Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona CCM hawajaporwa majengo yaliyojengwa na wananchi.Ingekuwa watu wanashirikiana hivi kujenga maisha yao, mbona tungekuwa mbali.
Hizo ofisi watakuja kuporana kama ACT walivyporana ofisi na CUF huko Zanzibar.
Huu mgogoro ulichochewa na kufaziliwa na mwendakuzimu dikiteta magufuli, moto wa milele umuunguze huko kuzimu yule babu.Ingekuwa watu wanashirikiana hivi kujenga maisha yao, mbona tungekuwa mbali.
Hizo ofisi watakuja kuporana kama ACT walivyporana ofisi na CUF huko Zanzibar.
CCM sasa hivi inawekwa pamoja na Dola. Siku ikiondoka madarakani ndio utajua kipi ni kipi na cha nani.Mbona CCM hawajaporwa majengo yaliyojengwa na wananchi.
Chadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
VYOVYOTE VILE KAZI INAENDELEAChadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Sasa mkuu mbona unachokipinga ndio ulichoshauri. Kuna tofauti gani wanachama wakichanga mia 5, mia 5 na wakichanga nguvu zao na hela zao kama wanavyofanya sasa.CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Hujanielewa mkuu, mpaka sasa sijui wamekusanya laki 6 kati ya milioni 30 upo hapo? maanake hamasa ni ndogo snSasa mkuu mbona unachokipinga ndio ulichoshauri. Kuna tofauti gani wanachama wakichanga mia 5, mia 5 na wakichanga nguvu zao na hela zao kama wanavyofanya sasa.
Tatizo akili yako inawaza negative.Ingekuwa watu wanashirikiana hivi kujenga maisha yao, mbona tungekuwa mbali.
Hizo ofisi watakuja kuporana kama ACT walivyporana ofisi na CUF huko Zanzibar.