Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Ungefuatilia kwanini nimemjibu vile ni kutokana na style yake pia ya kushindwa kuhimili mjadala nakujawa jazba huyo tuliyejibizana nae.Wewe upo composed,naomba majibu Mkuu.Kama ungependa kupata majibu, usingesema kwamba majibu ya hoja yako atakuja nayo Mnyika