CHADEMA ilitakiwa kufa 2014, wafuatao ni Wasaliti wakuu na Mamluki waliopandikizwa

CHADEMA ilitakiwa kufa 2014, wafuatao ni Wasaliti wakuu na Mamluki waliopandikizwa

Mbona sasa mmegeuka mamluki wenyewe kwa wenyewe.Sasa hivi viongozi wenu ni makada wa CCM kutwa wanalamba asali.Yaani CCM ihangaike kuiua Chadema???? Lichama mnalikata shoka wenyewe kwa ulafi wa asali
Kwani CCM na Chadema zimeanza kukutana leo.
 
Acha kupotosha mkuu, haimanishi Kila anayetofoutiana na mkti wa chadema ni msaliti
Ifike mahali tuheshimu michango ya watu wengine kwenye chama hata Kama tanatofautiana nao
Hili neno usaliti limetumika vibaya Sana kwa wanachama wenye mawazo tofauti
Sijui tunatengeneza demokrasia gani ya chama

Tunaonyesha tofauti gani na chama tawala kinachowatesa wapinzani ?
Kwa mawazo haha ya kuona Kila mtu msaliti
Inaonyesha mkipewa utawala mtakuwa wa Kwanza kufungia vyama vya upinzani na kuwatesa
Kwa kuwaita wasaliti
Badilikeni
KARATU na Ngorongoro ni ndugu wa damu, ukimya wa Dr Mihogo unaleta harufu ya USALITI. Amen
 
Back
Top Bottom