CHADEMA ilitakiwa kufa 2014, wafuatao ni Wasaliti wakuu na Mamluki waliopandikizwa

CHADEMA ilitakiwa kufa 2014, wafuatao ni Wasaliti wakuu na Mamluki waliopandikizwa

Wewe ndiyo unajidanganya ili uipe faraja nafsi yako na wanaokutuma.
Kama yeye katika bei kwann aitwe ikulu? Mbona hajaitwa mrema? Au lyatonga siyo mpinzani???
Mbowe ni akili kubwa wewe. Yaani unamweka kapu moja na Mrema, acha hizo mkuu. Unakumbuka siku ile alipopewa nafasi ya kusalimia kwenye maadhimisho ya Uhuru alivyosema kwa habari ya kupendana na kuridhiana kama watanzania kwa manufaa mapana ya Taifa? Kipindi kile cha yule mzee aliyekufa.

the rock of the north!


JESUS IS LORD
 
Mbowe ni akili kubwa wewe. Yaani unamweka kapu moja na Mrema, acha hizo mkuu. Unakumbuka siku ile alipopewa nafasi ya kusalimia kwenye maadhimisho ya Uhuru alivyosema kwa habari ya kupendana na kuridhiana kama watanzania kwa manufaa mapana ya Taifa? Kipindi kile cha yule mzee aliyekufa.

the rock of the north!


JESUS IS LORD
Mkuu sijamlinganisha mbowe na mrema kwa bahati mbaya. Nilimjibu hugo jamaa kwamba kama anafikiri mbowe kashafika bei tu kwakuwa anakwenda ikulu. Mashauri aitwe lyatonga kwani na yeye si mpinzani? Mbona Haiti anaitwa mbowe na viongozi wenzie.
Nilimaanisha hivyo
 
Wewe ndiyo unajidanganya ili uipe faraja nafsi yako na wanaokutuma.
Kama yeye katika bei kwann aitwe ikulu? Mbona hajaitwa mrema? Au lyatonga siyo mpinzani???
Ndio maana hata Jpm aliamini kumpata Mbowe cha kwanza ni kummaliza kiuchumi.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015[emoji1545][emoji1545][emoji1534]
 
Umemsahau Mbowe, yeye ndio enginia wa kila kitu. Na hakuna ajustment anafanya bila kupiga pesa
Hivi alipovunjiwa Bilcanas,kufungiwa gazeti lake,kuharibiwa mashamba na biashara zake hatimaye kubambikiwa kesi ya uhujumu licha kufungwa jela awali "alipiga fedha" kiasi gani
 
Aliyemleta na kumpigania Lowasa ndani ya chadema ni Tundu Lisu, huwezi mtenganisha Tundu Lisu na fate ya chadema!

..sio kweli.

..aliyempeleka Lowassa Chadema ni Dr.Wilbrod Slaa.

..yeye ndiye aliyefanya mazungumzo na timu ya Lowassa kujiunga na Chadema.

..timu ya Lowassa ilihusisha bwana mmoja aliwahi kuwa balozi wa Tz ktk nchi mbalimbali ana asili ya Rwanda.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Acha kupotosha mkuu, haimanishi Kila anayetofoutiana na mkti wa chadema ni msaliti
Ifike mahali tuheshimu michango ya watu wengine kwenye chama hata Kama tanatofautiana nao
Hili neno usaliti limetumika vibaya Sana kwa wanachama wenye mawazo tofauti
Sijui tunatengeneza demokrasia gani ya chama

Tunaonyesha tofauti gani na chama tawala kinachowatesa wapinzani ?
Kwa mawazo haha ya kuona Kila mtu msaliti
Inaonyesha mkipewa utawala mtakuwa wa Kwanza kufungia vyama vya upinzani na kuwatesa
Kwa kuwaita wasaliti
Badilikeni
 
Acha kupotosha mkuu, haimanishi Kila anayetofoutiana na mkti wa chadema ni msaliti
Ifike mahali tuheshimu michango ya watu wengine kwenye chama hata Kama tanatofautiana nao
Hili neno usaliti limetumika vibaya Sana kwa wanachama wenye mawazo tofauti
Sijui tunatengeneza demokrasia gani ya chama

Tunaonyesha tofauti gani na chama tawala kinachowatesa wapinzani ?
Kwa mawazo haha ya kuona Kila mtu msaliti
Inaonyesha mkipewa utawala mtakuwa wa Kwanza kufungia vyama vya upinzani na kuwatesa
Kwa kuwaita wasaliti
Badilikeni
Unawajua MM, M1, M2 na M3 unajua walitaka kufanya mapinduzi, kwhy unataka kutuambia hivyo ndivyo kutofautiana kimawazo.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Chadema haiwezi kufa..katoka nduki mwenda..miaka 6 kasota kashindwa
 
Mbowe siyo masikini na wala hatuonani na masikini kama babu yako kule kijijini. Ndo maana imeshindikana kumnunua na ccm na magufuli wakaishia kuwanunua kina waitara ( najua historia yake) na kuwapa ubunge
Mchagga Mbowe hawezi kuacha kitega uchumi chake kinachompa mabilioni ya bure bure.

Akiona pesa, anapiga mpaka magoti.
 

Attachments

  • IMG_20220516_165812.jpg
    IMG_20220516_165812.jpg
    8.7 KB · Views: 3
  • IMG_20220516_165815.jpg
    IMG_20220516_165815.jpg
    23.4 KB · Views: 4
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), Arif M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Sasa hivi Chadema ipo?
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), Arif M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Mbona sasa mmegeuka mamluki wenyewe kwa wenyewe.Sasa hivi viongozi wenu ni makada wa CCM kutwa wanalamba asali.Yaani CCM ihangaike kuiua Chadema???? Lichama mnalikata shoka wenyewe kwa ulafi wa asali
 
Back
Top Bottom