Chama kikuu cha upinzani chenye Matawi yake imara pande zote za nchi huku kikitetea haki za kuishi, maendeleo, haki, ulinzi na usalama wa wananchi kimekosoa vikali ripoti hiyo.
Kimetanabaisha kuwa Iwapo serikali haitakuja na majibu Tangible basi kwa kushirikiana na Wananchi wa Eneo hilo, asasi za kiraia na wadau mbalimbali watachukua dhima ya kupeleka Sampuli za Uchunguzi ndani na nje ya Nchi ili ukweli ujulikane.
Kimetanabaisha kuwa Iwapo serikali haitakuja na majibu Tangible basi kwa kushirikiana na Wananchi wa Eneo hilo, asasi za kiraia na wadau mbalimbali watachukua dhima ya kupeleka Sampuli za Uchunguzi ndani na nje ya Nchi ili ukweli ujulikane.