CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

Nimegundua kuwa hii nchi ina wajinga wengi sana. Na tatizo kubwa ni watu kuyachukua mambo kama yalivyo, yaani hakuna hata kujiuliza walau kwa sekunde moja.


Nikusaidie tu kwamba, ruzuku ya chama chochote cha siasa, ni takwa la kisheria, halina uhusiano wowote na matokeo ya uchaguzi.
Wewe mwenyewe ni kinara wa hao uliowaita wajinga.

FYI:Ruzuku inapatikana kutokana na matokeo ya uchaguzi Mkuu.

Fuata hiyo link kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa utoe tongotongo ubongoni.

 
Hazijulikani kivp wakat financial statements zote zilikia audited na CAG na akatoa hati safi.

Hizo Billion 8 ni michango iliyopo kikanuni kabisa na inaingizwa mfuko mkuu wa chama au ulidhani kuendesha kampeni unahitaji laki 5?
Kwa hiyo ziliendasha kampeni ya mwaka gani? Na CAG alienda kukagua mwaka gani
 
Sasa ina maana gani wasuse wabunge 20 ambao wangewapa political mileage bungeni alafu wakubali 100M isiyoweza hata kuservice makao makuu na kanda zake hta kwa mwezi mmoja.

Udhamini wanaopata makes ruzuku look peanuts, huwezi risk credibility kwa 100M ni insanity.
Kwa hiyo chadema watakataa ruzuku?
 
CCM wanafikiri kuwanyima wapinzani fedha za Ruzuku ambazo zipo kisheria ni moja ya mbinu mpya ya kuwadhoofisha - CDM inaweza kujiendesha hata bila senti ya hela hii

CCM sasa inajilipa ma billion ya shilling za Ruzuku kila mwezi - meno yote 32 nje ni raha tupu mtaa wa Lumumba
 
Kwa hiyo ziliendasha kampeni ya mwaka gani? Na CAG alienda kukagua mwaka gani
CAG amekagua kila mwaka na hajawahi toa hati chafu btw mwaka jana ndio mliibua hiyo kashfa TAKUKURU ilichunguza ikaona hamna wizi ikaufyata. Pia CAG alitoa hati safi kwa CHADEMA amid hyo skendo.
Ssa tukuamini ww mchimba chumvi au CAG mwenye ujuzi wa forensic auditing?
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
CCM walifakamia ndululu za katiba mpya licha ya kikao kuvunjwa! Na hawakutapishwa.
Bil.1.3/= CCM ni chama kinachitia umasikini nchi, wangekuwa na uchungu na nchi wangeweka ukomo wa ruzuku, wanachota hizi nyingine wanazichota kwa kisigino tusiwaone!
 
CAG amekagua kila mwaka na hajawahi toa hati chafu btw mwaka jana ndio mliibua hiyo kashfa TAKUKURU ilichunguza ikaona hamna wizi ikaufyata. Pia CAG alitoa hati safi kwa CHADEMA amid hyo skendo.
Ssa tukuamini ww mchimba chumvi au CAG mwenye ujuzi wa forensic auditing?
Unatetea ujinga mkuu! Hata kama ni mahaba kwa chama chako ila unajua kabisa pale chadema hizo bilion 8 zimeingia kwenye matumbo ya kina Mbowe,

CAG kwani si anakagua karatasi tu, au unafikiri watu awajui kufoji?
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814

Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814


Ruzuku ni pesa ya wananchi wote sio pesa ya Chama kimoja hivyo kuongelea tu Chadema ni sawa na kutokujua sheria na maana ya ruzuku.
 
.
Unatetea ujinga mkuu! Hata kama ni mahaba kwa chama chako ila unajua kabisa pale chadema hizo bilion 8 zimeingia kwenye matumbo ya kina Mbowe,

CAG kwani si anakagua karatasi tu, au unafikiri watu awajui kufoji?
Karatasi unafoji vp wakati unapaswa uonyeshe risiti, ankara, mapato na matumizi na procedure za procurement! Kuanzia tenda mpaka malipo?

Kma ingekua makaratasi tu basi ilikuaje 2016/17 aliwapa hati ya mashaka CHADEMA kwa kutothaminisha Fixes assets zake? Vp kuhusu mchakato wa manunuzi wa gari la mbunge kwa akaunti za chama? Ilionekana kwa makaratasi?

Ndio maana nkakuuliza unafaham forensic auditing? Hao TAKUKURU waliitumia kuona kma Mbowe alizunguka accounting standards ili aibe lakini hawakuona ushahidi. Mind you waliomba ripoti zote mpaka katiba na akaunti binafsi za viongozi?

Hakuna ufisadi
 
Huo ni mgawo kutokana na wabunge wao 20, pamoja na madiwani

Niseme tuu hongera kwa Halima na wenzie 19 kwa kukiwezesha chama kupata ruzuku

Mungu ibariki Tanzania
Sio kweli ruzuku inatokana na wingi wa kura walizopata kwenye uchaguzi mkuu
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Nithibitishie kuwa chadema wamezitumia hizo pesa, inaweza kuwa zimewekwa kwenye akaunti ya cdm lakini hawajazigusa, hiyo ilishawahi fanywa na yanga pamoja na diamond
 
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.

Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, vyama sita vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Vyama ambavyo vimevuna fedha hizo za mgao wa ruzuku hiyo unaotokana na idadi ya wabunge, madiwani na kura za urais ni pamoja na CCM, Chadema, ACT-Wazalendo, CUF, NCCR-Mageuzi na kile cha Democratic Party.

Kwa mujibu taarifa ambazo gazeti hili linazo, chama kinachoongoza kwa kuzoa ruzuku hiyo ni CCM yenye wabunge 354 ambacho kimepata zaidi ya Sh1.33 bilioni, Chadema ‘inayohesabiwa’ kuwa na wabunge 20 imepata Sh109.68 milioni, ACT Wazalendo yenye wanne kimepata Sh14 milioni na CUF yenye mbunge mmoja ikipata Sh5.7 milioni.

Vyama vingine vinavyopata ruzuku kwa idadi ya kura za madiwani ni pamoja na NCCR Mageuzi kilichoambulia Sh316,937, huku DP ikiambulia Sh63,387.


View attachment 1677814
Huo ni mtego kwa chadema. Wapige hesabu waondoe kile kiasi Cha wale covid 19 waweke pembeni ,wasizitumie kabisa kwani hai siyo wabunge walioteuliwa kihalali.
 
Mwenyekiti wa kikoba kang'oa kipengele cha ukomo!
Basi CCM itakuwa "Likikoba" kabisaa maana inabeba mabilioni ya fedha ya ruzuku!Ndio maana zimefanyika hila kwenye uchaguzi ili ruzuku kubwa ibebwe na CCM!
 
Wapi wamezikubali? Gazeti inasema ITAPATA sio wameconfirm kupokea. Till then hakuna popote wamekiri kupokea hyo pesa
zitoo alisema kama hawajapokea wakiri hadharani mpaka sasa hakuna aliefungua domo lake kusema chadema hawajapokea
 
Back
Top Bottom