CHADEMA: Katiba mpya serikali 3 ruksa, Katiba Tanganyika mchakacho uanze mara moja!


Too low for you, teh teh teh, hii lugha ni mtihani, wakati mwingine ni bora ujikite kwenye kiswahili chako au kihaya.
 
Too low for you, teh teh teh, hii lugha ni mtihani, wakati mwingine ni bora ujikite kwenye kiswahili chako au kihaya.
Ritz peopleeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssss
 

Umeshavunja sheria ya cdm kwa kumsifia JK.
 
Mbona hawajasema chochote kuhusu mualiko wa Mbowe Ikulu.

Haikuwa Ajenda kwa Sababu sio issue kwa CHADEMA.

PS
Akina Wassira, Lukuvi Full Kununa that day Ikulu, Vp hawajalianzisha tu ndani ya CC Yenu
 
Hili la serikali 3 nilazima tuwe wakweli kwamba mwisho wa muungano umefika. Hili la Tume huru ya uchaguzi ni la kulipigania ccm hawawezi kujikaanga kwa mafuta yao wenyewe.
 
Hili ni tamko la 43 la Chadema toka mwaka huu uanze.

je unaya kumbuka haya....siasa ni kilimo ,kilimo cha kufa na kopona....kilimo kwanza ..kilimo ni uti wa mgongo....lakini maka leo kilmo bdo cha jembe la mkono tena linalotengenezwa china ....kiwanda mlikila na matumbo yenu

 
hapo kwenye tume ya uchaguzi ndiyo karata ya ccm , ni lazima pamulikwe kwa tochi za migodini .
 
vipi kawapa wajumbe cd ya mauaji aliyonayo au ni zuga tu.
 
hajaeleza kwa nini alienda kwenye dhifa ikulu huku slaa akijichanganya,
 
Hao makamanda kazi yao si ya kitoto.Ni wapi walijiita wasemaji?

Mkuu, hilo nalo unalikataa? muda mwingine tukubali tu kwamba CDM mnachemka kwa mambo madogo madogo.

Kamanda Mwita Maranya alikuwa kinara wa kuwahadaa wanaJF na guests wanao peruzi humu kuwa Mbowe amepata mwaliko kutoka state department.

Hapo hapo kaja Dr Slaa na kusema mwaliko wa Mbowe umetokea Ikulu kupitia bungeni mpaka kwa ofisi ya KUB.

Wakaja wadaku wakuu nchini, Tanzania Daima, nao wana lao kuwa Mbowe alipata mwaliko kama mwenyekiti wa CHADEMA na maana hiyo CHADEMA ilipata mwaliko rasmi.

Kamanda Saanane hili ni bora mkubali kuwa CDM mmefanya blunder. Huku Mnyika na Makene hawajulikani walipo.
 
Haikuwa Ajenda kwa Sababu sio issue kwa CHADEMA.

PS
Akina Wassira, Lukuvi Full Kununa that day Ikulu, Vp hawajalianzisha tu ndani ya CC Yenu
ule mkanda anaodai wa mauaji aliutoa? au alikuwa anajifariji.
 
Hao makamanda kazi yao si ya kitoto.Ni wapi walijiita wasemaji?
Hiyo ID saa hizi ameingia mtu mwingine ndio amempokea shift, ukita kuamini maneno yangu angalia latest started thread yake utajuwa hawa ni watu zaidi ya mmoja na uandishi wao ni tofauti.

Wewe mfanyie screening tu utawaelewa vizuri, ni vijana waliokata tamaa na wengine wameamuwa ku-terminate hii ajira ya buku saba, mfano hai ni huyu Rejao na Mahesabu.
 
Last edited by a moderator:
hicho kilikuwa kikao cha kugawana ruzuku
Unadhihirisha ujuha wako kwa kuandika comments tatu mfululizo umeshindwa kuziweka pamoja? au unataka uonekane umepost nyingi? ufala mwingine bana!
 

sikio la kufa chama hakina mkubwa wala mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…