Kwa hatua hizi za kidemokrasia wamebakiza kipi ili muiite chadema ni chama cha kigaidi au wavunjifu wa amani?Ndo mmemaliza?
Huyu nae aliyeandika Taarifa kwa vyombo vya habari na Uma mbona hajataja polisi wa wilaya gani walioandika barua hizo vinginevyo taarifa ni bogusHivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
Maelezo kuwa imetolewa leo tarehe 16 Julai 2020 Alhamisi ila picha ya barua imetolewa leo tarehe 17 Julai, 2020 Alhamisi!Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa kwa Umma
Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya nchi yetu limepeleka barua kwa viongozi wetu ngazi za Wilaya wakiwataka kuwapelekea Majina ya Wagombea wetu ndani ya Chama wa nafasi ya Ubunge.
Barua hizo ambazo zimesainiwa na Wakuu wa Polisi wa Wilaya hazitaji sababu za kuhitaji Majina ya Wagombea wetu wala kuelezea Nia na misingi ya kisheria ya kutaka kupelekewa Majina hayo.
Kwa hatua za sasa tumewaelekeza viongozi wetu nchi nzima kuwa wasipeleke Majina hayo hadi hapo Polisi watakapotoa sababu na misingi ya kisheria za kuhitaji Majina ya watia Nia na Wagombea wa Chama chetu.
Pili tunamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi awachukulie hatua mara moja wakuu wa polisi wa Wilaya ambao wameandika barua hizo huku wakijua kuwa hawana mamlaka ya kisheria ya kuingilia michakato ya uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa.
Aidha tunamtaka IGP atengue barua hizo na aliongoze Jeshi la Polisi Kwa mujibu wa sheria na weledi hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Octoba.
Mwisho tunaendelea kufuatilia kwa karibu hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya watia nia na wagombea wetu maeneo mbalimbali nchini kama vile kuwakamata, kuwalaza mahabusu na wengine wanatakiwa kusalimisha magari yao binafsi Polisi bila kuelezea sababu za hatua hiyo.
Tunalitaka Jeshi la Polisi litimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria za nchi yetu na liache Mara moja tabia ya kukandamiza Chama chetu kwa kushusha bendera za Chama chetu kama ilivyofanyika kule Same,Mkoani Kilimanjaro.
John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.
Limetolewa Leo Alhamisi 16 Julai,2020.
View attachment 1508520
Hivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
Polisi kwa kawaidà hutekeleza majukumu yake kutokana na Sheria,taratibu zilizo wazi au kwa maagizo toka juu ndo maana tunashuhudia matukio mengi yasiyo ya kawaidà yanatokea mara kwa mara kuhusisha jeshi hilo lakini Serikali, mwajiri, inakaa kimya. Kwa hiyo kama kweli kuna barua hizo toka polisi basi wahusika wajitahadhari kwa usalama wao maana amri toka juu huwa haihojiwi kabla ya utekelezaji na baada ya utekelezaji ni kusubiri tuzo. Kama hali ndo hiyo, tujiandae kuona mengi wakati wa kampeini na mengi zaidi siku ya uchaguzi.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa kwa Umma
Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya nchi yetu limepeleka barua kwa viongozi wetu ngazi za Wilaya wakiwataka kuwapelekea Majina ya Wagombea wetu ndani ya Chama wa nafasi ya Ubunge.
Barua hizo ambazo zimesainiwa na Wakuu wa Polisi wa Wilaya hazitaji sababu za kuhitaji Majina ya Wagombea wetu wala kuelezea Nia na misingi ya kisheria ya kutaka kupelekewa Majina hayo.
Kwa hatua za sasa tumewaelekeza viongozi wetu nchi nzima kuwa wasipeleke Majina hayo hadi hapo Polisi watakapotoa sababu na misingi ya kisheria za kuhitaji Majina ya watia Nia na Wagombea wa Chama chetu.
Pili tunamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi awachukulie hatua mara moja wakuu wa polisi wa Wilaya ambao wameandika barua hizo huku wakijua kuwa hawana mamlaka ya kisheria ya kuingilia michakato ya uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa.
Aidha tunamtaka IGP atengue barua hizo na aliongoze Jeshi la Polisi Kwa mujibu wa sheria na weledi hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Octoba.
Mwisho tunaendelea kufuatilia kwa karibu hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya watia nia na wagombea wetu maeneo mbalimbali nchini kama vile kuwakamata, kuwalaza mahabusu na wengine wanatakiwa kusalimisha magari yao binafsi Polisi bila kuelezea sababu za hatua hiyo.
Tunalitaka Jeshi la Polisi litimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria za nchi yetu na liache Mara moja tabia ya kukandamiza Chama chetu kwa kushusha bendera za Chama chetu kama ilivyofanyika kule Same,Mkoani Kilimanjaro.
John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.
Limetolewa Leo Alhamisi 16 Julai,2020.
View attachment 1508520
Chadema inafutika Octoba labda ACT wataibuka nao kwa muda wa miaka mitano baada ya hapo nao wanafia mbali
Ndo mmemaliza?
Hebu tutajie hicho kifungu ?Tuisome sheria ya uchaguzi kabla ya kuanza kulaumu.watia Mia wote na wagombea wanaitaji kulindwa hivyo wanapotaka kuwstambua ni kuwapatia ulinzi kwenye hiki kipindi kigumu ambacho kila mtu anaamini anaweza kuwa mbunge hivyo aina mpya ya uhalifu wa watiania kufanyiana njama mbaya waweza kuibuka
Jeshi la CCM lazima lifanye kazi ya CCMHivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
sifa kuu ya kuajiriwa kama polisi ni urefu na mbio. hakuna nahusiano ya moja kwa moja kati ya urefu na AKILIHivi jeshi la Polisi Tanzania mbona linetawaliwa na ujinga wa hali ya juu hivyo?
Pia ni lzm urogwe kwanza, jukumu lako kuu ni kutii maagizo ya mwanasiasa.sifa kuu ya kuajiriwa kama polisi ni urefu na mbio. hakuna nahusiano ya moja kwa moja kati ya urefu na AKILI
good.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa kwa Umma
Jeshi la Polisi maeneo mbalimbali ya nchi yetu limepeleka barua kwa viongozi wetu ngazi za Wilaya wakiwataka kuwapelekea Majina ya Wagombea wetu ndani ya Chama wa nafasi ya Ubunge.
Barua hizo ambazo zimesainiwa na Wakuu wa Polisi wa Wilaya hazitaji sababu za kuhitaji Majina ya Wagombea wetu wala kuelezea Nia na misingi ya kisheria ya kutaka kupelekewa Majina hayo.
Kwa hatua za sasa tumewaelekeza viongozi wetu nchi nzima kuwa wasipeleke Majina hayo hadi hapo Polisi watakapotoa sababu na misingi ya kisheria za kuhitaji Majina ya watia Nia na Wagombea wa Chama chetu.
Pili tunamtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi awachukulie hatua mara moja wakuu wa polisi wa Wilaya ambao wameandika barua hizo huku wakijua kuwa hawana mamlaka ya kisheria ya kuingilia michakato ya uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa.
Aidha tunamtaka IGP atengue barua hizo na aliongoze Jeshi la Polisi Kwa mujibu wa sheria na weledi hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Octoba.
Mwisho tunaendelea kufuatilia kwa karibu hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya watia nia na wagombea wetu maeneo mbalimbali nchini kama vile kuwakamata, kuwalaza mahabusu na wengine wanatakiwa kusalimisha magari yao binafsi Polisi bila kuelezea sababu za hatua hiyo.
Tunalitaka Jeshi la Polisi litimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria za nchi yetu na liache Mara moja tabia ya kukandamiza Chama chetu kwa kushusha bendera za Chama chetu kama ilivyofanyika kule Same,Mkoani Kilimanjaro.
John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.
Limetolewa Leo Alhamisi 16 Julai,2020.
View attachment 1508520
Baada ya hapo ndo utachukua hatua gani??Hii barua mbona haijasainiwa hata kama imekuwa "scanned"? Kabla hatujaanza kulishutumu Jeshi la Polisi ni vyema makada wa CDM kutoka Makao Makuu waliipo hapa jukwaani wakatueleza ukweli wa tuhuma hizi na uhalisia wa barua hii.