Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiki ya niniMnatafuta kiki.
kwani wenyewe ni tume ya uchaguzi acha ufala wa kijani, unataka waanze kuwateka wagombea mapemasimpeleke tu majina kwani watayafanya nini
Policcm wameanza kuwadhibiti wapinzani hata kabla hawajatia nia. Tusipokuwa waangalifu uchaguzi wa mwaka huu utakuwa kama ule wa serikali za mitaa mwaka jana.
Kuna Rushwa kubwa kama ya kutumia pesa za walipa kodi kisha kusingizia kuwa umeleta maendeleo kana kwamba unatumia pesa zako binafsi, kuleta maendeleo kwa pesa za wananchi kisha kutumia kama kisingizio ni Rushwa kwani unajidai kuwa ni wewe umeyaleta maendeleo kwa nguvu zako binafsi.Jamani wapeni Ili wachunguzwe nyendo zao, hatutaki kabisa rushwa.
Hivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?
Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa? Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Baada ya ccm kung'olewa Jeshi la polisi litavunjiliwa mbali na baadhi ya maofisa wake watakamatwa .
Peleka kwanza majina ya watia nia wa ccmsimpeleke tu majina kwani watayafanya nini
Kwa sheria ipi?simpeleke tu majina kwani watayafanya nini
Kuna Rushwa kubwa kama ya kutumia pesa za walipa kodi kisha kusingizia kuwa umeleta maendeleo kana kwamba unatumia pesa zako binafsi, kuleta maendeleo kwa pesa za wananchi kisha kutumia kama kisingizio ni Rushwa kwani unajidai kuwa ni wewe umeyaleta maendeleo kwa nguvu zako binafsi.
Ndo mmemaliza?
Wewe ulitakaje ?
Tulia dawa ikuingie,na kama ni uongo Polisi ndio itajibu na sio wewe.Hivi Chadema ni wa kuandika barua ya hivi kweli asee? Au ni mkakati wa kuichafua chadame ionekane kutoa tuhuma za ovyo?
Na kama ni kweli hii ni ya Chadema mbona hawakuweka ushahidi wa hizo barua za polisi zinazolalamikiwa hapa? Wasipo ziweka hizo barua tutaamini kuwa hizo ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwenye tukio la kupigwa na kuvunjwa kwa KUB huku watu wakitamka "tumetumwa kukuvunja mkuu na unamsumbua Rais".
Madictator huwa hawaogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma au vikundi vya kigaidi. Hayo mambo mawili ndio pekee madictator huogopa. Bila kuanza kutega mabomu kwenye ofisi na mikutano ya ccm, au kuanza kupambana na vyombo vya dola itakuwa ngumu kusikilizwa.