Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Lakini ni hawa hawa Kanda ya Ziwa waliambiwa ni Washamba na wajinga sana na hasa Wasukuma.Nchi hii haitokaa tena kutoa Kiongozi hasa kwa wasukuma,leo mnaenda kuwaambia nini tena,nilidhani hawa wajinga na washamba hawana umuhimu sana,mngewaacha na ujinga wao.Kitu kinachotakiwa kukielewa
Kwamba mwanza au Kanda ya ziwa nieneo miaka yote ya uchaguzi huamua hatima ya Tanzaia kwaidadi Yao wanatakiwa kupewa elimu ya uraia mudawote ,kwani wanachangia kutuchelewesha.......wafugaji na wavuvi Hawa hawatakiwi kuachwa