Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Uchaguzi 2020 Chadema imekosa ajenda za msingi ya kupambana na chama tawala!

Mimi nawakilisha ukweli wa mambo wala sio mwana CCM. Najua ukweli unauma ndio maana unatukana hovyo.

Kama wewe sio ccm, umejuaje wanaochangia humu mitandaoni ni wapinzani wakati huku ndani sio ofisi ya chama chochote cha siasa? Ingekuwa haya madai yako yametolewa na msemaji rasmi wa chama fulani cha upinzani, haya madai yako yangekuwa na maana. Acha utoto boss, kama unataka kujipendekeza kwa ccm, tafuta njia nyingine sio hii ya kuichafua cdm.
 
Kuzuia wengine isipokuwa wa chama chake kufanya siasa. Hivi alitumia au mlitumia sheria ipi? Kifungu gani cha katiba ya JMT?
Naomba uelewe CCM ndio chama ambacho kimepewa madaraka ya kuongoza nchi. Wanapopewa hayo madaraka Katibu mkuu na Katibu mwenezi lazima wazunguke kuhakikisha kama ilani ya CCM inatekelezwa.Kwa hiyo sio kama amezuia wengine na kuruhusu chama chake tu.
Kuhusu ni ibara ipi ya katiba nafikiri kasome ibara ya 30(1) ambayo inaweka wazi The human rights and freedoms ,the principles of which are set out in this constitution,shall not be exercised by a person in a manner that causes interference or curtailment of rights and freedoms of other persons or of public interest.
Kwa hiyo ili kuondoa interference ya public interest ili aweze kufanya kazi ndio maana alizuia mikutano ya kisiasa ili afanye kazi ambazo kila mtu anaziona. Kwa hiyo sio kwamba sababu una haki ya kukusanyika na kufanya mikutano. Kama itakuwa na athari kwa manufaa ya umma na kuzuia maendeleo yasifanyike inaweza ikatoka amri,ili mradi isiwe kinyume na katiba.
 
Kama wewe sio ccm, umejuaje wanaochangia humu mitandaoni ni wapinzani wakati huku ndani sio ofisi ya chama chochote cha siasa? Ingekuwa haya madai yako yametolewa na msemaji rasmi wa chama fulani cha upinzani, haya madai yako yangekuwa na maana. Acha utoto boss, kama unataka kujipendekeza kwa ccm, tafuta njia nyingine sio hii ya kuichafua cdm.
Unataka kuingilia haki yangu ya msingi ya kikatiba ya kutoa maoni. Naomba uishie hapo hapo
 
Kama haya yanayofanyika hapa nchi yanatoa uhalali wa kubaki madarakani, basi makaburu wa Afrika Kusini walipaswa kuwepo madarakani mpaka leo.
Ule ulikuwa utawala wa watu wachache, ambao walitawala kimabavu. Kumbuka hilo kwa hiyo hata kama walifanya maendeleo,walibagua watu weusi. Na hii ni kinyume na sheria za kimataifa.
 
Ule ulikuwa utawala wa watu wachache, ambao walitawala kimabavu. Kumbuka hilo kwa hiyo hata kama walifanya maendeleo,walibagua watu weusi. Na hii ni kinyume na sheria za kimataifa.

Hata hapa Magufuli anafanya hivyo na kunajisi chaguzi zetu kwa faida ya ccm. Mfano kilichoendelea kwenye chaguzi zote za marudio, na uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Hata hapa Magufuli anafanya hivyo na kunajisi chaguzi zetu kwa faida ya ccm. Mfano kilichoendelea kwenye chaguzi zote za marudio, na uchaguzi wa serikali za mitaa.
Unataka kusema ubaguzi uliokuwepo SA na pia unafanyika hivyo hivyo?
 
Hoja hujibiwa kwa hoja, mnafurahi taifa linapopata vifo na maambukizi ya Covid-19. Mnapata faid gani? Au ndio kufirisika kiaiasa?

Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kuleta mada za kipuuzi hapa. Tafuta popote nilipo furahia watu kupata vifo.
 
Hilo ni genge la wakora,wakuogopwa kama ugonjwa wa ukoma,kifupi hawafai hata kidogo na wengi wao ni ma gay na lesbian
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kuleta mada za kipuuzi hapa. Tafuta popote nilipo furahia watu kupata vifo.
Kwa hiyo mlipoirusha ile clip jana ya Mh Lema we hukufurahi au unajichetua?
 
Kwa hiyo mlipoirusha ile clip jana ya Mh Lema we hukufurahi au unajichetua?

Nakuambia hivi, acha utoto we dogo, tuliirusha mimi na nani? Nimekuambia nionyeshe nilifurahia nini, kwenye post namba ngapi? Naona unapamia mabasha kinguvu, kwa kuleta siasa za kipuuzi hapa jukwaani.
 
Inashangaza sana na inatia huruma, dunia nzima ipo katika wimbi zito la kupambana na ugonjwa wa Covid-19. Ugonjwa ambao umeua watu zaidi ya laki moja dunia nzima.

Wanasiasa na wafuasi wa Chadema wanakesha mitandaoni kuiombea vibaya nchi yao ipate maambukizi ili chama tawala kionekane kilishindwa kuchukua hatua. Je huu ni uungwana?

Wanadiriki kupost picha ya maiti ikichukuliwa na wahudumu wa afya kuonyesha sasa mlipuko upo katika hali mbaya. Lakini hata kama ni kweli walipaswa kupost na kutoa maelezo ambayo sio ya kufitinisha kwamba hatua stahiki hazichukuliwi.

Hawajiulizi swali moja kubwa kwamba ugonjwa huu haubagui na watu ambao wako katika hatari ya kuupata ni watu wasio na uwezo.

Mimi binafsi nilitarajia wawe pamoja na serikali kuonyesha mshikamano katika kupambana na hili janga. Lakini wao siku nzima ni kuombea mabaya tu hasa wanaombea idadi ya reported cases ziwe nyingi. Na hii itawsaidia nini?

Mimi nilidhani wao kwa miaka hii mitano ya serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli wangepambanua nini ameshindwa kutekeleza katika ilani yake ya Chama ili ndio ziwe ajenda za kumkabili kisiasa,lakini sio kumuombea mabaya ili Covid -19 iuwe watanzania wengi ili waanze kumzodoa.

Labda sababu jamaa amepiga kazi tena ambazo zinaonekana kwa macho ndio maana wamekosa ajenda za kumkabili, zaidi ya maneno ya kitoto kama amejificha Chato kukwepa Covid -19.

Walianza na kisingizio cha zuio la kisiasa eti limewaporomosha kisiasa. Lakini yeye alizuia ile mikutano ambayo for publick interest ingezuia watu wasijengewe Mabarabara,zahanati na vituo vya afya,Mradi kama JNHHP, madaraja kama wami na busisi to kigongo n.k.

Na zuio hili alilifanya kwa mujibu wa wa katiba kama ibara ya 30(1) ya katiba ya JMT inavyo ainisha. Na ndio maana kuna mdau aliwaambia kama kama hili zuio ni udikteta basi nendeni HC mkaweke petition,wote walifyata mkia.

Na bahati nzuri aliruhusu siasa kwenye majimbo ili wasimwingilie na afanye maendeleo kwa manufaa ya umma.

Leo hii wamebakiza kuombea mabaya kwa nchi yao,na kuibua kilio cha tume huru wakati miaka yote ipo huru na wanashinda ubunge na madiwani. Inasikitisha sana kuwa na Chama cha namna hii.
Nmeshindwa hata kumaliza hilo gazeti lako...lini au nani mwanachadema katoa kauli ya kuliombea taifa lizidi kupata majanga ya Covid19? Mbona watanzania mmeishiwa utu na kuwa mnapenda huu ujinga wa cheap popularity?
Most of CDM leaders wamekuwa wakitoka hadhari na kusisitiza serikali iongeze juhudi katika kupambana na Covid19 na huku baadhi ya viongozi wenye dhamana ya mikoa wakiongea tena kwenye media kuwa corona isituogopeshe ni ugonjwa wa kumalizwa na maji ya kunawa na sabuni tu? Au huyo nae ni kiongozi au mwanachama wa CDM?
Mheshimiwa mwingine kashauri serikali isitangaze wagonjwa wapya na itangaze wanaopona na wanaofariki tu?
Hizo akili kama ndo mleta mada unaona zinafaa tuambie ili tujue viongozi wa CDM wanachopigia kelele hakifai bora tuendelee tu kunawa na kuachana na tahadhari zingine kwa vile corona dawa yake ni maji na sabuni...
Ovyo kabisa halafu unatuletea gazeti kutaka kutugawa hapa ukifikilia unawin majority katika siasa zako za kipuuzi.....
You better zip your lips waachie wataalamu na waziri mwenye dhamana...
Bangladesh....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeshindwa hata kumaliza hilo gazeti lako...lini au nani mwanachadema katoa kauli ya kuliombea taifa lizidi kupata majanga ya Covid19? Mbona watanzania mmeishiwa utu na kuwa mnapenda huu ujinga wa cheap popularity?
Most of CDM leaders wamekuwa wakitoka hadhari na kusisitiza serikali iongeze juhudi katika kupambana na Covid19 na huku baadhi ya viongozi wenye dhamana ya mikoa wakiongea tena kwenye media kuwa corona isituogopeshe ni ugonjwa wa kumalizwa na maji ya kunawa na sabuni tu? Au huyo nae ni kiongozi au mwanachama wa CDM?
Mheshimiwa mwingine kashauri serikali isitangaze wagonjwa wapya na itangaze wanaopona na wanaofariki tu?
Hizo akili kama ndo mleta mada unaona zinafaa tuambie ili tujue viongozi wa CDM wanachopigia kelele hakifai bora tuendelee tu kunawa na kuachana na tahadhari zingine kwa vile corona dawa yake ni maji na sabuni...
Ovyo kabisa halafu unatuletea gazeti kutaka kutugawa hapa ukifikilia unawin majority katika siasa zako za kipuuzi.....
You better zip your lips waachie wataalamu na waziri mwenye dhamana...
Bangladesh....


Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia ile tweet ya Mh lema ikionyesha mgonjwa anabebwa na Ambulancia,iliwekwa humu na kipeperushi cha mshahara.Alafu fuatilia kwa umakini mjadala utapata jibu. Ila kwa haraka tu inaonekana kichwani hauko sawa.
 
Nakuambia hivi, acha utoto we dogo, tuliirusha mimi na nani? Nimekuambia nionyeshe nilifurahia nini, kwenye post namba ngapi? Naona unapamia mabasha kinguvu, kwa kuleta siasa za kipuuzi hapa jukwaani.
Acha hasira pale ngumi za uso zikigonga. Kama unaleta matusi naomba usilazimishe kujadili na mimi we mbwa ambae unaonekana huna adabu.
 
Acha hasira pale ngumi za uso zikigonga. Kama unaleta matusi naomba usilazimishe kujadili na mimi we mbwa ambae unaonekana huna adabu.

Narudia tena, kama unalazimisha kupata mabasha basi hapa utawapata. Unapoleta uzi wa kipuuzi kuichafua cdm basi utapata moto wake. Kama ulitegemea utaleta uhani@thi bila kujibiwa, basi jiandae kupokea vitu vyenye ncha kali we punga.
 
Narudia tena, kama unalazimisha kupata mabasha basi hapa utawapata. Unapoleta uzi wa kipuuzi kuichafua cdm basi utapata moto wake. Kama ulitegemea utaleta uhani@thi bila kujibiwa, basi jiandae kupokea vitu vyenye ncha kali we punga.
Ujumbe umeshakufikia. Huna haja ya kurudia rudia upumbavu
 
Back
Top Bottom