CHADEMA inakubalika zaidi Nyanda za Juu Kusini lakini Viongozi wao wanapenda zaidi Mwanza!

Unaikumbuka ile kauri ya mzee Yusufu Makamba kwa wazuri hawafi! Sasa happy nani alifurahia kifo cha Magufuri?
Unaikumbuka Hotuba ya M/Kiti wa CDM baada tu ya msiba pia?
 

Yaani Mnyika atakujibu huu upuuzi unaosikia huku mitandaoni? Jibu lake litakuwa rahisi tu. Kajibiwe huko ulikosikia maneno hayo. Na majibu yake tumeshakupa. Sasa sijui unamtishia nani.

Yaani kama ccm mnaojifanya wasukuma mlikuwa mmekaa mahali mnajijaza upepo, siku hiyo mtafurahia show.
 
Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.
 
Wazee wa TAKWIMU haya Tuambie na Huyu anakubalika zaidi wapi?
 

Attachments

  • 20221002_213448.jpg
    104.7 KB · Views: 1
Wewe.!! Hebu tumia akili angalau kidogo tu..!! Sasa kama huko nyanda za juu kusini wanakubalika, maana yake, kwa upande huo wameshamaliza kazi..!! Siku zote unakitafuta kile usichokuwa nacho..!! kama bado hawakubaliki Mwanza, basi ni sawa wao kuwepo huko na hatimaye waongeze maeneo wanayokubalika..!!
 
Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.

Sasa ww ulipokuja huku na mikwara kwanini hilo povu usipeleke huko huko uwanjani ambako mihemko yako unatarajia kuipeleka? Wamechagua Mwanza kutokana na utashi, na sio kuja kujibu huu utoto wako
 
Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.
Kwanii..!! unahitaji majibu, au mtoa majibu?
 

Nadhani ungewauliza kwanini wameanzi Mwanza. Wao Wana sababu yao.
 
Sasa ww ulipokuja huku na mikwara kwanini hilo povu usipeleke huko huko uwanjani ambako mihemko yako unatarajia kuipeleka? Wamechagua Mwanza kutokana na utashi, na sio kuja kujibu huu utoto wako
Wewe tuishie hapa.
 
Vyote au kimojawapo Mkuu,lakini muhimu sana ningependa kupata majibu

Utapewa majibu ww kama nani? Huu utoto wa huku kwenye mitandao ndio utapeleka kwenye mikutano ya wanaume? Subiri uone kitakachoumiza moyo wako we sukuma gang.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…