CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

Lissu kaitia hasara Chadema ilikuwa inapokea ruzuku milioni 300 kwa mwezi kuja Lisu imekuwa milioni 100 kaitia Chadema hasara ya milioni 200 kila mwezi ina maana kwa miaka mitano Chadema itakuwa imepoteza bilioni 6.

Lisu Katia hasara ya bilioni sita kwa kugombea kwake.

Lissu ueleze hiyo hasara utaifidiaje halafu ulikimbia ukakitelekezea chama madeni umemwacha Mbowe kwenye wakati mgumu hadi kakonda hadi macho sio vizuri ulichofanya.
Kwann usijikite kwenye kuisifia serikali kwa elimu bure? Achana na waliopo nje ya nchi.
 
We nani kwambia ruzuku inatokana na wabunge? Cdm imeshika nafasi ya pili, hivyo inachukua ruzuku kwa sababu hiyo. NCCR haina mbunge hata mmoja lakini inapewa ruzuku pia.

Ninadhani sasa utaacha ubishi kwamba ruzuku inapatikana kutokana na ubunge au udiwani. Wabunge au madiwani wanapopungua kwenye chama na ruzuku inapungua. Hii ilitokea sana kwenye chama cha chadema kipindi kilichopita ambacho kilikuwa na wimbi kubwa la madiwani na wabunge kukihama chama hicho na kuunga juhudi. Au wewe umesahau? Vivyo hivyo kama hao wabunge 19 wa viti maalum na hao madiwani wenu 80 wakiamua kujivua ubunge na udiwani wao huo kama ambavyo mnataka wafanye, ruzuku ya chadema itapungua kutoka hiyo Tsh 109 million kwa mwezi hadi kuwa Tsh 5 million kwa mwezi sawa na CUF. Wakina Mnyika na Mbowe watakosa hiyo mishahara yao minono ya chama na marupurupu kibao. Mwamba hatakubali hilo litokee. Stay tuned my friend. Pesa ni kitu kingine hasa kwa rafiki zetu wa mkoa ule!
 

Ninadhani sasa utaacha ubishi kwamba ruzuku inapatikana kutokana na ubunge au udiwani. Wabunge au madiwani wanapopungua kwenye chama na ruzuku inapungua. Hii ilitokea sana kwenye chama cha chadema kipindi kilichopita ambacho kilikuwa na wimbi kubwa la madiwani na wabunge kukihama chama hicho na kuunga juhudi. Au wewe umesahau? Vivyo hivyo kama hao wabunge 19 wa viti maalum na hao madiwani wenu 80 wakiamua kujivua ubunge na udiwani wao huo kama ambavyo mnataka wafanye, ruzuku ya chadema itapungua kutoka hiyo Tsh 109 million kwa mwezi hadi kuwa Tsh 5 million kwa mwezi sawa na CUF. Wakina Mnyika na Mbowe watakosa hiyo mishahara yao minono ya chama na marupurupu kibao. Mwamba hatakubali hilo litokee. Stay tuned my friend. Pesa ni kitu kingine hasa kwa rafiki zetu wa mkoa ule!
Hahahahahaaa, kuthibitisha ulilosema hadi muda huu bado jamaa wanasugua kichwa waanzie wapi waitwe hao makomandoo 19 kwa ajili ya kuhojiwa kwa utovu wa nidhamu ili wavuliwe ubunge. Hapo wapenzi wa CDM watasubiri sana ili wapate hizo nafasi wanazodai zipo wazi kwa ajili ya uteuzi wa viti maalum
 
Njoo utuletee ushahidi kuhusu huu uongo wako.

Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.


Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Wametangaza kutoa ruzuku lakini bado fedha haijapokelewa na CHADEMA.Umeandika kishabiki na kijuha.Hiyo pesa haijatolewa bado na Karibu Mkuu JK Mnyika amegoma kwenda kwenye kikao kilichoitishwa na Msajili kuhusu masuala ya ruzuku.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Uko sawa kabisa Mkuu.

Wametangaza kutoa ruzuku lakini bado fedha haijapokelewa na CHADEMA.Umeandika kishabiki na kijuha.Hiyo pesa haijatolewa bado na Karibu Mkuu JK Mnyika amegoma kwenda kwenye kikao kilichoitishwa na Msajili kuhusu masuala ya ruzuku.
 
Back
Top Bottom