CHADEMA isipowadhibiti vijana wake, itakuja kujuta


Kama CCM wanachuo, basi ni hicho cha kupora uchaguzi. CDM wanaiga nini kwenye hilo? CCM ingekuwa na chuo cha maana tusingeona kiwango kikubwa cha kujikomba kwa vijana na wazee wake. Hicho chuo cha CCM hakifundishi ubora, bali kinafundisha zaidi hila, ukatili na jinsi ya kutumia dola kubaki madarakani kwa shuruti.
 
Nilikuwa mpinzani mkubwa wa Ben Sanane kwa hoja, Mola amuweke pema peponi.

PENGO LAKE CHADEMA NI KUBWA SANA
 
Hoja yako ni nini hapa?
Malalamiko ndiyo mengi, ni vizuri ukaelewa siku zote hamuwezi kuwa na mawazo sawa popote pale.
 

Hebu ngoja kwanza maana naona unajichanganya,, hapa unaizungumzia Cdm au baadhi ya vijana wa CDM? Hebu weka vizuri hapo kwanza tujue tatizo lako ni CDM, au baadhii ya vijana wa Cdm kama kichwa chako cha habari kinavyosema?
 
Hebu ngoja kwanza maana naona unajichanganya,, hapa unaizungumzia Cdm au baadhi ya vijana wa CDM? Hebu weka vizuri hapo kwanza tujue tatizo lako ni CDM, au baadhii ya vijana wa Cdm kama kichwa chako cha habari kinavyosema?
Wote wapo responsible hapa, vijana wa CDM ndio sehemu kubwa ya CDM... Title inasema CDM isipodhibiti vijana wake, watajuta
 
Viongozi wetu wamepewa asali Sasa vijana wanaendeleza wanaendeleza Sela za chama za ulopokaji kama kawaida, ikiwezekana vijana nao wapewe asal [emoji847][emoji847][emoji847]
 
Wote wapo responsible hapa, vijana wa CDM ndio sehemu kubwa ya CDM... Title inasema CDM isipodhibiti vijana wake, watajuta

Wametumwa na CDM? Au ukibeba kilio cha Fatma ndio na ww unajigeuza mtetezi wake? Kama unaamini katika kutofautiana mawazo, sioni ni kwanini watu wakitofautiana upate shida boss.
 
Kajinyonge
 
Wametumwa na CDM? Au ukibeba kilio cha Fatma ndio na ww unajigeuza mtetezi wake? Kama unaamini katika kutofautiana mawazo, sioni ni kwanini watu wakitofautiana upate shida boss.
Nimebeba kilio? Hakuna anayelia hapa, ni hoja tu,
kama ni kutofautiana mawazo sio kuitana wasaliti au mdini au mkabila
na kama wanachama wengi na viongozi wanaonyesha tabia fulani in public wawe wametumwa ama hawajatumwa inaonekana wanawakilisha chama
 

Huyo Fatma unayemtetea hapa hajawahi kuita mtu mkabila, au mdini?

Hata hivyo sio vibaya Fatma kaona mchango wako dhidi ya CDM, sasa kaa pembeni uangalie CDM itakavyojuta.
 
Huyo Fatma unayemtetea hapa hajawahi kuita mtu mkabila, au mdini?

Hata hivyo sio vibaya Fatma kaona mchango wako dhidi ya CDM, sasa kaa pembeni uangalie CDM itakavyojuta.
Fatma hanijui wala sijamtaja Fatma tu hapo, ni mifano miwili ninetoa
Halafu nyie watu kila anayekuwa na mtazamo tofauti dhidi ya siasa zenu anakuwa katumwa? 😂😂
 
Mkuu tuwe kidogo objective, pamoja na yote lakini bado vijana kwa elimu zao na mengineyo bado wanatakiwa kupigwa msasa kuelewa miiko na falsafa japo siasa za afrika zinajulikana
 
Ukijiona wewe uko sahihi katika kila Jambo JITATHMINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…