CHADEMA: Katiba mpya serikali 3 ruksa, Katiba Tanganyika mchakacho uanze mara moja!

CHADEMA: Katiba mpya serikali 3 ruksa, Katiba Tanganyika mchakacho uanze mara moja!

Chadema ni sauti ya watu,ni nguvu ya umma,ni tumaini la Mtanzania yoyote yule bila kujali udini wake wala ukabila wake na hata chama chake,acha kamati ikae ije na mapendekezo yatakayotutoa hapa tulipo na kusonga mbele kimawazo na kifikra,ccm yenu tumeyasikia na tumeyatafakali kwa kina na sasa sikilizieni mawazo ya chama kikuu cha upinzania Tanzania kisha na nyie myafanyie kazi na sio kulalama tu
 
Haikuwa dhamira ya chama kulipua mabomu na kuuwa watu, lakini hiki chama cha msimu kimetutia katika dhambi ambayo hatuta acha kuijutia, lakini pia ni dhambi ambayo hatuwezi kuiacha, maana pia hatutaki kuachia madaraka, hivyo tutaendelea kuua huku tukijiutia dhambi zetu.
 
Ngoja tusubiri msimamo rasmi utakaotolewa na viongozi wakuu wa chama au msemaji wa chama mh J J Mnyika
Ni kweli maanahivi vyanzo vingine haviaminiki!
Mtu anaweza kutabiri kwa kujua lipi haliwezi kukosa kujadiliwa kulingana na hali ya siasa huku nje ya kikao!
Hatujamsahahu MFUNGWA HURU Aden Rage aliyetangaza kwamba mgombea wa CHADEMA Igunga alikuwa amejitoa!
Kwa hiyo, msemaji wa chama ndo mwenye taarifa ya chama!
 
Hapa hatutaki shirkisho wala serkali 3 kwani ni kufuja rasilimali za taifa yani nchi 1 marais 3 ushaona wapi hiyo, wazenji wametutukana sana hao mapimbi na kama mnabisha jaribuni kuingia Mzalendo.net ndo mtashuhudia nachowaambia, mwaka jana nilifika zanzibar na kwakweli hali inasikitisha yani wale jamaa hawautaki muungano sasa kwanini tuwalazimishe jamani? huu ni muda wa kuvunja muungano tupate Tanganyika yetu.
 
kina tomaso tupo wengi...... unaambiwa uingie kwenye safina, wewe unauliza imetengenezwa wapi, china or ya japan..... kazi tunayo
Haya magazeti yetu ya Tanzania usiyaamini kwa 100% wengi wao taarifa wanategemea kuzipata hapa JF.
Tumaini Makene na John Mnyika ndio wasemaji wa Chadema, ngoja tusubili taarifa rasmi ya chama na siyo hivi vihabari vya kuokoteza.
 
Last edited by a moderator:
Tusubiri taarifa rasmi itakayotolewa kesho kwenye Press Conference
 
Ritz wewe ni msengerema nn?mbona una shadadia sana swala la mualiko ikulu linakuhusu nn wewe pimbi?watu wanajadili mambo nyeti ya kimaslah kwa taifa wewe unaongea upumbafu wako hv umesoma shule ya wapi wewe akili yako kama ya kuku,pumbafu wahed

Wewe endelea kutukana tu unipunguzii chochote wala kuniongeza chochote.
 
Bila serikali 3, yale masuala yasiyo ya muungano kwa upande wa Tanganyika yatasimamiwa na nani? copy Mwigulu!
 
Last edited by a moderator:
Mbona hawajasema chochote kuhusu mualiko wa Mbowe Ikulu.
ulisema utamshitaki DR. Slaa baada ya kusema wewe ni FISADI, mtoto umemaliza chuo kikuu juzi juzi tu, hujawahi hata kuamua kesi moja ukalipwa, ila sasa hivi ni Bilionea wa kutupwa!!! kes hii ulisema ni ya madai kukuharibia jina lako je imefikia wapi? Tunaisubiri kwa hamu.
 
Hili ni tamko la 43 la Chadema toka mwaka huu uanze.
 
ulisema utamshitaki DR. Slaa baada ya kusema wewe ni FISADI, mtoto umemaliza chuo kikuu juzi juzi tu, hujawahi hata kuamua kesi moja ukalipwa, ila sasa hivi ni Bilionea wa kutupwa!!! kes hii ulisema ni ya madai kukuharibia jina lako je imefikia wapi? Tunaisubiri kwa hamu.
Too low for you, yaani hata wewe unadhani Ritz wa JF ndio Ridhiwani Kikwete!? Ridhiwani akeshe hapa JF kwa shida gani na mipesa aliyotuibia kwa mgongo wa Baba yake atatumbuwa saa ngapi?

Ritz wa JF ni majobless wa Lumumba ambao wanaishi kwa ujira wa buku sabasaba na ndio maana muda wote wapo online hapa JF maana ni sehemu ya ajira yao.
 
Back
Top Bottom