Bado wako kwenye “uanaharati” siwatofautishi na EFF.
Kuna vitu chadema inapaswa kuiga CCM hata kwa jicho moja mfano kuwa na shule ya uongozi kuhusu falsafa na miiko ya chama. Hii itasaidia kukuza vipaji vya vijana wao wanaotarajiwa kuwa viongozi wao mbeleni.
Ni kichaa aiseeYule ni kichaa
USSR
Mtu yupi? Msigwa? Fatma?
Hoja yangu ni kuwa Chadema inapaswa kujifunza kuvumilia wanapotofautiana kwenye baadhi ya mambo.
kuna mambo ya msingi ambayo wanatakiwa kukubaliana ila kuna mengine ambayo mtu anaweza kuwa na mtazamo tofauti na ikavumilika tu
Chadema kwenye mambo 10 ukikubaliana nao kwenye mambo 9 la 10 ukawa na mtazamo tofauti wewe ni msaliti umenunuliwa kwa mtazamo wa hao vijana wengi
Wote wapo responsible hapa, vijana wa CDM ndio sehemu kubwa ya CDM... Title inasema CDM isipodhibiti vijana wake, watajutaHebu ngoja kwanza maana naona unajichanganya,, hapa unaizungumzia Cdm au baadhi ya vijana wa CDM? Hebu weka vizuri hapo kwanza tujue tatizo lako ni CDM, au baadhii ya vijana wa Cdm kama kichwa chako cha habari kinavyosema?
Apewe asali naeWaanze na MDUDE CHADEMA ni mpuuzi sana
Wote wapo responsible hapa, vijana wa CDM ndio sehemu kubwa ya CDM... Title inasema CDM isipodhibiti vijana wake, watajuta
KajinyongeCHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake
Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama
Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe
Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.
Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa
Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa
Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema
Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu
Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu
Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi
Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Wewe ni kuramba miguu tuUpinzani...
Wao kila kitu ni kupinga tuuu.
Nimebeba kilio? Hakuna anayelia hapa, ni hoja tu,Wametumwa na CDM? Au ukibeba kilio cha Fatma ndio na ww unajigeuza mtetezi wake? Kama unaamini katika kutofautiana mawazo, sioni ni kwanini watu wakitofautiana upate shida boss.
Nimebeba kilio? Hakuna anayelia hapa, ni hoja tu,
kama ni kutofautiana mawazo sio kuitana wasaliti au mdini au mkabila
na kama wanachama wengi na viongozi wanaonyesha tabia fulani in public wawe wametumwa ama hawajatumwa inaonekana wanawakilisha chama
Fatma hanijui wala sijamtaja Fatma tu hapo, ni mifano miwili ninetoaHuyo Fatma unayemtetea hapa hajawahi kuita mtu mkabila, au mdini?
Hata hivyo sio vibaya Fatma kaona mchango wako dhidi ya CDM, sasa kaa pembeni uangalie CDM itakavyojuta.
Mimi siyo mrembo. Mchelemchele kama wewe ndiyo mnapelekewa motohapana mkuu hayo mambo we ndo mchezo wako
kwani hujui siku hizi sura ngumu ndo zinakazwa?Mimi siyo mrembo. Mchelemchele kama wewe ndiyo mnapelekewa moto
Mkuu tuwe kidogo objective, pamoja na yote lakini bado vijana kwa elimu zao na mengineyo bado wanatakiwa kupigwa msasa kuelewa miiko na falsafa japo siasa za afrika zinajulikanaKama CCM wanachuo, basi ni hicho cha kupora uchaguzi. CDM wanaiga nini kwenye hilo? CCM ingekuwa na chuo cha maana tusingeona kiwango kikubwa cha kujikomba kwa vijana na wazee wake. Hicho chuo cha CCM hakifundishi ubora, bali kinafundisha zaidi hila, ukatili na jinsi ya kutumia dola kubaki madarakani kwa shuruti.