CHADEMA Kanda ya Serengeti yakosoa Ripoti ya Uchunguzi wa mazingira Mto Mara

CHADEMA Kanda ya Serengeti yakosoa Ripoti ya Uchunguzi wa mazingira Mto Mara

Profesa wa kemia Tz UDSM Mfano, na profesa wa kemia Havard USA wanaweza ku perform sawasawa?
Kwa nini tuna maprofesa wengi tu lakini tupo nyuma kiteknolojia. Hatimae huishia kwenye siasa, basi tuseme motive yao ni nini?
Corruption
 
Maprofesa wakibongo mbele ya hela nibora aliye soma ngumbaro.
Ila njaa!!!
Very true. Ngumbaro hana madhara kwa jamii. Ila prof Corrupt anaicost nchi kwa maamuzu yake.
 
Profesa maji taka.
Kwanza hajiulizi, kwani ng'ombe wananyea kwenye mto?
Ng'ombe gani anatoa kinyesi kilo 25? Huyu anaona sisi hatujui ng'ombe wa kikurya? Huyo ng'ombe anakula kilo ngapi ?
Mimi nafuga, namwalika Prof aje anioneshe hizo kilo 25 za kinyesi.
MTU unajitoa ufahamu kisa rushwa ndogo ndogo???
Ndio Prof Kashasema
 
Back
Top Bottom