CHADEMA isipowadhibiti vijana wake, itakuja kujuta

Naunga mkono hoja,hata huyu Mdude Nyagali naye anakosea sana, siasa ni sayansi na hekima pia. Natoa mwito kwa uongozi wa Bavicha uwaonye hawa wenzao. Rais Samia ameonyesha uungwana katika kufanya siasa Kwa kuachana na siasa za kishenzi alizoasisi yule dhalim,basi ni wajibu wa wapinzani pia kubadilisha aina ya kufanya siasa. Kama kukosoana basi itumike lugha ya staha.
 
Kwa nini sasa unaleta hapa na usiwaambie huko huko ulikowatoa ? Hao unaowataja wengine hatujawahi hata kuwasikia, ungejibizana nao huko huko walipo ingekusaidia zaidi labda kwa maoni yangu!
Kwani kila mada lazima uelewe? Kama huelewi si upite kushoto utafute unazoelewa uchangie, acha nafasi kwa wanaoelewa wachaangie
 
Fatma Karume alikuwa hampendi Magufuli kwa sababu ni Mkristo ,sasa hivi Mzanzibar mwenzake mwislam basi anasifia tu
 

Hoja yako ilikuwa ni kwenye hilo hitimisho la paragraph ya mwisho. Umeshindwana nao huko unakuja kutuletea huku! Na kwa bahati mbaya unaside na upande fulani kiasi kwamba unadhani hatuna uwezo wa kupima. Unasema cdm itajuta kwasababu wafuasi wake baadhi wanatofautiana na mtu fulani unayemkubali.
 
Siyo matusi hao vijana wako kwenye highest stage of desperation. Wasaidieni Tiba ya kisaikolojia
mkuu mbona we wanakufira mtaani kwanini unawasemea wenzako
 
Mtu yupi? Msigwa? Fatma?
Hoja yangu ni kuwa Chadema inapaswa kujifunza kuvumilia wanapotofautiana kwenye baadhi ya mambo.

kuna mambo ya msingi ambayo wanatakiwa kukubaliana ila kuna mengine ambayo mtu anaweza kuwa na mtazamo tofauti na ikavumilika tu

Chadema kwenye mambo 10 ukikubaliana nao kwenye mambo 9 la 10 ukawa na mtazamo tofauti wewe ni msaliti umenunuliwa kwa mtazamo wa hao vijana wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…