CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

Mimi binafsi nahesabu kuwa makanda wamepata pigo kubwa.

Hii ni sababu wao binafsi walijua yule kiongozi wa uasi Halima Mdee na wenzake wamekula wa chuya.

Makamanda wafia chama walijua Halima ndio mwisho wake,hasa baada ya Kamati kuu kudai imemfuta uanachama.

Lakini habari zilizogaa kwenye print media na social media kuwa Chadema huwa inavuta ruzuku kiasi cha mil 104,ni wazi kuwa sasa wepata pigo.

Sasa sio wakati muafaka kwa wao kukaa na waganga njaa ambao wanashibisha matumbo huku makamanda wakiwa hoi kiuchumi na kisiasa.
 
Watoe tamko kama hawajapokea
Tamko la nini wakato walishasema hawautambui uchaguzi pamoja na faida zake zote ikiwepo Ubunge wa viti maalum na ruzuku ssa until otherwise msimamo bado ni ule ule.

Ndio maana hilo gazeti limesema ITAPOKEA sio Imethibitisha kupokea.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
CCM inapokea 1.3 billion.

Hiki ni kishawishi kingine cha kutumia vyombo vya dola kuiba uchaguzi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Utakuwa unamsemea yule Suphian Juma na mwenzie Zitto ingawaje sasa hivi wako vyama viwili tofauti.
Siasa ni zaidi ya ujuavyooooo. kulikuwa na vijana machachari/machalari sanaaaaa leo hii wapo kimyaaa, maisha yanaendelea

Wao wanakula kuku kwa mirija sie wapiga kura twabaki kubwata bwata tu
 
Mimi binafsi nahesabu kuwa makanda wamepata pigo kubwa.

Hii ni sababu wao binafsi walijua yule kiongozi wa uasi Halima Mdee na wenzake wamekula wa chuya.

Makamanda wafia chama walijua Halima ndio mwisho wake,hasa baada ya Kamati kuu kudai imemfuta uanachama.

Lakini habari zilizogaa kwenye print media na social media kuwa Chadema huwa inavuta ruzuku kiasi cha mil 104,ni wazi kuwa sasa wepata pigo.

Sasa sio wakati muafaka kwa wao kukaa na waganga njaa ambao wanashibisha matumbo huku makamanda wakiwa hoi kiuchumi na kisiasa.
Makamanda wengi unaowaona humu hawana tofauti na debe tupu. Wao wanapanuka midomo kwa kuongea sana huku wenye chama wakivuta mpunga kiulaini
 
Ukweli unabaki pale pale kwamba hii serikali haina lawful mandate na iko madarakani kinyume cha sheria sasa mbona na wenyewe ccm wanapata ruzuku haramu kwani hawakushinda uchaguzi.
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Ni mtu mjinga na mpumbf tuu anayedhani fedha za ruzuku zitokazo Hazina zina mahusiano na MTU Fulani kwa sababu amepora uongozi na kawa kiongozi.
Hata kama nimjinga acha tukuambie kuwa fedha hizo ni kodi ya watanzania wote wanaolipa kodi
 
Chadema ni species aka genus fulani ya ajabu sana hapa duniani. Itakataa au kususa kila kitu hapa duniani isipokuwa pesa pekee! Watasusa kuhudhuria bungeni, watasusa vikao vya bunge la katiba, watasusa kushiriki chaguzi za serikali za mitaa, watasusa kupitisha bajeti za serikali za ujenzi wa miundo mbinu hususani SGR, bwawa kubwa la umeme, hospitali, watasusa .... na kadhalika. Lakini kwenye pesa weee hapo kamwe haiwezekani hata kidogo wakasusa, wanakuwa front line. Hata hizo sh 1.5 million kila mwezi kutoka kwa kila mbunge wa viti maalum akina Halima na wenzake lazima watazitoa. Na ni kosa kubwa (felony) mwanachama kuhoji ya pesa za chama. Species au genus ya aina hii inaitwaje?
 
Mimi binafsi nahesabu kuwa makanda wamepata pigo kubwa.

Hii ni sababu wao binafsi walijua yule kiongozi wa uasi Halima Mdee na wenzake wamekula wa chuya.

Makamanda wafia chama walijua Halima ndio mwisho wake,hasa baada ya Kamati kuu kudai imemfuta uanachama.

Lakini habari zilizogaa kwenye print media na social media kuwa Chadema huwa inavuta ruzuku kiasi cha mil 104,ni wazi kuwa sasa wepata pigo.

Sasa sio wakati muafaka kwa wao kukaa na waganga njaa ambao wanashibisha matumbo huku makamanda wakiwa hoi kiuchumi na kisiasa.
Hiyo ndio furaha yako sasa unakuja kulialia nini humu.
 
Huo ni mtego kwa chadema. Wapige hesabu waondoe kile kiasi Cha wale covid 19 waweke pembeni ,wasizitumie kabisa kwani hai siyo wabunge walioteuliwa kihalali.
Ruzuku ya vyama vya siasa ni fedha zinazotolewa na Serikali kwa vyama vya siasa kwa ajili ya kusaidia shughuli za uendeshaji wa vyama hivyo. Vyama vinavyopata ruzuku ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na vyama vyenye Wabunge au Madiwani.
 
Huo ni mgawo kutokana na wabunge wao 20, pamoja na madiwani

Niseme tuu hongera kwa Halima na wenzie 19 kwa kukiwezesha chama kupata ruzuku

Mungu ibariki Tanzania
Ujinga! Tangu lini ruzuku hutolewa kuligana na idadi ya wabunge? Wabunge hawaleti ruzuku, ruzuku hutokana na idadi ya kura ambazo chama kinapigiwa kwenye uchaguzi nafasi ya rais. Hao akina Mzee Halima hawajawezesha Chadema kupata ruzuku. Nyambaf....
 
Waliisema hawautambui uchaguzi ruzuku inayotokana na uchaguzi mbona wanaitambua?

Ukimkataa shetani unatakiwa kumkataa na mambo yake yote!!!

Ohh sisi hatutambui uchaguzi lakini ruzuku inayotokana na huo uchaguzi tunaitambua mmmmmm!

Chadema matapeli wamejaa fix
Acha ujinga, wakatae vipi wakati hiyo ruzuku inatokana na kura walizopigiwa? Nyambaf!
 
Acha ujinga, wakatae vipi wakati hiyo ruzuku inatokana na kura walizopigiwa? Nyambaf!
Hizo kura walizopigiwa si walishzikataa? Na huo uchaguzi mkuu mzima si walishaukataa na wakauita ni uchafuzi mkuu? Sasa watapokeaje pesa ya kutoka uchafuzi mkuu? Yaani shetani umkatae lakini matendo na raha zake uzikubali? Kawadanganyeni watoto, watu wazima hamuwezi kuwadanganya. DJ aendelee kuwavusha wale wasiyojitambua. Wajinga ndiyo waliwao. Zile pesa mlizokuwa mnaweka kwenye hayo mabakuli ya michango wakati wa uchafuzi mkuu mnajua zilikokwenda au idadi yake? Hamjui mliliwa kiasi gani?
 
Hizo kura walizopigiwa si walishzikataa? Na huo uchaguzi mkuu mzima si walishaukataa na wakauita ni uchafuzi mkuu? Sasa watapokeaje pesa ya kutoka uchafuzi mkuu? Yaani shetani umkatae lakini matendo na raha zake uzikubali? Kawadanganyeni watoto, watu wazima hamuwezi kuwadanganya. DJ aendelee kuwavusha wale wasiyojitambua. Wajinga ndiyo waliwao. Zile pesa mlizokuwa mnaweka kwenye hayo mabakuli ya michango wakati wa uchafuzi mkuu mnajua zilikokwenda au idadi yake? Hamjui mliliwa kiasi gani?
Maswali yako yote ya kipumbav. udi kwenye hoja. Ni hivi fedha za ruzuku hazitokani na idadi ya wabunge ambao chama kimepata, ni kura kilizopigiwa.!
 
Hizo kura walizopigiwa si walishzikataa? Na huo uchaguzi mkuu mzima si walishaukataa na wakauita ni uchafuzi mkuu? Sasa watapokeaje pesa ya kutoka uchafuzi mkuu? Yaani shetani umkatae lakini matendo na raha zake uzikubali? Kawadanganyeni watoto, watu wazima hamuwezi kuwadanganya. DJ aendelee kuwavusha wale wasiyojitambua. Wajinga ndiyo waliwao. Zile pesa mlizokuwa mnaweka kwenye hayo mabakuli ya michango wakati wa uchafuzi mkuu mnajua zilikokwenda au idadi yake? Hamjui mliliwa kiasi gani?
Walizikataa lini? weka audio/video wanayokataa kura walizopigiwa na wananchi!
 
Back
Top Bottom