CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

Heheheh hvi ipo chama gani cku hzi! Naona toka Matiko akufute rasmi kwenye ulimwengu wa siasa basi ww ni kupambana na CHADEMA tu.

Huko ACT nako vp ulikimbia ama umerudi NCCR? Anyway kwenye hiko kijarida hakuna mahali popote wamencofirm CHADEMA kupokea ruzuku zaidi ya kuproject kuwa ITAPATA...... Not IMEPOKEA!!

So till then hakuna hta senti 5 yenu iliyoguswa.... Maana haiwezekani wakubali pesa alafu wakatae wabunge 20 ambao wakichanga 15% ya mapato yao kila mwezi chama kingepata zaidi 40M kwa mwezi pamoja na platform ya kumwaga sera.

It's madness
Chadema haina jeuri ya kukata hela! Wait and see
 
Kwamba matokeo ya uchaguzi ni haramu ndiyo maana hamkupeleka majina ya viti maalum ila ruzuku iliyotoka na matokeo haramu haina shida.

Mwenye NJAA hawezi kuwa na msimamo,heri Maalim Seif aliamua mapema kuchagua upande badala ya kuendekeza huu unafiki.
 
Naomba kufahamu sifa za Chama kinachotakiwa kupata Ruzuku kwa kina sio sifa za ujumla na maneno matupu hii itasaidia kujua vyama vyenye sifa ya kupata Ruzuku ikiwemo mapaka na DP.

Baada ya maelekzo yanayoeleza sifa za kupata Ruzuku nadhani tutapata uwanja wa kujadili kwa pamoja bila ubabaishaji!
 
Ukitaka kujua malengo halisi yaliyojificha ya akina Mbowe,msome Dk Slaaa.
Ameandika kuwa akina Mbowe lengo lao ni kupata luzuku ndiyo maana walimuweka Lowasa.Hata kumuweka Lisu ilikuwa kwa ajili hiyo hiyo.
Walijua hawatashinda.
 
Kama CCM walivyotafuna za COVID 19 kutoka EU, wakati waliaminisha dunia hakuna ugonjwa, wala hawakuzikataa!.
 
Dah....1.4b kwa mwezi? Hivi hiyo hela haiwezi kutumika kwenye vitu vingine vya maana?.....Dah 🤭
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814

Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Why refuse a free ride? The blamed are those dishing out.
 
Lissu kaitia hasara Chadema ilikuwa inapokea ruzuku milioni 300 kwa mwezi kuja Lisu imekuwa milioni 100 kaitia Chadema hasara ya milioni 200 kila mwezi ina maana kwa miaka mitano Chadema itakuwa imepoteza bilioni 6.

Lisu Katia hasara ya bilioni sita kwa kugombea kwake.

Lissu ueleze hiyo hasara utaifidiaje halafu ulikimbia ukakitelekezea chama madeni umemwacha Mbowe kwenye wakati mgumu hadi kakonda hadi macho sio vizuri ulichofanya.
Lissu au kura yako ambayo haikuhesabiwa? [emoji16][emoji16][emoji16]

Sehem pekee wabongo wanajua kudai haki zao ni kwenye ajali za barabarani.
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Labda wanazihesabu halafu halafu wakimaliza wazirudishe...
 
Chadema haina jeuri ya kukata hela! Wait and see
Sasa ina maana gani wasuse wabunge 20 ambao wangewapa political mileage bungeni alafu wakubali 100M isiyoweza hata kuservice makao makuu na kanda zake hta kwa mwezi mmoja.

Udhamini wanaopata makes ruzuku look peanuts, huwezi risk credibility kwa 100M ni insanity.
 
Ukitaka kujua malengo halisi yaliyojificha ya akina Mbowe,msome Dk Slaaa.
Ameandika kuwa akina Mbowe lengo lao ni kupata luzuku ndiyo maana walimuweka Lowasa.Hata kumuweka Lisu ilikuwa kwa ajili hiyo hiyo.
Walijua hawatashinda.
Reference ni Dr.Slaa ambaye aliweka sharti la kugombea urais ni kulipwa mshahara wake wa kibunge??
Kma walijua hawatashinda kulikua na haja gani ya kuwaengua wagombea na kupora uchaguzi mchana kweupe?

Well hata mmi sikutegemea CHADEMA washinde sababu ya tume yetu ila walau isingekosa wabunge wa majimbo na kura at least 30% ila sio maigizo ya kukosa majimbo yote
 
Mlichanga milioni 400 huku bilioni 8 zilizokusanywa chadema kwa miaka 5 zikiwa hazijulikani zilipo
Hazijulikani kivp wakat financial statements zote zilikia audited na CAG na akatoa hati safi.

Hizo Billion 8 ni michango iliyopo kikanuni kabisa na inaingizwa mfuko mkuu wa chama au ulidhani kuendesha kampeni unahitaji laki 5?
 
Back
Top Bottom