Tulishawazoea kwa kulalamika! Umesema hujui sababu badala ya kwenda kuwauliza sababu tayari eti unasema UNAMTAKA IGP .... Who are you?? Mnaanza kuleta sababu za kushindwa! Kama Polisi wanataka kuwajua wagombea wenu ili waimarishe ulinzi kwenye maeneo yao. Kila wakati kuwaza negativity tuuuu!!