CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
 
Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
 
Chadema ni sumuuu;

Wabaguzi, Wana visasi vya kipuuzi, matusi, wahuni, wengi Wana vinasaba na ujambazi/mambo maovu ya uhalifu(ushahidi ninao KWA wanachama wake wengi kushiriki haya mambo).

Chadema wakaongoza kampeni ya kuwaita wenzao SUKUMA GANG daaah ubaguzi wa Hali ya juu
 
Chadema ni sumuuu;

Wabaguzi, Wana visasi vya kipuuzi, matusi, wahuni, wengi Wana vinasaba na ujambazi/mambo maovu ya uhalifu(ushahidi ninao KWA wanachama wake wengi kushiriki haya mambo).

Chadema wakaongoza kampeni ya kuwaita wenzao SUKUMA GANG daaah ubaguzi wa Hali ya juu
Hii hali sio ya Nchi hii labda umekopi sehemu

Tanzania bado hatujafikia hatua hii
 
Chadema ni chama kinachotishia uhai wa ccm,lakini hakina mikakati na watu sahihi wa kuiua CCM, wanafeli sana!
 
Bro itakuwa hujui siasa au tuseme kazi ya Siasa, hii ni ajira kama zilivyo ajira zingine maana hata muuza maziwa ya ng'ombe huongeza maji, inawezekana hujui kwa nini, ni kuchelewesha au kuzuia maziwa kuharibika haraka, japo mteja hupiga makelele.

Sasa chama chochote kilicho kwenye benchi cha siasa ni lazima kiongeze maji na maji haya ni kulinda chama kisidumae kutokana na wale waliopo serikalini wanatenda mazuri na kuonekana ni chama bora kinachofaa kuongoza milele japo wana mabaya.

Hivo basi nyinyi mliopo kwenye mabenchi ni lazima mupinge na kuponda jambo lolote lile linalofanywa na chama tawala bila ya vurugu wala ugomvi, hilo mnalolipinga iwe lipo sawa au halipo sawa - Mnapinga chochote kwa hoja na propaganda zilizosheheni vinogesho.

Si wamejenga madaraja na mazuri tu na mabasi ya mwendo kasi na faida ya mtumiko inaonekana basi hapo hapo unatakiwa upige kwa silaha zote na uponde vibaya mno, unaweza kusema zimetumika hela nyingi sana ambazo zingefaa kujenga mahospitali miko yote tena mahospitali ya kisasa yenye mashine zinazohitajika na vifaa vya kiuchunguzi.

Madaraja yaliyojengwa yamejengwa kwa kiwango cha chini na yameanza kubomoka na hatayachukua muda mrefu nchi imeingia hasara na yatahitaji kufanyiwa ukarabati baada ya kila miaka mitano wewe utasema kila siku.

Reli hii SGR haijafikia hata miaka miwili tayari reli zimeanza kulegalega na ukipanda ile behewa inavyotingishika ni balaa na kuna sehemu imeharibiwa na maji yaliyokatisha kutokana na mvua, wameijenga ile reli na hawakuifanyia misingi imara badhi ya tunnel kwenye milima zimeanza kufanya ufa taifa limeingia hasara kubwa sana kwani mkandarasi ni wa kiwango cha chini na inasemekana hajawahi kujenga reli ya aina hizi na zenye urefu, ile reli sasa inatishia maisha ya Watanzania.

Hio ndio siasa hakuna wala usijaribu kuisifu serikali ikiwa wewe ni chama pinzani, never! Bora ukae kimya kuliko kusifu ukisifu kidogo tu umeshaharibu kila kitu kwani chama kilichopo madarakani kitaitumia sentensi hio kuzidi kukudumaza.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea Chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
CHADEMA inapendwa sana na wananchi. Wewe kumbuka zile faini za mamilioni zilichangwa na wananchi ndani ya wiki moja na wote wakatoka.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
Umeamua kutumia makalio badala ya akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
KAULI YA UOGA DHIDI YA CHADEMA,CCM IMEWATIA UMASIKINI WANANCHI MIAKA YOTE 60 ONA MTOTO WA MASIKINI Baba yake ukimwona Utadhani Kichaa Kwa Umasikini Alionao Aliosababishiwa na CCM.

JamiiForums1469240031.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom