CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.

1629205572527.png
 
Kuna uzi unatolewa huku ame alert wachangiaji,yaani ukisoma tu unajuwa hawa jamaa wapo pamoja sahii na wanadiscuss namna ya kuchangia watu kama hawa unawaacha usichangie uzi hauchuki round unakufa
CHADEMA inapendwa sana na wananchi. Wewe kumbuka zile faini za mamilioni zilichangwa na wananchi ndani ya wiki moja na wote wakatoka.
 
Point.
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Na wewe nae ni expert member!?
Mod. ebu tueleweshe hizo criteria maana naona aibu kuwa daraja moja na mtoa uzi huu.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Sisi hatuna uhasama na CHADEMA hatuwalipi kodi wala hawatulipishi tozo,tuna uhasama na watoza kodi tu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Adui namba mmoja wa mtanzania,ni wanakijani wambambikiaji na waonevu wa raia wa taifa letu.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.

Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.

Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Kesho tunamzika kada na bendera za ccm,alikua greenguard na kiongozi shupavu tawi la ilala...Hamza a.k.a rambo au kiboko ya policeccm
 
Back
Top Bottom