Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Pole sana kama ulikua hujui hiloDini ni facts?! Utachekwa ww.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kama ulikua hujui hiloDini ni facts?! Utachekwa ww.
Hebu tulia ww, ulikuja kichwakichwa nikadhani una jipya, kumbe ni mchekeshaji tu.Pole sana kama ulikua hujui hilo
Kama ulivyo wewe unashindwa kuelewa aliekuletea dini ndo huyo huyo alikuletea elimuHebu tulia ww, ulikuja kichwakichwa nikadhani una jipya, kumbe ni mchekeshaji tu.
Unakuta visinzi kweli ila kanajidai dini yangu Islam,dini yangu mkristo. Kumbe muabudu mizimuSijui huo uislam wenu au ukristo wenu huwa unawapa faida gani maisha haya.
Kutwa mmekumbatia mitego ya dini ,kujishuku shuku , kuitafutizia vikauli vya kuonekana upande flan unabaguliwa, ya nini yote haya maujinga ujinga yenu nyie mafala.
Fu*ck dini zoote. Ujinga tu na upumbavu
Kwani tokea lini Mimi nimewahi kujiweka kando na harakati za udini ndani ya Jamii Forum? Mimi na wengine wengi tuh humu JF tupo front kupigana Jihad Kwa kutumia kalamu ya kidigital kama hii kama vile ambavyo wengine wapo front kupigana crusade wars humu JF,kila MTU ameamua kuchagua njian ya kupita,kila MTU awe free na njia hiyo ambayo kaichagua.We mzee mtu ambaye hakujui humu ndo atashanga nyuzi zako za kuwatuhumu CHADEMA kuhusu udini. Tangu miaka hiyo wewe umewaandama CHADEMA kwa gear ya siasa na UDINI. Nakumbuka tangu issues za gesi ya mtwara na Lindi zimepamba moto, uliwashikia bango CHADEMA kwamba wanahoji maswala ya gesi kwa sababu ya udini na hawataki waislamu wa kusini wafaidike. Hata kipindi cha mtafaruku wa Zitto na Chadema uliwaandama sana kwa gear ya udini. Kipindi hicho mjadala wa gesi uliwaandama sana Dr. Slaa na Mbowe kuliko maelezo. Leo kiko wapi? Hiyo gesi iko wapi? au ni chadema walizuia?
kwa hiyo wewe hizi hoja zako ni muendelezo wa chuki zako tuu ambazo ziko detailed kwenye udini wako. Wengi humu tumekusoma siku nyingi. Ndo maana siwezi kushangaa nikiona nyuzi kama hizi.
This is real YOU bila mask...fortunately kwa wengi humu THE BIG SHOW alikuwa unmasked siku nyingi sana.
Masanja