CHADEMA inawezaje kuwa na wastaafu wa Jeshi au viongozi waliowahi kuwa karibu sana na Usalama wa Taifa?

CHADEMA inawezaje kuwa na wastaafu wa Jeshi au viongozi waliowahi kuwa karibu sana na Usalama wa Taifa?

Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
CCM inao mpaka wabunge na Mawaziri kutoka TISS.

Nani anamiliki hivyo vyombo?
 
Hata maiti haiwezi kuwaza kama unavyowaza.
Kwani Chadema ni chama cha magaidi ila Ccm ndo chama cha siasa.
Elimu mbovu tunayopewa ndo matokeo ya wananchi kama Hawa.
Si mruhusu Katiba mpya,mbona mmeganda na Katiba iliyopitwana wakati.😡😡
Vijana wa CCM wengi hua wajinga wenye roho mbaya,chuki,husda,vitimbi,washirikina,mafala na Kila aina ya uzandiki.
 
We bumunda
! Nadhani chama tawala dhaifu wemechoka sana hawajui pa kushika Kila mtu wanamhisi ni mpinzani

Wameanzisha kitengo Cha mauaji ili kuleta hofu na kuwatisha wapinzani na kuua demokrasia ili waendele kula bila bugdha huku nchi ikizidi kufidia kiuchumi na kisiasa
you're right
 
Kwa comments za wachangiaji ni sahii kwa CCM kushinda uchaguzi, majitu ya humu ni mapumbavu sana sana. Mleta mada ana hoja nzuri ila wachangiaji ni wapuuzi
Hoja ina uzuri gani hapo zaidi ya upuuzi ,,kwani ukistaafu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama au ukistaafu uongozi serikalini kuna limitation ya kwenda chama fulani tu ? Zelote stivini baada ya kustaafu utumishi jeshi la polisi hakuwa mwenyekiti wa ccm pale Rukwa ?? Marehemu Agustino lyatonga mlema hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani badae akaenda kuanzisha chama chake cha TLP ?? Tuache kukingia vifua vitu visivyokuwa na mashiko yoyote
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Nàona unanichomeka kidole mkyunduni kwako afu unajinusa unataka kugundua nini
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Mbona hujasemea wakuu wa wilaya na mikoa ambao walihudumu mwanzon kama wanajeshi na askari..? Kwani kosa lao hapo ni lipi..? Akili zingine zimekaa kiajabu kweli kweli
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Kwani hawana haki kikatiba,au basi tuu ndio wenye kuona ni zaidi ya wote na chochote?
 
Mwenye akili timamu ndiye atakayekuelewa.

Tanzania hakuna chama cha upinzani
 
Kumbe askari wastaafu hawatakiwi kuwa na uanachama wa chama cha siasa?
Kilaza huyo ,kwani Kikwete ,makamba ,Kinana ,Lowasa na wengine wengi humo ccm walikuwa wanajeshi wa congo au ?
Na wote walikuwa macapteni na maluteni humo jwtz
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.

Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .

Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?

Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA?

Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?

Wenye akili wachache mnaweza elewa

Tuna chama cha Upinzani hapa ?

Hebu jaribu kuwaza kama akili yako ina AKILI!
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.

Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .

Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?

Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA?

Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?

Wenye akili wachache mnaweza elewa

Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Vijana hawawezi kukuelewa, lakini ukweli nchi hii hakuna vyama pinzani wote ni ccm na wanao ingia kutaka wawe wapinzani wa kweli ndio kama hivyo
 
Ongeza Zelotte Stephen na Adadi. Rajab!
Tunamjumlishia Captain Mkuchika, Captain Maokola Majogo, Kanali Kinana, General Mboma aliyegombeaga ubunge mbeya kwa ticket ya haohao CCM akapigwa chini, Captain Komba, akina Membe wazee wa mfumo nk hao ndio wanafaa kuwa CCM tu ndio huyu bwege anachomaanisha
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.

Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .

Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?

Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA?

Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?

Wenye akili wachache mnaweza elewa

Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Taifa hili lina wafu wengi wa akili na hawajijui
 
Back
Top Bottom