CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia. CHADEMA kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi. Sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with two options only kuchagua kufa, au kuendelea kuishi.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC ya kuwavua uanachama hao wasaliti 19, kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa CHADEMA will go straight to hell by being buried 6ft Under.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wengi kwenye complex issues ni mdogo, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.

Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa

A Way Forward Kwa Chadema
Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, hawamtambui Rais wa JMT, kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, tena hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.

Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update ya Mchango Very Objective

Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
Mayalla unatatizo la ushabiki, hao makamanda wako walifukuzwa chama kwa kosa la kuidharau CC iliyowaita wakajieleze, hivyo swala la kuapishwa halipo, lingekuwepo kama wangejieleza na chama kuwafukuza.
Anyway you will always hate Chadema and get nothing.
 
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa. Wakati Chadema wanaendelea kushupaza shingo, wenzao, wamepiga bao la kisigino.
Naendelea kusisitiza, "if you can't get what you want, then what you get". Yaani usipopata kile kikubwa unachokitaka, pokea hata kidogo ulicho patina!.
Na kwenye mapambano ya kupigania kitu, "if you can't beat them, join them". ACT Wazalendo wameipambania Zanzibar kwa kupigana na CCM, they couldn't beat them, now they have joined them.

Hongera sana ACT Wazalendo kwa kujitambua, hongera sana rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi kwa kuwa muungwana kama baba yako.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania..
P
Mimi nina mashaka na akili zako, Mwinyi ni kibaraka tu wa Tanganyika wala hana uungwana wowote.

Kinachoendelea Zanzibar ni mambo ya Kikatiba na siyo hisani, kama uungwana basi Maalim Seif na wenzake ndio waungwana.
 
Mimi nina mashaka na akili zako, Mwinyi ni kibaraka tu wa Tanganyika wala hana uungwana wowote.

Kinachoendelea Zanzibar ni mambo ya Kikatiba na siyo hisani, kama uungwana basi Maalim Seif na wenzake ndio waungwana.
Nadhani tuna wajibu wa kutumia lugha ya staha kwa viongozi wetu, kumuita rais wa nchi kibaraka sio jina la staha. Vibaraka ni wale vibaraka wa mabeberu.
Viongozi wetu ni wazalendo.
P
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia. CHADEMA kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi. Sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with two options only kuchagua kufa, au kuendelea kuishi.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC ya kuwavua uanachama hao wasaliti 19, kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa CHADEMA will go straight to hell by being buried 6ft Under.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wengi kwenye complex issues ni mdogo, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.

Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa

A Way Forward Kwa Chadema

Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, hawamtambui Rais wa JMT, kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, tena hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.

Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update ya Mchango Very Objective

Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
Watanzania ,watanganyika na wazanzibar wanakatishwa tamaa na baadhi ya wanasiasa na maamuzi yao, hivyo wanaamua kuachana na mambo ya kufatilia Siasa!

Niwakumbushe tu ndugu zangu, sukari tunayokorogea Hot beverage ni siasa, mafuta tunayoweka kwenye automobile ni siasa, beer na condom tunazotumia ni siasa!

Tusiache, tuendelee kujadili SIASA, siasa ni maisha.
 
Tupo tayari chama kife lakini hatutakubali kutumika kama muhuri wa kuhalalisha mateso kwa Watanzania. DEMOKRASIA NI MUHIMU KULIKO UHAI WA CHADEMA, TANZANIA NA WATANZANIA NI MUHIMU KULIKO UHAI WA CHADEMA. Kikubwa zaidi hatusikilizi ushauri wa WANAFKI.
Nia ya huyu jamaa siyo ushauri ila anahangaikia uteuzi. Kinamuuma nini kwa Chadema kufa? Heri kufa shujaa kuliko kuishi mtumwa na kufa mtumwa.
 
Huu ndiyo uhuru wa habari, kila mtu ana haki ya kuandika matapishi yake ya asubuhi.
Unachofikiria kifanyike Chadema ndio kitakacho fanywa, ila tusuhiri kidogo hasira zipungue na wakat huo huo muda utatulazimisha nini cha kufanya.

Humu ndani bado kuna watoto wengi wa siasa, subiri tuu Mbowe atalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kujiunga na Serikali kwa kupeleka Wabunge na kuchukua ruzuku ya kuendesha chama Chetu.

Sio maamuzi yote ya kisiasa unayafanya kwa kupenda au kuyachagua, kuna mengi tuu unalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kwa wakati huo.
 
Yaani Mccm ageuke kuwa mshauri wa Chama pinzani CDM? Paskali nilitegemea ukiandika hoja zenye mantiki kukemea u dhalimu unaopindisha katiba na sheria za nchi hii.

Lakini umekua kimya ukiandika porojo and most of the very writing here is to point out on CDM..wengi humu hatuna vyama ila tungependa future nzuri ya Taifa Letu. Kuangalia leo Bila kufocus future ya vizazi vijavyo ni uhayawani wa waziwazi kabsa.

Km hauna chama kaa kimya!! Mkuu!!
 
Unachofikiria kifanyike Chadema ndio kitakacho fanywa, ila tusuhiri kidogo hasira zipungue na wakat huo huo muda utatulazimisha nini cha kufanya.

Humu ndani bado kuna watoto wengi wa siasa, subiri tuu Mbowe atalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kujiunga na Serikali kwa kupeleka Wabunge na kuchukua ruzuku ya kuendesha chama Chetu.

Sio maamuzi yote ya kisiasa unayafanya kwa kupenda au kuyachagua, kuna mengi tuu unalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kwa wakati huo.
Mkuu Gerald .M Magembe, asante sana kwa mchango wako wa ushauri huu mstari, "Sio maamuzi yote ya kisiasa unayafanya kwa kupenda au kuyachagua, kuna mengi tuu unalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kwa wakati huo", ni maneno mazito sana, na ya ukweli mchungu. Naamini hasira zikipita, Chadema nao will do the right thing!.
P
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia. CHADEMA kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi. Sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with two options only kuchagua kufa, au kuendelea kuishi.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC ya kuwavua uanachama hao wasaliti 19, kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa CHADEMA will go straight to hell by being buried 6ft Under.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wengi kwenye complex issues ni mdogo, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.

Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa

A Way Forward Kwa Chadema

Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, hawamtambui Rais wa JMT, kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, tena hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.

Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update ya Mchango Very Objective

Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
Ni ushauri mzuri uliotoa. Tabia ya kususa haisaidii chochote. Chadema wameitumia sana tabia hii, matokeo yake Chadema si ile ya enzi za Slaa. CUF ya wakati ule walisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar. Kuna jambo Maalim Seif kajifunza....ndo maana wakati huu akiwa ACT Wazalendo, hajataka susia serikali ya umoja wa kitaifa. Busara na hekima ni jambo muhimu katika uongozi. Ndo maana Malkia Mrembo toka Ethiopia ya wakati huo alimtembelea mfalme Suleiman walau kuchota hekima. Dhana ya kujiona kwakua weye ni mpinzani basi hukubaliani na lolote lile na kujiona weye ni kila kitu ujenga kiburi na kufanya mtu kuwa na maamuzi ya kukurupuka yasiyo na tafakuri. Chadema wanahitaji kuwa wajanja na kucheza kwa ustadi mkubwa ktk siasa za Tanzania. Wajifunze kwa Raila Ondiga. Aliwahi susia uchaguzi lkn aling'amua kitu. Akajirudi na sasa amewezesha kuwepo kwa mchakato wa BBI. Siasa hazihitaji hasira wala chuki. Siasa hazihitaji kujionesha weye ni mwamba kwani unaweza shupaza shingo ikavunjika ghafla. Chadema wakubali tu matokeo, kutokukubali haiwasaidii na haitowasaidia, zaidi ni kukififisha chama. Kwa wabunge hawa mtazamo wangu wangeonywa, kuonywa ni njia mojawapo katika kutatua mgogoro. Si kila kitu ni fukuza. Chadema miaka yote haijawahi kukubali matokeo. Lakini waliingia bungeni, kila mtanzania anajua. Hivyo kususa kwa sasa hakufanyi watu waione Chadema ni mashujaa bali inajichimbia kaburi lake yenyewe. Watanzania si wajinga. Ni wastaarabu na hawakurupuki ktk maamuzi. Watakushangilia lkn katika nafsi zao wanajua ukweli ni upi. Mandela alifungwa alinyanyaswa si yeyetu bali wafuasi wengi wa ANC wengi waliuliwa, je Mandela aliwahi susa, alikuwa wa kwanza kutangaza msamaha na maelewano, hakulipiza kisasi. Nasema hii kwani viongozi wengi wa Chadema na mashabiki zao upenda kujilinganisha au kumtolea mfano Mandela. Migogoro ya kisiasa ipo hata Ulaya na Marekani, lkn sijawahi sikia kususa, hii tabia wakati tunakua kule kwetu kanda maalum tuliambiwa ni tabia isiyofaa. Ni tabia inayoonesha udhaifu na kutojiamini. Nirejee kwako Pascal sijafurahishwa unapotumia neno Watanzania wanauelewa mdogo. Hii tabia ya baadhi ya watu kujidharau na kujitukana inazidi mea mizizi.Tusijidharau kama Watanzania. Tusjitukane kama Watanzania. Tuwe proud! Sijawahi ona Taifa watu wanajidharau kama Watanzania. Inaniuma sana. Nilisoma chuo kimoja nchi fulani ya jirani. Mwanafunzi mmoja tukiwa darasa moja aliniuliza ati Watanzania tunaiogopa nchi yao na watanzania hatujiamini kama wao. Jibu nililompa lilimbadili kufikiria alivyo fikiri. Pia nimezunguka nchi kadhaa raia wengi wako proud na hakuna anaejidharau au kudharau watu wa Taifa lake hata kama wanamigogoro ya ndani wako so proud na utaifa wao. Hivyo Pascal nakuomba utuombe msamaha watanzania kutuita wengi tunauelewa mdogo ktk complex issues kama ulivyosema. Sielewi umetumia kigezo kipi na katika utafiti wako una base yoyote ile kufikia kutudharau watanzania katika uelewa? Huoni umedharau kuanzia wazazi wako, ndugu zako, marafiki na jamii nzima ya watanzania. Ungeweza toa mada yako bila kuonyesha dharau au majivuno yoyote. Si kila mtu akuelewe, Lakini anaweza kukuelewa taratibu atakavyo eleweshwa zaidi. Unapowasilisha mada epuka "defensive mechanism" toa mada Swala la uelewa uja baadae ushawasilisha mada. Watu wakichangia ndo utaelewa kama wamekuelewa au la na wasipokuelewa pengine unanafasi ya kuelewesha kwa lugha nyepesi. Kuelewa au kutokuelewa si tu kwa mpokeaji mada hata mtoa mada anaweza kuwa kawasilisha mada isivyo takiwa na kufanya wapokea mada wasielewe. Kutoelewa kwao kunakuwa kumesababishwa na weye mwenyewe. So hapo nani kafail wewe mwasilishaji au wapokea mada?
 
Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC ya kuwavua uanachama hao wasaliti 19, kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa CHADEMA will go straight to hell by being buried 6ft Under.

Karibu tena.
P
Ndugu zangu,

Chadema walisisia matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2020 wakaahidi kutoshiriki uchaguzi wowote siku zijazo.

Ingekuwa busara waendelee na shughuli nyingine waachane na siasa kwani masharti yao hayakutimizwa.Sio lazima Chadema kushiriki chochote,kitendo chao kuwasakama akina Halima Mdee ni nongwa na husda.

Ukisusa susa kweli acha kutazama nyuma.
Asante Wakudada, baeleze baelewe, ukisusa, sie twala. Kina Halima ni mashujaa!.

P
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Kosa la kwanza lilikuwa la lowassa, hawakijunza, likaja la tundulissu, sasa hawaaminiwi tena.
 
Ni ushauri mzuri uliotoa. Tabia ya kususa haisaidii chochote. Chadema wameitumia sana tabia hii, matokeo yake Chadema si ile ya enzi za Slaa. CUF ya wakati ule walisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar. Kuna jambo Maalim Seif kajifunza....ndo maana wakati huu akiwa ACT Wazalendo, hajataka susia serikali ya umoja wa kitaifa. Busara na hekima ni jambo muhimu katika uongozi. Ndo maana Malkia Mrembo toka Ethiopia ya wakati huo alimtembelea mfalme Suleiman walau kuchota hekima. Dhana ya kujiona kwakua weye ni mpinzani basi hukubaliani na lolote lile na kujiona weye ni kila kitu ujenga kiburi na kufanya mtu kuwa na maamuzi ya kukurupuka yasiyo na tafakuri. Chadema wanahitaji kuwa wajanja na kucheza kwa ustadi mkubwa ktk siasa za Tanzania. Wajifunze kwa Raila Ondiga. Aliwahi susia uchaguzi lkn aling'amua kitu. Akajirudi na sasa amewezesha kuwepo kwa mchakato wa BBI. Siasa hazihitaji hasira wala chuki. Siasa hazihitaji kujionesha weye ni mwamba kwani unaweza shupaza shingo ikavunjika ghafla. Chadema wakubali tu matokeo, kutokukubali haiwasaidii na haitowasaidia, zaidi ni kukififisha chama. Kwa wabunge hawa mtazamo wangu wangeonywa, kuonywa ni njia mojawapo katika kutatua mgogoro. Si kila kitu ni fukuza. Chadema miaka yote haijawahi kukubali matokeo. Lakini waliingia bungeni, kila mtanzania anajua. Hivyo kususa kwa sasa hakufanyi watu waione Chadema ni mashujaa bali inajichimbia kaburi lake yenyewe. Watanzania si wajinga. Ni wastaarabu na hawakurupuki ktk maamuzi. Watakushangilia lkn katika nafsi zao wanajua ukweli ni upi. Mandela alifungwa alinyanyaswa si yeyetu bali wafuasi wengi wa ANC wengi waliuliwa, je Mandela aliwahi susa, alikuwa wa kwanza kutangaza msamaha na maelewano, hakulipiza kisasi. Nasema hii kwani viongozi wengi wa Chadema na mashabiki zao upenda kujilinganisha au kumtolea mfano Mandela. Migogoro ya kisiasa ipo hata Ulaya na Marekani, lkn sijawahi sikia kususa, hii tabia wakati tunakua kule kwetu kanda maalum tuliambiwa ni tabia isiyofaa. Ni tabia inayoonesha udhaifu na kutojiamini. Nirejee kwako Pascal sijafurahishwa unapotumia neno Watanzania wanauelewa mdogo. Hii tabia ya baadhi ya watu kujidharau na kujitukana inazidi mea mizizi.Tusijidharau kama Watanzania. Tusjitukane kama Watanzania. Tuwe proud! Sijawahi ona Taifa watu wanajidharau kama Watanzania. Inaniuma sana. Nilisoma chuo kimoja nchi fulani ya jirani. Mwanafunzi mmoja tukiwa darasa moja aliniuliza ati Watanzania tunaiogopa nchi yao na watanzania hatujiamini kama wao. Jibu nililompa lilimbadili kufikiria alivyo fikiri. Pia nimezunguka nchi kadhaa raia wengi wako proud na hakuna anaejidharau au kudharau watu wa Taifa lake hata kama wanamigogoro ya ndani wako so proud na utaifa wao. Hivyo Pascal nakuomba utuombe msamaha watanzania kutuita wengi tunauelewa mdogo ktk complex issues kama ulivyosema. Sielewi umetumia kigezo kipi na katika utafiti wako una base yoyote ile kufikia kutudharau watanzania katika uelewa? Huoni umedharau kuanzia wazazi wako, ndugu zako, marafiki na jamii nzima ya watanzania. Ungeweza toa mada yako bila kuonyesha dharau au majivuno yoyote. Si kila mtu akuelewe, Lakini anaweza kukuelewa taratibu atakavyo eleweshwa zaidi. Unapowasilisha mada epuka "defensive mechanism" toa mada Swala la uelewa uja baadae ushawasilisha mada. Watu wakichangia ndo utaelewa kama wamekuelewa au la na wasipokuelewa pengine unanafasi ya kuelewesha kwa lugha nyepesi. Kuelewa au kutokuelewa si tu kwa mpokeaji mada hata mtoa mada anaweza kuwa kawasilisha mada isivyo takiwa na kufanya wapokea mada wasielewe. Kutoelewa kwao kunakuwa kumesababishwa na weye mwenyewe. So hapo nani kafail wewe mwasilishaji au wapokea mada?

Mpaka hapa tulipo naona CDM wapo ndani ya malengo na waendelee hivyo hivyo na ikiwezekana wasitrumie njia ya kususia tu waongeze na mbinu zingine ambazo wanaona zinafaa kwani vita ni vita tu, Kuhusu huyo Pascal wala usihangaike naye kwani hana tofauti na wenzie walamba viatu wa Lumumba
 
Ni ushauri mzuri uliotoa. Tabia ya kususa haisaidii chochote. Chadema wameitumia sana tabia hii, matokeo yake Chadema si ile ya enzi za Slaa. CUF ya wakati ule walisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar. Kuna jambo Maalim Seif kajifunza....ndo maana wakati huu akiwa ACT Wazalendo, hajataka susia serikali ya umoja wa kitaifa. Busara na hekima ni jambo muhimu katika uongozi. Ndo maana Malkia Mrembo toka Ethiopia ya wakati huo alimtembelea mfalme Suleiman walau kuchota hekima. Dhana ya kujiona kwakua weye ni mpinzani basi hukubaliani na lolote lile na kujiona weye ni kila kitu ujenga kiburi na kufanya mtu kuwa na maamuzi ya kukurupuka yasiyo na tafakuri. Chadema wanahitaji kuwa wajanja na kucheza kwa ustadi mkubwa ktk siasa za Tanzania. Wajifunze kwa Raila Ondiga. Aliwahi susia uchaguzi lkn aling'amua kitu. Akajirudi na sasa amewezesha kuwepo kwa mchakato wa BBI. Siasa hazihitaji hasira wala chuki. Siasa hazihitaji kujionesha weye ni mwamba kwani unaweza shupaza shingo ikavunjika ghafla. Chadema wakubali tu matokeo, kutokukubali haiwasaidii na haitowasaidia, zaidi ni kukififisha chama. Kwa wabunge hawa mtazamo wangu wangeonywa, kuonywa ni njia mojawapo katika kutatua mgogoro. Si kila kitu ni fukuza. Chadema miaka yote haijawahi kukubali matokeo. Lakini waliingia bungeni, kila mtanzania anajua. Hivyo kususa kwa sasa hakufanyi watu waione Chadema ni mashujaa bali inajichimbia kaburi lake yenyewe. Watanzania si wajinga. Ni wastaarabu na hawakurupuki ktk maamuzi. Watakushangilia lkn katika nafsi zao wanajua ukweli ni upi. Mandela alifungwa alinyanyaswa si yeyetu bali wafuasi wengi wa ANC wengi waliuliwa, je Mandela aliwahi susa, alikuwa wa kwanza kutangaza msamaha na maelewano, hakulipiza kisasi. Nasema hii kwani viongozi wengi wa Chadema na mashabiki zao upenda kujilinganisha au kumtolea mfano Mandela. Migogoro ya kisiasa ipo hata Ulaya na Marekani, lkn sijawahi sikia kususa, hii tabia wakati tunakua kule kwetu kanda maalum tuliambiwa ni tabia isiyofaa. Ni tabia inayoonesha udhaifu na kutojiamini. Nirejee kwako Pascal sijafurahishwa unapotumia neno Watanzania wanauelewa mdogo. Hii tabia ya baadhi ya watu kujidharau na kujitukana inazidi mea mizizi.Tusijidharau kama Watanzania. Tusjitukane kama Watanzania. Tuwe proud! Sijawahi ona Taifa watu wanajidharau kama Watanzania. Inaniuma sana. Nilisoma chuo kimoja nchi fulani ya jirani. Mwanafunzi mmoja tukiwa darasa moja aliniuliza ati Watanzania tunaiogopa nchi yao na watanzania hatujiamini kama wao. Jibu nililompa lilimbadili kufikiria alivyo fikiri. Pia nimezunguka nchi kadhaa raia wengi wako proud na hakuna anaejidharau au kudharau watu wa Taifa lake hata kama wanamigogoro ya ndani wako so proud na utaifa wao. Hivyo Pascal nakuomba utuombe msamaha watanzania kutuita wengi tunauelewa mdogo ktk complex issues kama ulivyosema. Sielewi umetumia kigezo kipi na katika utafiti wako una base yoyote ile kufikia kutudharau watanzania katika uelewa? Huoni umedharau kuanzia wazazi wako, ndugu zako, marafiki na jamii nzima ya watanzania. Ungeweza toa mada yako bila kuonyesha dharau au majivuno yoyote. Si kila mtu akuelewe, Lakini anaweza kukuelewa taratibu atakavyo eleweshwa zaidi. Unapowasilisha mada epuka "defensive mechanism" toa mada Swala la uelewa uja baadae ushawasilisha mada. Watu wakichangia ndo utaelewa kama wamekuelewa au la na wasipokuelewa pengine unanafasi ya kuelewesha kwa lugha nyepesi. Kuelewa au kutokuelewa si tu kwa mpokeaji mada hata mtoa mada anaweza kuwa kawasilisha mada isivyo takiwa na kufanya wapokea mada wasielewe. Kutoelewa kwao kunakuwa kumesababishwa na weye mwenyewe. So hapo nani kafail wewe mwasilishaji au wapokea mada?
Wewe mataga unahangaika nini na cdm ambayo baba yenu jiwe alishawaambia kuwa cdm imekufa kisa kuwanunua wabunge na madiwani wa upinzani?
 
Mpaka hapa tulipo naona CDM wapo ndani ya malengo na waendelee hivyo hivyo na ikiwezekana wasitrumie njia ya kususia tu waongeze na mbinu zingine ambazo wanaona zinafaa kwani vita ni vita tu, Kuhusu huyo Pascal wala usihangaike naye kwani hana tofauti na wenzie walamba viatu wa Lumumba
Umetisha sana kamanda
 
Mkuu Gerald .M Magembe, asante sana kwa mchango wako wa ushauri huu mstari, "Sio maamuzi yote ya kisiasa unayafanya kwa kupenda au kuyachagua, kuna mengi tuu unalazimishwa na uhalisia wa kisiasa kwa wakati huo", ni maneno mazito sana, na ya ukweli mchungu. Naamini hasira zikipita, Chadema nao will do the right thing!.
P
Hujawahi kuishauri kitu cdm, wewe endelea kujipendekeza kwa sukuma gang wenzio waliobakia
 
Yaani kaka Paskali tokea aitwe bungeni kwenye ile kamati ya maadili anaanidka minyuzi mirefu halafu haina chochote cha maana yaani; sijui tatizo huaga ni nini kwa kweli.
 
Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, tena hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.
Nimeishia hapa we jamaa huna akili.kipindi sophia simba anafukuzwa alikua haja apa?
 
Back
Top Bottom