wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 389
- 998
You gay,watch your step pleaseYasemekana huyo Martin Maranja Masese ni mgonjwa wa UKIMWI na yule mdude Chadema naye ana UKIMWI na huku nyuma marinda yamefumuliwa alipotekwa na watu wa Magufuli. Hivyo wako desperate hawana hadhi wanayoilinda maishani. Wao kutukana sawa, wakishikwa na kutupwa jela nayo sawa tu
Kipindi cha JK walikuwa ground na mitandaoni, na kabla ya hapo mitandao ilikuwa haijakuwa sana ...labda nikuulize wewe umezaliwa mwaka gani?Chadema hata kabla ya mwendazake siasa za mitandaoni ni zao daima ,umezaliwa mwaka gani?
Naunga mkono hoja,hata huyu Mdude Nyagali naye anakosea sana, siasa ni sayansi na hekima pia. Natoa mwito kwa uongozi wa Bavicha uwaonye hawa wenzao. Rais Samia ameonyesha uungwana katika kufanya siasa Kwa kuachana na siasa za kishenzi alizoasisi yule dhalim,basi ni wajibu wa wapinzani pia kubadilisha aina ya kufanya siasa. Kama kukosoana basi itumike lugha ya staha.CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake
Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama
Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe
Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.
Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa
Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa
Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema
Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu
Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu
Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi
Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Kwani kila mada lazima uelewe? Kama huelewi si upite kushoto utafute unazoelewa uchangie, acha nafasi kwa wanaoelewa wachaangieKwa nini sasa unaleta hapa na usiwaambie huko huko ulikowatoa ? Hao unaowataja wengine hatujawahi hata kuwasikia, ungejibizana nao huko huko walipo ingekusaidia zaidi labda kwa maoni yangu!
Ila wakija CCM wanalamba teuzi na kuwaacha nyie wafia chama mnasugua benchVijana wa CHADEMA ndo walivyozoea kulelewa hivyo ni misingi mibovu
Mbona alikuwa akimkosoa Samia kuhusu kesi ya Mbowe,Fatma Karume alikuwa hampendi Magufuli kwa sababu ni Mkristo ,sasa hivi Mzanzibar mwenzake mwislam basi anasifia tu
Matusi na uchawi havitakusaidia loloteYasemekana huyo Martin Maranja Masese ni mgonjwa wa UKIMWI na yule mdude Chadema naye ana UKIMWI na huku nyuma marinda yamefumuliwa alipotekwa na watu wa Magufuli. Hivyo wako desperate hawana hadhi wanayoilinda maishani. Wao kutukana sawa, wakishikwa na kutupwa jela nayo sawa tu
Kweli mkuu, tena mbaya zaidi unapinga kwa matusiUpinzani wa kupinga kila kitu ni upuuzi tu.
HapanaSiasa ndivyo zilivyo...
Dah mkuu, hilo sioYasemekana huyo Martin Maranja Masese ni mgonjwa wa UKIMWI na yule mdude Chadema naye ana UKIMWI na huku nyuma marinda yamefumuliwa alipotekwa na watu wa Magufuli. Hivyo wako desperate hawana hadhi wanayoilinda maishani. Wao kutukana sawa, wakishikwa na kutupwa jela nayo sawa tu
CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake
Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama
Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe
Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.
Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa
Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa
Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema
Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu
Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu
Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi
Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Huo ni mtizamo wako tu na sio wa Upinzani.Fatma Karume alikuwa hampendi Magufuli kwa sababu ni Mkristo ,sasa hivi Mzanzibar mwenzake mwislam basi anasifia tu
UKIMWI sio tusi..Yasemekana huyo Martin Maranja Masese ni mgonjwa wa UKIMWI na yule mdude Chadema naye ana UKIMWI na huku nyuma marinda yamefumuliwa alipotekwa na watu wa Magufuli. Hivyo wako desperate hawana hadhi wanayoilinda maishani. Wao kutukana sawa, wakishikwa na kutupwa jela nayo sawa tu
Siyo matusi hao vijana wako kwenye highest stage of desperation. Wasaidieni Tiba ya kisaikolojiaMatusi na uchawi havitakusaidia lolote
mkuu mbona we wanakufira mtaani kwanini unawasemea wenzakoSiyo matusi hao vijana wako kwenye highest stage of desperation. Wasaidieni Tiba ya kisaikolojia
Mtu yupi? Msigwa? Fatma?Hoja yako ilikuwa ni kwenye hilo hitimisho la paragraph ya mwisho. Umeshindwana nao huko unakuja kutuletea huku! Na kwa bahati mbaya unaside na upande fulani kiasi kwamba unadhani hatuna uwezo wa kupima. Unasema cdm itajuta kwasababu wafuasi wake baadhi wanatofautiana na mtu fulani unayemkubali.