Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Too low for you, yaani hata wewe unadhani Ritz wa JF ndio Ridhiwani Kikwete!? Ridhiwani akeshe hapa JF kwa shida gani na mipesa aliyotuibia kwa mgongo wa Baba yake atatumbuwa saa ngapi?
Ritz wa JF ni majobless wa Lumumba ambao wanaishi kwa ujira wa buku sabasaba na ndio maana muda wote wapo online hapa JF maana ni sehemu ya ajira yao.
Too low for you, teh teh teh, hii lugha ni mtihani, wakati mwingine ni bora ujikite kwenye kiswahili chako au kihaya.
