CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nadhani suala la mgombea binafsi lilishapelekwa mahakamani na mahakamq kuruhusu kuwepo na mgombea binafsi.Ni serikali tuu ndio imesita kutekeleza amri ya mahakama.

Labda Spika anatumia kipengele hicho cha sheria, kwani hata akina mdee wakienda mahakamani jibu ni kuwa wao ni Binafsi

Au siyo ndugu Pascal?
 
Mkuu mzee74 , kama hii ni para 20 tuu unauta it's too long?!, wewe una uwezo wa kusoma kitabu chochote?, can you able to read any book?. Watanzania ni wavivu kusoma, namna pekee ya kuongeza maarifa ni kwa kusoma, kusikiliza na kutazama!.
P
Dkt.P inategemea na aina ya uandiahi

Utakuta mwandiahi anachelewa sana kuingia katika hoja.Anazunguka sana.Ni uandishi unaochosha.

Na mwandiahi muingine anIngia katika hoja mapema ila a anakupa hamu ya kuendelea kujua zaidi.
 
chadema hakiwezi kufa. endelea kuramba miguu ya bwana zako kwa maandiko marefu yaliyojaa upuuzi.
 
Dkt.P inategemea na aina ya uandiahi

Utakuta mwandiahi anachelewa sana kuingia katika hoja.Anazunguka sana.Ni uandishi unaochosha.

Na mwandiahi muingine anIngia katika hoja mapema ila a anakupa hamu ya kuendelea kujua zaidi.
Mkuu mzee74 , hoja yako ni kweli, mimi ni story teller, hivyo ni mtu wa mastori. Hivyo kama para 20 tuu umeziona too long, unaweza kusoma novel yoyote wewe?.
P
 
Dkt.P inategemea na aina ya uandiahi

Utakuta mwandiahi anachelewa sana kuingia katika hoja.Anazunguka sana.Ni uandishi unaochosha.

Na mwandiahi muingine anIngia katika hoja mapema ila a anakupa hamu ya kuendelea kujua zaidi.
Mkuu mzee74 , hoja yako ni kweli, mimi ni story teller, hivyo ni mtu wa mastori. Hivyo kama para 20 tuu umeziona too long, unaweza kusoma novel yoyote wewe?.
P
 
Mkuu mzee74 , hoja yako ni kweli, mimi ni story teller, hivyo ni mtu wa mastori. Hivyo kama para 20 tuu umeziona too long, unaweza kusoma novel yoyote wewe?.
P
Dkt.P
Mimi ni msimaji mzuri.Napenda vitabu vinayokufanya utamani kufungua ukurasa unaofuata.Nimewahi kumsoma Irving Wallace katika kitabu chake cha "The Prize " chenye kurasa 768 kwa wiki moja.NIlikuwa natembea na hicho kitabu na nikipata wasaa nasoma mpaka nikakimaliza.

Wewe pia ni muandishi mzuri ila saa nyngine unatumia lugha ya kificho sana
 
Nimeupenda uchambuzi huu, naona umezima matusi,kejeli,porojo na zile hoja za Tandale kwa Tumbo,na mwisho kabisa umeandika ''kale kabinti Queen Sendiga''. Mkuu hata mimi haka kabinti kamenikosha na ni kichwa kanajiamini sijui kametokea wapi.
 
Huna tofauti na n Huna tofauti na ng’ombe.
 
Ulikuwa unanijibu mimi?
 
Kama mnavyoomba misaada isije kwa waathirika wala misaada ya kibinaadam isifike ili watanzania wote wafe halafu wewe na kichaa mwenzako Lissu mpate demokrasia
Mpaka sasa watanzania hasa ambao siyo wanaccm wanawekewa vikwazo mbalimbali na serikali yako dharimu.

Wana vikwazo vya ajira,uhuru,haki na kudhurumiwa maisha yao.KWA HIYO VIKWAZO HIVI VITAKUWA NI MUENDELEZO WA VIKWAZO KWA NCHI ILIYOJAA UCHAFU
 
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa. Wakati Chadema wanaendelea kushupaza shingo, wenzao, wamepiga bao la kisigino.
Naendelea kusisitiza, "if you can't get what you want, then what you get". Yaani usipopata kile kikubwa unachokitaka, pokea hata kidogo ulicho patina!.
Na kwenye mapambano ya kupigania kitu, "if you can't beat them, join them". ACT Wazalendo wameipambania Zanzibar kwa kupigana na CCM, they couldn't beat them, now they have joined them.

Hongera sana ACT Wazalendo kwa kujitambua, hongera sana rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi kwa kuwa muungwana kama baba yako.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania..
P
 
Duh...!. Haya, kama unaamini kuna watu wanalipwa ku spin, endelea kuamini, na labda kweli hao ma spin doctors wapo, but not me. Kwanza I don't spin, mimi ni mkweli Daima na ninaandika ukweli with facts and references.

P
 
Njaa haina baunsa
Aisee! Kwenye nchi zilizoendelea na hata zenye ustaarabu kidogo waandishi wa habari kwao ni mhimili wa nne wa dola.
Tumefikaje hapa na inaelekea tumekubali kuishi hivi tulivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…