Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #81
Tumia akili zako kupima hiko,je ni kweli?Uzalendo kwako ni kuimba nyimbo za kuisifu ccm?
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili zako kupima hiko,je ni kweli?Uzalendo kwako ni kuimba nyimbo za kuisifu ccm?
In God we Trust
Naomba uelewe CCM ndio chama ambacho kimepewa madaraka ya kuongoza nchi. Wanapopewa hayo madaraka Katibu mkuu na Katibu mwenezi lazima wazunguke kuhakikisha kama ilani ya CCM inatekelezwa.Kwa hiyo sio kama amezuia wengine na kuruhusu chama chake tu.
Kuhusu ni ibara ipi ya katiba nafikiri kasome ibara ya 30(1) ambayo inaweka wazi The human rights and freedoms ,the principles of which are set out in this constitution,shall not be exercised by a person in a manner that causes interference or curtailment of rights and freedoms of other persons or of public interest.
Kwa hiyo ili kuondoa interference ya public interest ili aweze kufanya kazi ndio maana alizuia mikutano ya kisiasa ili afanye kazi ambazo kila mtu anaziona. Kwa hiyo sio kwamba sababu una haki ya kukusanyika na kufanya mikutano. Kama itakuwa na athari kwa manufaa ya umma na kuzuia maendeleo yasifanyike inaweza ikatoka amri,ili mradi isiwe kinyume na katiba.
ni uchwara ila andaa majibu,usji ulizwa na wananchi ukabaki unambwera.hivi bado mnaulizaga haya maswali uchwara?
Mahakama ipi unayozungumzia? Walewale ambao wakati wa hukumu ya ubunge wa Tundu Lissu walisema wanaogopa mgongano na mhimili mwingine?Mahakama kuu ipo wazi nendeni mahakamani kama kuna ukandamizaji
.