Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Naomba uelewe CCM ndio chama ambacho kimepewa madaraka ya kuongoza nchi. Wanapopewa hayo madaraka Katibu mkuu na Katibu mwenezi lazima wazunguke kuhakikisha kama ilani ya CCM inatekelezwa.Kwa hiyo sio kama amezuia wengine na kuruhusu chama chake tu.
Kuhusu ni ibara ipi ya katiba nafikiri kasome ibara ya 30(1) ambayo inaweka wazi The human rights and freedoms ,the principles of which are set out in this constitution,shall not be exercised by a person in a manner that causes interference or curtailment of rights and freedoms of other persons or of public interest.
Kwa hiyo ili kuondoa interference ya public interest ili aweze kufanya kazi ndio maana alizuia mikutano ya kisiasa ili afanye kazi ambazo kila mtu anaziona. Kwa hiyo sio kwamba sababu una haki ya kukusanyika na kufanya mikutano. Kama itakuwa na athari kwa manufaa ya umma na kuzuia maendeleo yasifanyike inaweza ikatoka amri,ili mradi isiwe kinyume na katiba.
Chagu wa malunde. Unaendelea kujiaibisha, hebu soma na urudie ulichokiandika hapa. Hivi hata kwa hao waliokomaa ki democracy . Kuna wakati republican (Trump) anaweza kuwazuia democrats kufanya siasa zao mahali popote ndani ya US kwa kisingizio chochote ?!. Au conservative wanaweza kuwaingilia Labour mahali popote ndani ya UK , kwa kuwa tu ni chama tawala ?!

Jamaa yako ameleta Sheria za wanyama Pori kuongozea binaadamu . Hata Ccm yake ingetendewa hivyo asingelielewa !! Tatizo binaadamu ni wabinafsi .

Na kuhusu Covid 19 tatizo si wapinzani na hakuna sehemu pa kuwalaumu. Uongozi umechukulia mambo kienyeji tangu jambo hili linapigiwa Tatumbeta. Huwezi kuzuia masomo na kuacha ibada za mikusanyiko ziendelee Chagu. Roma Italy ilikoanzia ukatoliki watu wamesali pasaka ndani , Jerusalem makufuli yalining'inia kwenye ma synagogue. Makkah ilikozaliw uislamu pamefungwa. Halafu sisi hapa tunatafuta cheap popularity .



Odhis *
 
Yalipokuwa hayafanyiki kwa kasi kama hii mlitukana na kuibeza sana CCM hadi mkawa mnasema ni chama cha wala rushwa,leo mnasema lazima yafanyike! Kasi hii ni kwa utashi wa mtu aliyeshika usukani. Ndio maana amekubalika sana. Maana vituo vya afya 400+ ndani ya miaka minne. Sio kawaida (mfano mmoja tu).
Kakopa kiasi gani?Hivi kwa kukopa huko unadhani JK angeshindwa kufanya hayo?Kwa miaka minne JPM amekopa kuliko jumla ya walichokopa watangulizi wake wote!Yaani deni la Nyerere+Mwinyi+Mkapa+Kikwete ni chini ya deni la JPM kwa miaka minne!
Sasa unashangazwa na jambo gani hapo?
 
Watetezi wa CCM mitandaoni kwa 90% ni mbumbumbu vilaza kwa Akili zao finyu wanazani wakiwasingizia chadema uongo wataonekana wamechangia point mitandaoni kumbe hawajui kuwa wanaiaibisha CCM zaidi
Naunga mkono hoja,kuna wakati huwa nafikiri labda ili usajiliwe kwenye hiyo timu sharti la kwanza ni kuwa mpumbavu!
 
Chagu wa malunde. Unaendelea kujiaibisha, hebu soma na urudie ulichokiandika hapa. Hivi hata kwa hao waliokomaa ki democracy . Kuna wakati republican (Trump) anaweza kuwazuia democrats kufanya siasa zao mahali popote ndani ya US kwa kisingizio chochote ?!. Au conservative wanaweza kuwaingilia Labour mahali popote ndani ya UK , kwa kuwa tu ni chama tawala ?!

Jamaa yako ameleta Sheria za wanyama Pori kuongozea binaadamu . Hata Ccm yake ingetendewa hivyo asingelielewa !! Tatizo binaadamu ni wabinafsi .

Na kuhusu Covid 19 tatizo si wapinzani na hakuna sehemu pa kuwalaumu. Uongozi umechukulia mambo kienyeji tangu jambo hili linapigiwa Tatumbeta. Huwezi kuzuia masomo na kuacha ibada za mikusanyiko ziendelee Chagu. Roma Italy ilikoanzia ukatoliki watu wamesali pasaka ndani , Jerusalem makufuli yalining'inia kwenye ma synagogue. Makkah ilikozaliw uislamu pamefungwa. Halafu sisi hapa tunatafuta cheap popularity .



Odhis *
Odhiambo cairo nafikiri ni kama umejijibu mwenyewe, mara baada ya uchaguzi kuisha kule Usa huwezi kusikia siasa za kupinga aliyechaguliwa asitekeleze kile alichoahidi. Nafikiri toka uchaguzi wa Us uliopita ni mwaka huu ndio tumeanza kusikia watu wanatangaza nia. Na hata chaguzi ndogo zilikuwa zianze kama sio hili janga. Sijawahi kusikia Democrat wanaendesha mikutano ati kupinga rais aliyepo madarakani asitekeleze ilani ya chama chake.
Na kama hili suala ni kinyume na Katiba na sheria za nchi nafikiri hawa jamaa zako wangekuwa wameenda mahakamani kupinga. We unadhani kwa nini hawendi? Na mahakama kuu ipo wazi.
Unakumbuka yule kijana muuza magazeti aliyefariki Morogoro wakati wa mikutano yenu? Nafikiri ni moja ya mambo ambayo yanastahili kuepukika.
Au mlitaka kutangaza kwamba nchi haitawaliki kama kipindi kile? Maana kama PM atakuwa Mwanza alafu na nyie mnamkutano mfano viwanja vya furahisha,na PM anasikiliza kero za wananchi Kitangiri unadhani hapo picha ikoje?
Hili zuio halijafanywa kwa nia mbaya na uzuri kazi imefanyika na mambo yaliyofanyika umeyaona kwa macho.
Kuhusu Covid -19 si walaumu wapinzani ila naeleza jinsi wanavyo onyesha wao sio wazalendo. Ni kama wanafurahia tunapopata case ya mgonjwa au mtu kufariki. Angalie ile video ambayo Mh Lema ameisbaza kupitia tweeter na mtu mmoja akaileta humu ndani Jf,sio jambo zuri.
Sweden ni nchi iliyoendelea mpaka sasa kuna vifo 1200+ lakini hamna lockdown na hata social distancing measures hazijachukuliwa. WHO mpaka wanashauri wachukue hatua.
Tusipende kulaumu tu ili kupata mwanya wa kutafuta sifa. Mfano kama watu walienda makanisani viongozi wa makanisa walipaswa kuhakikisha kila mtu anakaa umbali wa mita moja na nusu. Hayo ndio mambo ya msingi kuzingatia.
 
Odhiambo cairo nafikiri ni kama umejijibu mwenyewe, mara baada ya uchaguzi kuisha kule Usa huwezi kusikia siasa za kupinga aliyechaguliwa asitekeleze kile alichoahidi. Nafikiri toka uchaguzi wa Us uliopita ni mwaka huu ndio tumeanza kusikia watu wanatangaza nia. Na hata chaguzi ndogo zilikuwa zianze kama sio hili janga. Sijawahi kusikia Democrat wanaendesha mikutano ati kupinga rais aliyepo madarakani asitekeleze ilani ya chama chake.
Na kama hili suala ni kinyume na Katiba na sheria za nchi nafikiri hawa jamaa zako wangekuwa wameenda mahakamani kupinga. We unadhani kwa nini hawendi? Na mahakama kuu ipo wazi.
Unakumbuka yule kijana muuza magazeti aliyefariki Morogoro wakati wa mikutano yenu? Nafikiri ni moja ya mambo ambayo yanastahili kuepukika.
Au mlitaka kutangaza kwamba nchi haitawaliki kama kipindi kile? Maana kama PM atakuwa Mwanza alafu na nyie mnamkutano mfano viwanja vya furahisha,na PM anasikiliza kero za wananchi Kitangiri unadhani hapo picha ikoje?
Hili zuio halijafanywa kwa nia mbaya na uzuri kazi imefanyika na mambo yaliyofanyika umeyaona kwa macho.
Kuhusu Covid -19 si walaumu wapinzani ila naeleza jinsi wanavyo onyesha wao sio wazalendo. Ni kama wanafurahia tunapopata case ya mgonjwa au mtu kufariki. Angalie ile video ambayo Mh Lema ameisbaza kupitia tweeter na mtu mmoja akaileta humu ndani Jf,sio jambo zuri.
Sweden ni nchi iliyoendelea mpaka sasa kuna vifo 1200+ lakini hamna lockdown na hata social distancing measures hazijachukuliwa. WHO mpaka wanashauri wachukue hatua.
Tusipende kulaumu tu ili kupata mwanya wa kutafuta sifa. Mfano kama watu walienda makanisani viongozi wa makanisa walipaswa kuhakikisha kila mtu anakaa umbali wa mita moja na nusu. Hayo ndio mambo ya msingi kuzingatia.
Mahakama zipi unazizungumzia onghwise ?!. Hizi mahakimu wamejitoa ufahamu kutafuta uteuzi !!. Au hizi boss anasema pesa ninawapa lakini kwanini serikali inashindwa kesi mara kwa mara !!. Mfano umeona kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi . Sihitaji hata kuongeza neno.



Odhis *
 
Mahakama zipi unazizungumzia onghwise ?!. Hizi mahakimu wamejitoa ufahamu kutafuta uteuzi !!. Au hizi boss anasema pesa ninawapa lakini kwanini serikali inashindwa kesi mara kwa mara !!. Mfano umeona kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi . Sihitaji hata kuongeza neno.



Odhis *
Odhiambo cairo katiba ya JMT ipo wazi kabisa kama kuna haki yoyote ya msingi imepindiswa unapata haki yako ukienda Mahakama Kuu.
 
Naomba uelewe CCM ndio chama ambacho kimepewa madaraka ya kuongoza nchi. Wanapopewa hayo madaraka Katibu mkuu na Katibu mwenezi lazima wazunguke kuhakikisha kama ilani ya CCM inatekelezwa.Kwa hiyo sio kama amezuia wengine na kuruhusu chama chake tu.
Kuhusu ni ibara ipi ya katiba nafikiri kasome ibara ya 30(1) ambayo inaweka wazi The human rights and freedoms ,the principles of which are set out in this constitution,shall not be exercised by a person in a manner that causes interference or curtailment of rights and freedoms of other persons or of public interest.
Kwa hiyo ili kuondoa interference ya public interest ili aweze kufanya kazi ndio maana alizuia mikutano ya kisiasa ili afanye kazi ambazo kila mtu anaziona. Kwa hiyo sio kwamba sababu una haki ya kukusanyika na kufanya mikutano. Kama itakuwa na athari kwa manufaa ya umma na kuzuia maendeleo yasifanyike inaweza ikatoka amri,ili mradi isiwe kinyume na katiba.
POLE sana ndugu yangu,
Nadhani kiwango cha uelewa wako ndio chenye mapengo. Hayo mnayofanya na kujivunia na kubuni visingizio (debe zima) ndio ukandamizaji wenyewe wa wa haki za watz wengine.
 
POLE sana ndugu yangu,
Nadhani kiwango cha uelewa wako ndio chenye mapengo. Hayo mnayofanya na kujivunia na kubuni visingizio (debe zima) ndio ukandamizaji wenyewe wa wa haki za watz wengine.
Mahakama kuu ipo wazi nendeni mahakamani kama kuna ukandamizaji
.
 
Inaonekana umeumia sana, kwa taarifa yako mlizoea kusikia mambo ya kusia tu. Sasa watz wamewmka kwahiyo kila mwenye hoja au kuhoji jambo, mnahisi ni Chadema tu. Pole sana, mwisho umefika. Hongera yake maana amefanya mambo yanayoonekana machoni.
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.
Umesahau humu walikuwa wanakesha na kuomba ije ikaja ikamchapa na DJ wao kuonesha hii kitu haihitaji usukule saiv wanaomba na kukesha mitandaoni watangaziwe lockdown ila kwa sharti la kupewa ugali Ni ajabu sana Hawa chadema

Sent from Tapatalk
 
Odhiambo cairo,
Ishu sio kutoa ushauri, ishu ni kufurahia taifa lako lipate matatizo hasa la janga kama hili, jambo ambalo sio zuri. Kuhusu kutoitwa ikulu hilo ni suala lingine maana kutoitwa ikulu sio kwamba hawatambui ila labda amepima ninyi niwa aina gani.Maana huwa kuna wapinzani na wapingaji. Labda ameshagundua nyie ni wapingaji na hamuwezi kukaa meza moja mkajadili sasa awaite ili iweje?

Pia unadhani hata kama tungesimamisha usafiri wa anga huu ugonjwa usingepenya? Maana kuna ndugu zako wanatoka Kenya sasa hivi wanapita njia za panya badara ya kupita border ya sirari,hujui kama hao nao wanaweza kuuleta na huu ugonjwa unaweza kukaa na mtu kuanzia siku ya kwanza mpaka ya kumi na nne.

Huu sio wakati wa kuleta Chuki ati kisa kuna mtu aliwaita nyie corona virus. Trump aliwadhihaki China lakini wachina wamewasaidia wamarekani huu ndio uungwana.
Kwa hiyo mnapaswa muonyeshe ukomavu wa kisiasa.

N.b. Mimi sio mwana CCM ila nazungumzia ukweli wa mambo.
Well said mkuu!
 
Back
Top Bottom