Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
CCM inao mpaka wabunge na Mawaziri kutoka TISS.Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.
........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .
Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?
Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?
Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?
Wenye akili wachache mnaweza elewa
Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Nani anamiliki hivyo vyombo?