CHADEMA itajengwa na wenye moyo safi. Waanza kujenga ofisi zao za Majimbo kwa kujitolea

CHADEMA itajengwa na wenye moyo safi. Waanza kujenga ofisi zao za Majimbo kwa kujitolea

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kanda ya Serengeti
65D0ED95-8844-4DA2-93C9-48DA59B9FFC3.jpeg


KARATU

B6DA4875-DB57-48C2-BFB0-8A9772C56602.jpeg


BUNDA MJINI
EE473223-D5E0-490D-ABBB-E766F1FBC3E3.jpeg


SERENGETI
94AB7526-32F8-4B9A-9FEC-B7297507E351.jpeg


NJOMBE
7040334B-870C-4127-8048-35200D67C671.jpeg


MAKAMBAKO
0F88E9C8-94D2-4265-B5D0-135E4C6D8ABE.jpeg
 
CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Sasa mkuu mbona unachokipinga ndio ulichoshauri. Kuna tofauti gani wanachama wakichanga mia 5, mia 5 na wakichanga nguvu zao na hela zao kama wanavyofanya sasa.
 
Sasa mkuu mbona unachokipinga ndio ulichoshauri. Kuna tofauti gani wanachama wakichanga mia 5, mia 5 na wakichanga nguvu zao na hela zao kama wanavyofanya sasa.
Hujanielewa mkuu, mpaka sasa sijui wamekusanya laki 6 kati ya milioni 30 upo hapo? maanake hamasa ni ndogo sn
 
Chadema mpaka saaahv mmeshapoekea angalau bil 10 za ruzuku! ofisi za milion 50 unapata ngap apo?
 
Ingekuwa watu wanashirikiana hivi kujenga maisha yao, mbona tungekuwa mbali.

Hizo ofisi watakuja kuporana kama ACT walivyporana ofisi na CUF huko Zanzibar.
Tatizo akili yako inawaza negative.

Ni sawa na wewe unajenga nyumba kubwa lakini utakufa na utaiacha

Funzo
Kwenye maisha usiwaze negative
 
Back
Top Bottom