Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Ila tusifu udhalimu na kuimba mapambio hata watz wanapokandamizwa, wanapouawa?????????????????Kupingapinga ndio upinzani halisi?
CHADEMA inapendwa sana na wananchi. Wewe kumbuka zile faini za mamilioni zilichangwa na wananchi ndani ya wiki moja na wote wakatoka.
Wewe unamawazo ya mwaka 1914Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
Wewe unamawazo ya mwaka 1914Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
Hahahaaa .hakikaNadhani ulipaswa kuweka ccm pale umeweka Chadema!
Kama hukukosea, Bila shaka umeshikiwa akili zako mahala, fanya faster kazichukue
Watia huruma. Uliishaishiwa, umeishafilisika hoja.Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
Ndugu POLE,Nyie mmerelax? Mbona kama nyie ndio mnalia kila siku.?
Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Na wewe nae ni expert member!?Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Hata unachofikiri na kukiandika hukielewi.Chadema ni ya wachagana na jamii za kikasikazini ni dhambi kubwa sana mchaga mkabila kuwa rais Wa nchi hii.
Sisi hatuna uhasama na CHADEMA hatuwalipi kodi wala hawatulipishi tozo,tuna uhasama na watoza kodi tuUmoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Adui namba mmoja wa mtanzania,ni wanakijani wambambikiaji na waonevu wa raia wa taifa letu.Umoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.
Kesho tunamzika kada na bendera za ccm,alikua greenguard na kiongozi shupavu tawi la ilala...Hamza a.k.a rambo au kiboko ya policeccmUmoja wa kitaifa ni jambo la msingi sana kwenye ujenzi wa Taifa. Taifa la Tanzania limefanikiwa pakubwa sana kuwa na umoja wa kitaifa.
Lakini panapotokea chama cha siasa ambacho kwa maslahi binafsi kinataka kutengenisha umoja wa kitaifa, lazima kichukiwe na wananchi.
Ni kweli kila nchi inahitaji upinzani ili kuwa kama kioo kwa chama tawala. Lakini sio upinzani unaotishia na kupinga kila jambo linalofanywa na chama tawala.
Kupinga, ujenzi wa miradi mikakati, shule, hata sera na mipango madhubuti kwa taifa. Hiki kimesababisha CHADEMA kujenga uhasama kwa wananchi. Kwa ufupi kimechukiwa.