Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Ritz peopleeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssss![]()
mungu atatushindia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ritz peopleeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssss![]()
ule mkanda anaodai wa mauaji aliutoa? au alikuwa anajifariji.
Tanganyika yatosha
Katiba ya Tanganyika
Alisema msimamo wa Chadema ni kutaka ipatikane Katiba inayotengeneza viongozi na si watawala.Alibainisha kuwa suala lingine ni kuanza mchakato wa uundaji Katiba ya Tanganyika kwa kuwa Zanzibar tayari kuna Katiba na itakapokamilika ya Muungano ni wazi kuwa Tanganyika itashindwa kuendesha shughuli zake.
Tanganyika yatosha
Nini msimamo rasmi wa Chadema kuhusiana na umuhimu wa Katiba ya Tanganyika? Kwa tamko la hapo juu, its not clear - je hoja ni kwamba katiba ya Tanganyika lazima ianze kabla ya katiba za Muungano? au hoja ni kwamba mchakato wa Katiba ya Tanganyika na ya Muungano ni muhimu iende sambamba? Lakini muhimu zaidi, tamko la chadema halielezei kwa uwazi bila kujiuma uma iwapo tumekosea kukimbilia katiba ya Muungano kabla ya kukamilisha kwanza Katiba ya Tanganyika;
..vipi kuhusu kura ya maoni Znz?
..wa-Znz wapewe nafasi ya kuamua kama wanataka kuwa ktk muungano kupitia kura ya maoni.
..vingenevyo hatutaishi kwa amani hata ktk hizo serikali 3 zinazopendekezwa.
Tatizo mnawasemaji wengi sana, angalia hii orodha.
1. Mwita Maranya,
2. Mohamedi Mtoi,
3. Yericko Nyerere,
4. Molemo,
5. Mungi,
6. Crashwise,
7. Matola,
Hapa ndipo tulimuonya Warioba mapema sana kuwa lazima wzn waamue kama wanataka muungano au la...vipi kuhusu kura ya maoni Znz?
..wa-Znz wapewe nafasi ya kuamua kama wanataka kuwa ktk muungano kupitia kura ya maoni.
..vingenevyo hatutaishi kwa amani hata ktk hizo serikali 3 zinazopendekezwa.
cc: Dr.W.Slaa, Zitto, Molemo, Tumaini Makene, Mwita Maranya, Mchambuzi, GHIBUU, Ngekewa, Nguruvi3, Gaijin, EMT, Kobello
Too low for you, yaani hata wewe unadhani Ritz wa JF ndio Ridhiwani Kikwete!? Ridhiwani akeshe hapa JF kwa shida gani na mipesa aliyotuibia kwa mgongo wa Baba yake atatumbuwa saa ngapi?
Ritz wa JF ni majobless wa Lumumba ambao wanaishi kwa ujira wa buku sabasaba na ndio maana muda wote wapo online hapa JF maana ni sehemu ya ajira yao.