Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Lazma yafanyike kwakua watanzania wanalipa kodi pia ni wajibu wa Serikali iliyoko marakani. Uliwai kulisifia jua?
Yalipokuwa hayafanyiki kwa kasi kama hii mlitukana na kuibeza sana CCM hadi mkawa mnasema ni chama cha wala rushwa,leo mnasema lazima yafanyike! Kasi hii ni kwa utashi wa mtu aliyeshika usukani. Ndio maana amekubalika sana. Maana vituo vya afya 400+ ndani ya miaka minne. Sio kawaida (mfano mmoja tu).
 
Umethibitisha vipi Kama cdm ndio wameombea mabaya.Siasa zilizuiwa kwa upinzani pekee kumbuka Hilo.Ccm wamefanya nchi nzima plus mwenyekiti akizunguka nchi nzima kufanya siasa vipi kipi kimekwamishwa
Lakini si aliruhusu kwa wabunge kufanya majimboni kwenu? Katibu mwenezi anazunguka kukagua kama ilani inatekelezwa ya chama chake Mwenyekiti anazunguka kama mkuu wa nchi na hapo ndio anawatumikia watu wote haijalishi ni wa chama gani. Na hata ilani ya CCM inapotekelezwa watanzania wote tunanufaika kwa pamoja. Haijalishi wewe ni Ccm au Chadema.
 
CCM jibuni tuhuma za SiAGii msijibadaguze....ni tuhuma nzito mno kama mkigoma tunawaita IFM ili ije kulichunguza jungu letu kuu la kutunzia ukoko!!
 
Lakini si aliruhusu kwa wabunge kufanya majimboni kwenu? Katibu mwenezi anazunguka kukagua kama ilani inatekelezwa ya chama chake Mwenyekiti anazunguka kama mkuu wa nchi na hapo ndio anawatumikia watu wote haijalishi ni wa chama gani. Na hata ilani ya CCM inapotekelezwa watanzania wote tunanufaika kwa pamoja. Haijalishi wewe ni Ccm au Chadema.
Kuzuia wengine isipokuwa wa chama chake kufanya siasa. Hivi alitumia au mlitumia sheria ipi? Kifungu gani cha katiba ya JMT?
 
Yalipokuwa hayafanyiki kwa kasi kama hii mlitukana na kuibeza sana CCM hadi mkawa mnasema ni chama cha wala rushwa,leo mnasema lazima yafanyike! Kasi hii ni kwa utashi wa mtu aliyeshika usukani. Ndio maana amekubalika sana. Maana vituo vya afya 400+ ndani ya miaka minne. Sio kawaida (mfano mmoja tu).
VIP ripoti za CAG h
 
Yalipokuwa hayafanyiki kwa kasi kama hii mlitukana na kuibeza sana CCM hadi mkawa mnasema ni chama cha wala rushwa,leo mnasema lazima yafanyike! Kasi hii ni kwa utashi wa mtu aliyeshika usukani. Ndio maana amekubalika sana. Maana vituo vya afya 400+ ndani ya miaka minne. Sio kawaida (mfano mmoja tu).

Yote Kama hayaondolei watu umasikini ni bure
 
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.
Upuuzi mtupu, bila police_ccm mpo kweli nyie??
 
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.
Wewe mbweha ebu ficha ufala wako hujuia kuwa kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa kila jambo baya hajalishi ni Dogo au kubwa , hakuna sehemu chadema wanaombea watu wafe Serikali ya kidikteta ya CCM ipate Aibu bali chadema wananung’unika juu ya CCM kuchelewa kuzuia Ndege toka china ulaya America zilizoleta wagonjwa wa corona kwa wingi Tanzania, acha kuwasingizia chadema uongo acha ushamba wa kuwapangia chadema vya kuikosoa Serikali yako , takwimu za CCM juu Ugonjwa ndizo zimepelekea Tatizo kuwa kubwa zaidi kwani watanzania hawajali kwa sababu wanaaminishwa na CCM kuwa mungu atawalinda na hawapaswi kujilinda wenyewe, CCM ndiyo wanaombea watu wafe kwa wingi ili wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mpaka mwaka 2025, acha tabia za kuisingizia uongo chadema Tambua kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho wanajua kila kitu ujinga wenu wote wanaufahamu vyema.
 
Nakubaliana na wewe hili la Covid 19 wanavyolifurahia, wanasahau kuwa wanakata tawi walilolikalia.

Binafsi naona serikali kwa nafasi yake imejitahidi sana wanaotaka total lockdown wajue na hali ya uchumi wa Dunia ulivyo na vipato vya watu hasa maskini,kitu muhimu ni kuendelea kutoa elimu namna ya kujikinga.

Baadhi ya nchi dunia ya kwanza huko tayari wanataka kuruhusu baadhi ya shughuli ziendelee hii ina maanisha wameshaona athari ya kiuchumi.

Ushauri wangu tuisupport serikali katika janga hili ili kwa pamoja tuvuke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataumbuka sana,! Yani kati ya vitu chadema hii ya kina kigogo wa twiter kitawaumbua ni hili la kishangilia corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ingekuwa inatangaza ukweli watu wakajua jinsi corona ilivyosambaa Tanzania nina hakika maambukizi yangepungua kwa kasi, lakini CCM wanaficha takwimu matokeo yake watanzania wameona kuwa corona siyo janga kubwa wameendelea kukaa vijiweni watoto kucheza pamoja na misongamano kariakoo na sehemu zingine za hapo jijini Dsm
 
Wataumbuka sana,! Yani kati ya vitu chadema hii ya kina kigogo wa twiter kitawaumbua ni hili la kishangilia corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga wako chadema wanashangilia wapi lini kuhusu corona? Acheni kuvuta Bangi kisha kuwapakazia chadema uongo, CCM nyinyi ndiyo mnaombea corona isambae watu wafe mpate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mpaka mwaka 2025
 
Mulokozijr12,
Dhambi zenu ndiyo zinaleta majanga kabisa..Hivi kwa akili yako unaweza kutueleza kwa ukweli kua hao wapinzani wetu wanashangilia ili janga? Hivi wao kutoa mawazo yao kama lockdown ina maana wana support kuwepo ili janga?

Kenya, S.Africa, Uganda, Botswana, Rwanda, England, Spain wameweka lockdown je,CHADEMA ndiyo wamewashauri hivi?

Kwa upumbavu wa hivi unastahili kujifunza jinsi ya kufanya siasa wala siyo upuuzi kama huu...nyie ndiyo mlimpigia makofi na vigelegele Pole Pole alipowaita CHADEMA NI COVID-19
Watetezi wa CCM mitandaoni kwa 90% ni mbumbumbu vilaza kwa Akili zao finyu wanazani wakiwasingizia chadema uongo wataonekana wamechangia point mitandaoni kumbe hawajui kuwa wanaiaibisha CCM zaidi
 
Lakini si aliruhusu kwa wabunge kufanya majimboni kwenu? Katibu mwenezi anazunguka kukagua kama ilani inatekelezwa ya chama chake Mwenyekiti anazunguka kama mkuu wa nchi na hapo ndio anawatumikia watu wote haijalishi ni wa chama gani. Na hata ilani ya CCM inapotekelezwa watanzania wote tunanufaika kwa pamoja. Haijalishi wewe ni Ccm au Chadema.
Wewe ni mbumbumbu juha kabsa ni Aibu kwa CCM kukutegemea uiwakilishe mitandaoni kwani unazidi kuifedhehesha kwa ujinga wako mwingi unaoleta mitandaoni
 
Ndio kusema haya yanayofanyika hapa nchini hayaonekani au mmefumba macho?

Kama haya yanayofanyika hapa nchi yanatoa uhalali wa kubaki madarakani, basi makaburu wa Afrika Kusini walipaswa kuwepo madarakani mpaka leo.
 
Back
Top Bottom