CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

CHADEMA ilishajenga uhasama na wananchi, kujinasua ni ngumu sana

Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
🤣🤣🤣Sema CHADEMA umeichukia usiwalishe maneno Watanzania ambao wengi wao wanajitambua. Tanzania ya leo sio Tanganyika tena, wengi wanajitambua.
 
Kuna siku Magufuli alikua anaongea akasema.

"Na wabunge wengine hapa hamkuchaguliwa"

Ni ushahidi tosha corridor za Lumumba mnajua mipango mikakati mliyofanya kuanzia kuzima Internet Tarehe 27 October na kuirejesha November 5 dikteta akiwa anakula kiapo kutokana na utawala dhalimu ambao haukufika hata miezi 6!

Kubwa kuhusu CHADEMA mtueleze kwanini message zote zilizokuwa na Jina la Tundu Lissu zilikua marked as "Spam" na zilikua hazimfikii mtu akitumiwa?

Ukweli utabaki vile vile upinzani ni imani kama vile ulivuyo ufuasi

We shall revisit!
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
Kwa mtazamo wako ni nani mwenye uhasama na wanyenchi.au kwa tafsiri yako uhasama ni nini?
 
Nadhani ulipaswa kuweka ccm pale umeweka Chadema!

Kama hukukosea, Bila shaka umeshikiwa akili zako mahala, fanya faster kazichukue
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
CCM ni adui wa maendeleo ya watanzania wanajuta kuifahamu, CHADEMA tumaini lao.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi....
Walijenga ukuta rasmi waliposhangilia kifo cha mwendazake. Pale walitakiwa wawarudishe watanzania pamoja kama ambavyo walikuwa wakisema taifa halipo pamoja.

Ilikuwa ni wakati wa kuyatenda waliyokuwa wanayahubiri na kuyalalamikia. Bahati mbaya wao na viongozi wao kwa pamoja wakaanza kumshambulia marehemu bila kujua adui yako ni rafiki wa mwenzio.

Walishindwa kabisa kuwin mentality za watanzania.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
Kaka kuisema CCM waziwazi namna hii si vizuri ni uchochezi mkubwa.
 
Kaka kuisema CCM waziwazi namna hii si vizuri...ni uchochezi mkubwa.
Acha uongo wanakijani wapo mstari wa mbele kuhujumu umoja wa kitaifa kwa manufaa wanayoyajua,halafu unazungumza habari za mafanikio ya wanakijani kwenye kujenga umoja wa kitaifa.

Ama unatumia tumbo kufikiria badala ya ubongo,vinginevyo use me wewe nisehemu ya genge bambikizi kwa malengo ya kuleta mgawanyiko katika taifa.
 
Walijenga ukuta rasmi waliposhangilia kifo cha mwendazake. Pale walitakiwa wawarudishe watanzania pamoja kama ambavyo walikuwa wakisema taifa halipo pamoja. Ilikuwa ni wakati wa kuyatenda waliyokuwa wanayahubiri na kuyalalamikia. Bahati mbaya wao na viongozi wao kwa pamoja wakaanza kumshambulia marehemu bila kujua adui yako ni rafiki wa mwenzio.

Walishindwa kabisa kuwin mentality za watanzania.
kwani wewe hukushangilia? mumeo mwenyewe anaekupumulia kila siku alishangilia na kunywa bia mpaka asubuhi
 
kwani wewe hukushangilia? mumeo mwenyewe anaekupumulia kila siku alishangilia na kunywa bia mpaka asubuhi
Hapo ndio unazijua akili za wanaojiita chadema. Sasa kwa nini watawala wasiwape kichapo ili kuzidhibiti akili zenu? Maana nyie wenyewe zimewashinda.
 
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.

Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi...
Hichi ndicho kinanishangaza kwanini upinzani tanzania hawakioni kuwa wamepoteza kuungwa mkono na wananchi na sababu ni ujinga wa vyama vya upinzani kupinga maendeleo
 
Tunahitaji upinzani wa kweli kama chama chetu rafiki TLP ambacho mgombea wake wa uraisi ni huyo huyo mgombea wa CCM. Chadema ni tishio la mwisho wa utawala wetu.
mmeshapoteza mwelekeo mama jipangeni upya hakuna tishio lolote kwa chama tawala maana nyie wenyewe hamjui mnataka nini hasa yaani hamjielewi
 
Hip ndio uwezo wa kufikiri wa mwanakijani aliyepatiwa elimu bure.
Panapo majaliwa ya Muumba,2025 Wala Sio mbali.Wakati hUO Lisu Atakuwa keshapewa uenyekiti wa CHADEMA(Maana Mbowe alishasema 2022 anaachia uenyekiti kwa hiari).

Hapo ndipo mtauona Moto wa Lisu Kama Mgombea.Moto uliowaka Zambia utawashwa Tzania na hakuna mgombea CCM atakayekuwa na kifua Cha kuuzima hUO moto(nyie CCM,wenyewe kwa wenyewe mtakuwa mmeshaparanganyika mkitafuta mgombea wenu).
 
Panapo majaliwa ya Muumba,2025 Wala Sio mbali.Wakati hUO Lisu Atakuwa keshapewa uenyekiti wa CHADEMA(Maana Mbowe alishasema 2022 anaachia uenyekiti kwa hiari).Hapo ndipo mtauona Moto wa Lisu Kama Mgombea.Moto uliowaka Zambia utawashwa Tzania na hakuna mgombea CCM atakayekuwa na kifua Cha kuuzima hUO moto(nyie CCM,wenyewe kwa wenyewe mtakuwa mmeshaparanganyika mkitafuta mgombea wenu).
Panapo majaliwa ya Mola.
 
KAULI YA UOGA DHIDI YA CHADEMA,CCM IMEWATIA UMASIKINI WANANCHI MIAKA YOTE 60 ONA MTOTO WA MASIKINI Baba yake ukimwona Utadhani Kichaa Kwa Umasikini Alionao Aliosababishiwa na CCMView attachment 1895160

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
nitajie nchi moja ya kiafrca ambayo haina watu wa dizaini hii kwanza inawezekana hii picha siyo ya tanzania kaeni mkijuwa hata marekani kuna maskini wa kutupwa lakini wanatoa misaada tanzania hayo ni mambo ya kawaida sana kwenye nchi
 
Panapo majaliwa ya Muumba,2025 Wala Sio mbali.Wakati hUO Lisu Atakuwa keshapewa uenyekiti wa CHADEMA(Maana Mbowe alishasema 2022 anaachia uenyekiti kwa hiari).Hapo ndipo mtauona Moto wa Lisu Kama Mgombea.Moto uliowaka Zambia utawashwa Tzania na hakuna mgombea CCM atakayekuwa na kifua Cha kuuzima hUO moto(nyie CCM,wenyewe kwa wenyewe mtakuwa mmeshaparanganyika mkitafuta mgombea wenu).
mtakaa hivyo hivyo kusubiri ccm iparanganyike hamtaiona na 2025 wakati tunachukuwa madaraka kwa mara nyingine lissu atakuwa bado na siasa zake za kipumbavu na kukaa nje ya nchi yeye atakuwa bado anashawishi nchi za ulaya ziweke migomo kuisaidia tanzania sasa huyo mwananchi atakaye mpa kura mtu anayeihujumu nchi yake mwenyewe ni nani?
 
mtakaa hivyo hivyo kusubiri ccm iparanganyike hamtaiona na 2025 wakati tunachukuwa madaraka kwa mara nyingine lissu atakuwa bado na siasa zake za kipumbavu na kukaa nje ya nchi yeye atakuwa bado anashawishi nchi za ulaya ziweke migomo kuisaidia tanzania sasa huyo mwananchi atakaye mpa kura mtu anayeihujumu nchi yake mwenyewe ni nani?
Ndugu yangu,hata boya hupotea baharini kwa kuchukuliwa na mawimbi makali,ije kuwa wanakijani waliooacha kutumia akili kufikiri badala yake wanatumia tumbo.
 
Back
Top Bottom