Profesa maji taka.
Kwanza hajiulizi, kwani ng'ombe wananyea kwenye mto?
Ng'ombe gani anatoa kinyesi kilo 25? Huyu anaona sisi hatujui ng'ombe wa kikurya? Huyo ng'ombe anakula kilo ngapi ?
Mimi nafuga, namwalika Prof aje anioneshe hizo kilo 25 za kinyesi.
MTU unajitoa ufahamu kisa rushwa ndogo ndogo???