Uchaguzi 2020 CHADEMA inakuwaje mtu anagombea Kiti cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Uchaguzi 2020 CHADEMA inakuwaje mtu anagombea Kiti cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Sofia Simba wakati akiwa mwenyekiti wa UWT alipendekeza kuwa mbunge wa viti maalum awakilishe miaka isiyozidi kumi (vipindi viwili), yaani agombee ubunge wa jimbo baada ya miaka mitano ya viti maalum na asiposhinda agombee tena jimbo baada ya miaka 10 ya viti maalum. Asiposhinda hapo basi astaafu kupisha wenzake kwenye viti maalum. Wenzake wakampinga hoja yake ikashindwa.
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%
Na Halima Mdee kafanya hivyo hivyo.

Maana yake ni kuwa hawa jamaa hawategemei hata kidogo kwamba watashinda kwenye hayo majimbo. Wanajua CCM inayarudisha. Hivyo wamejiwahi kwenye kuteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum ili angalao warejee mjengoni.

Sifa ya chama kupata viti maalum inategemea na idadi ya wabunge itakaowapata kwenye majimbo - at least wasipungue 10, idadi ambayo chadema ni ngumu kuipata.
 
Na Halima Mdee kafanya hivyo hivyo.

Maana yake ni kuwa hawa jamaa hawategemei hata kidogo kwamba watashinda kwenye hayo majimbo. Wanajua CCM inayarudisha. Hivyo wamejiwahi kwenye kuteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum ili angalao warejee mjengoni.

Sifa ya chama kupata viti maalum inategemea na idadi ya wabunge itakaowapata kwenye majimbo - at least wasipungue 10, idadi ambayo chadema ni ngumu kuipata.

Ni kweli ccm inaweza kuyarudisha, ila sio kwa kura, bali kwa kupitia mamlaka ya urais yanayotumika vibaya.
 
Kwa kila eneo kuna mshindi wa pili atapewa. Sio tatizo kabisa bado matakwa ya sanduku la kula Chadema yataheshimiwa.

Subiria maumivu ya CCM watu watashinda kwa kura za watu kihalali lakini watakatwa kinyume na matakwa ya kura halali punde zikiwasili Dodoma.
Wacha wakatane halafu waanze kurogana, maana maccm hayawezi kuachiana hata chupa ya maji ya kunywa.
 
Tofautisha kusifia na kusema ukweli. Mathalani mwakani Mungu akipenda JNHPP inakamilika wewe hautafaidi huo umeme?

Hata umeme wa wakoloni naufaidi, na shule ya msingi niliyosoma hapa Dar ilijengwa na wakoloni.
 
Hata umeme wa wakoloni naufaidi, na shule ya msingi niliyosoma hapa Dar ilijengwa na wakoloni.
Ndio maana huwa nakuambia wewe sio mzalendo. Yaani mkoloni kujenga shule alafu Pamba,almasi na dhahabu akawa anapeleka bure unamsifia. Na shule zenyewe alijenga kwa ajili ya watu wachache na watoto wa wakoloni. Unafeli sana we dogo.
 
Ndio maana huwa nakuambia wewe sio mzalendo. Yaani mkoloni kujenga shule alafu Pamba,almasi na dhahabu akawa anapeleka bure unamsifia. Na shule zenyewe alijenga kwa ajili ya watu wachache na watoto wa wakoloni. Unafeli sana we dogo.

Sina uzalendo wa kiccm, mimi sina hata muda wa kujifanya mzalendo maana hizo ni approach za kikomunisti, kujifanya wana uzalendo kwa nchi ili wapate madaraka. Simsifii lolote mkoloni, nimekupa mfano wa majengo kuwa sio issue. Kama unatarajia nitajipendekeza kwa serikali ili uniite mzalendo, utasubiri sana. Sihitaji uzalendo wa kishamba boss.
 
CHADEMA nakuwaje mtu anagombea viti vyote cha Ubunge wa Jimbo na Viti Maalumu kwa mpigo na anashinda vyote? Kwanini asigombee moja?

Mifano michache ni hii hapa Devota Minja na Grace Kiwelu

MATOKEO YA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO MJINI

1. Jimbo

Idadi ya Wapiga kura 125
Kura zilizoharibika 6

a. DEVOTHA MINJA 83 sawa na 66.4%
b. SHABAN DIMOSO 33 sawa na 26.4%
c. WILFRED NGINDU 2 sawa na 1.6%
c. JUMA TEMBO 1 sawa na 0.8%

VITI MAALUMU
Idadi ya Wapiga Kura 55
Kura zilizoharibika 02

a. DEVOTHA MINJA 38 sawa na 70.3%
b. ESTHER TAWETE 11 sawa na 20%
c. MARIA MIHANJO 4 sawa na 7%
d. DOROTH NAMUNASHI 0 sawa na 0%.

Gwamaka Mbughi
Msimamizi

MATOKEO YA KURA ZA MAONI - JIMBO LA VUNJO (KILIMANJARO)

Ubunge wa Jimbo


Mgombea;
1) Grace Kiwelu Kura 80 =95.23%
2) Peter Msophe 4

UBUNGE Viti Maalum
1) Mh Grace Kiwelu kura 25 = 83.33%
2) Aziza Mohammed 05 =16%

Inaonekana ni jambo linaloruhusiwa ndani ya katiba ya CHADEMA.Kwa muda mrefu imekuwa hivyo.Lengo ni kwamba akikosa jimbo wamfikirie Viti Maalumu.Hoja ni kuwa na wabunge wanaoweza kujengewa uwezo jimboni,ikishindikana basi apewe viti maalumu kama chama ni kinaona anafaa kuwakilisha chama kwenye ngazi hiyo.Ni utaratibu ambao hata akina Halima Mdee wameupitia.
 
Back
Top Bottom