Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ni kwa kura za mamilioni ya wananchi ndio zimekuwa zikiipatia ushindi CCM.Sio kwa kura, maana hilo mlishashindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa kura za mamilioni ya wananchi ndio zimekuwa zikiipatia ushindi CCM.Sio kwa kura, maana hilo mlishashindwa.
Kwanza hakuna mtu anayezungukwa. Hii hoja wao ndiyo wanazunguka. Kwao hakuna jema linalofanywa na CHADEMA lakini kwenye mapambano huwa upande wa waonezi.Mkuu waonekana kuuzunguka mbuyu kisomi ukiwaepuka wale nguli wengine kiaina.
Hakuna mwanachadema anayelengwa. Ndani ya CHADEMA hakuna mtu anayetakiwa kuondoka Kwa kuwa ana mawazo tofauti na wenzie."Hoja yako hii ya watu kuanzisha vyama kama ni kuwalenga manguli wengine wenye mawazo tofauti vyamani, haina mashiko."
Narudia tena, hiyo njia ya kura imeshawashinda na ushahidi wa hilo upo.Ni kwa kura za mamilioni ya wananchi ndio zimekuwa zikiipatia ushindi CCM.
Kwann hukuandika namba zako za cmu??????Tutawatandika mwakani kipigo kizito sana Allen
Kwanza hakuna mtu anayezungukwa. Hii hoja wao ndiyo wanazunguka. Kwao hakuna jema linalofanywa na CHADEMA lakini kwenye mapambano huwa upande wa waonezi.
Hakuna mwanachadema anayelengwa. Ndani ya CHADEMA hakuna mtu anayetakiwa kuondoka Kwa kuwa ana mawazo tofauti na wenzie.
Hapa ni wale walio nje ya CHADEMA ambao kila uchao na uchwao huwa wanajifanya wanaitakia mema CHADEMA lakini ndani kabisa wanatani CHADEMA ife hata leo.
Kwani kama wewe unaona CHADEMA haifai si ujiunge na chama kingine au uanzishe kipya?
Yaani CCM wanavojifanya kuitakia mema CHADEMA tuwaamini? Au leo hii watu Wa NCCR-Mageuzi na ACT waseme CHADEMA ifanye jambo fulani Ili iwe imara tuwape haki ya kuaminika??
Hoja hii inawahusu watu wasio CHADEMA.