..vipi kuhusu kura ya maoni Znz?
..wa-Znz wapewe nafasi ya kuamua kama wanataka kuwa ktk muungano kupitia kura ya maoni.
..vingenevyo hatutaishi kwa amani hata ktk hizo serikali 3 zinazopendekezwa.
cc: Dr.W.Slaa, Zitto, Molemo, Tumaini Makene, Mwita Maranya, Mchambuzi, GHIBUU, Ngekewa, Nguruvi3, Gaijin, EMT, Kobello
Wazanzibari wanaenda kwa hatuwa hawahitaji haraka! Hapo mwanzo waliomba hili la kura ya maoni sana lakini ikashindikana. wakataka serikali tatu nayo ikashindikana wakaona waaim juu zaidi ili wapate la chini. Watatishia kuukataa muungano kwa harakati za uamsho wakijuwa kuwa lolote litakalofanywa mwisho wake ni kuvunjika klwa muungano kwa vile upande wa pili wanachukulia huu muungano kama nguvu ya kuitawala zanzibar.
Wazanzibari iwapo serikali tatu zitapita hatuhitaji kura ya maoni kwani tunajuwa hiyo ni transition kuelekea mgawanyiko. angalau mgawanyiko huu utakuwa wa amani kwani Tanganyika na hasa kwa nguvu ya CDM hawahimili kukaa meza moja na zanzibar kwa misingi ya usawa! Viongozi wao mara nyingi wameshaonyesha hilo. Kiburi chao na dharau kitapelekea Tanganyika kwa hiari yao wavunje muungano!