Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

Hahaha ndio naendelea kusoma kitabu cha " How ccm under developed Tanzania for 60 years" by T.A. Lisu.

Page ya pili sasa lakini October 28, naiondoa ccm my decision is final.
Tupia screenshots tasavali
 

Sikuwahi kushuhudia jitu bwege kama hili.Huna vigezo huna lolote kisa Tundu Lissu tu basi.We are in a country of wrong people.Huyo mungu unayemsifia ni mungu wa uongo.Mungu wa ukweli hakubali ujinga ,matusi na maneno machafu na kejeli.Labda kama hivi karibuni CHADEMA mumeshushiwa kitabu kipya au labda kama kilichopo mume ki edit ili muingeze ujinga huu.
 
Basi acha nisiseme mengi cha msingi panapo uhai naomba uje na hii post yako baada ya oktoba 28. Tafadhali usiache kuikumbushia
 
Mkuu nakuhakikishia kuwa hata watu walioko ccm watapiga kira kwa Mh Lissu (tunza hii comment), Jiwe akipata hata 20% ya kura akatambikie.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 

Call me all bad names you have in your store of ignorance....

The God we are talking about here is JEHOVAH, The God of Abraham, Issack and Israel....

We are not talking about CCM and Magufuli's god of Gamboshi...

What I know is that, The Almighty God's BOLD WARNING WRITINGS on the wall to end this devilish regime under CCM and Magufuli can clearly be read by every person...

Nothing, absolutely nothing will turn it positive once more. This is the end of you satanic children....!!
 
Confused born CHADEMA again .I wish you were a true born again. Where are you going to hide your face after election results to realize that the winner is whom you call a devil and your Angel is overwhelmingly defeated ,which is undoubtedly the case.
 
Mpango mzima uko kwenye vituo vya kupigia kura. Angazieni uko. Mikakati na nguvu zote zielekezwe huko. Ishu haiko kwenye kampeni na nyomi.
Kama hawa wapizani, CHADEMA na ACT watapuuza hili hakuna sababu tena ya kuhangaika nao kwa lolote, CHA TUBAKI UTUMWANI.

Lakini haitaishia hapo, nitakuwa mmoja wa watu wa kuwaombea kila aina ya manyanyaso yawapate, na hatimae wapotelee mbali kwa kuwapotezea waTanzania matamanio yao ya ukombozi.
Kuna watu wana njaa sana, na hawa ndio CCM inawasubiria kwa hamu sana wateuliwe kuwa mawakala.
Kazi muhimu ni kwa hivi vyama kuwatambua na kuwateua wasiouza utu wao na taifa lao.
 
How short sighted ! Very sad in did🚮🚮🚮🚮
 
The best thread yet..
Molembe
Tundu Lissu
Salary Slip
na wengineo mliopo jikoni njooni huku mpate haya madini mfanyie kazi. Wakati wa ukombozi ni huu
 
Hivi kummpa mtu sifa yake ya kuwa ni mwizi mporaji, mnyanganyi, muuwaji na muonevu ni tusi?, Hizo zote ni sifa zake Magufuli na hilo halipingiki kwa yeyote mwenye akili timamu na uelewa na mwenye mlengo wa kati wa kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…