama fulani wa Chadema, kupoteza uanachama wake, simply kwa kosa la kutafuta haki yake kwenye vyombo halali vya kutoa haki!.

Kwa udikiteta huu, na unaokwenda kinyume cha katiba ya nchi, enyi members wa jf wenye uelewa na sheria na katiba, ndio mnataka kutueleza ni i kuhusiana na Chadema katika kufuata sheria taratibu na kanuni?!.

Nalirudia swali la msingi, Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?. Na Chadema Ikipewa Nchi, Hakuna Hatari Kugeuka Dikteta?!.

Pasco.

NB. Kwa msisitizo: Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote, kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Update 1.

Mkuu MwanaHaki, kwanza asante kwa post hii, uzi huu unaelekea post 100, hii ndio posti ya kwanza kuijibu kwa sababu ndio post pekee iliyojikita kwenye subject matter!, na kufuatia post hii, nimeipeleka kule juu ili wenye kuhitaji kuujua ukweli, waujue ukweli, tuwaache hawa wajinga wajinga waendelee kupiga porojo!.

Hii sio mara ya kwanza kulizungumzia hili la Katiba ya Chadema kunyofolewa kipengele hicho cha ukomo wa madaraka!. Nilipouliza mwanzo nilijibiwa hivi.


Soma kwa makini hapo kwenye bold!, kisha tazama hapa kama ulivyoshauri, tena ni scanned copy na sio soft copy!
Suala hili lilifafanuliwa vyema na JJ Mnyika kama hivi.

Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.

Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Na kipengele kinachokiuka katiba ya JMT ni hiki.

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Pasco



yaani ninauhakika kabisa wanaturudisha kule kwa IDDI AMINI watu tufanye uamuzi vizuri na hawa CHADEMA wameanza kujichanganya wenyewe.......
wamekuja vizuri na sera sera zao saivi wameshaanza kuonyesha MAKUCHA.......
 
Nchi yetu,bila kutawaliwa kidikiteta hataenda,hapa ilipofikia hakuna mwenye Kauai ya mwisho,mafisadi wanalindwa,waauwaji wa alubinyo hawashughulikiwi ipasavyo,wataalumu wetu wamegeuka wanasiasa baada ya kuona ndipo mahali pa kuwatoa fasta kimaisha,wafanyabiashara wakubwa wamegeuka viongozi wa kisiasa kukwepa kulipa kodi,na kufanya biashara haramu .afu useme uitawale tanzania kawaida kawaida tu,
 
Back
Top Bottom