CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Unatia kichefuchefu......
 
Brother 1. You can't legimise unconstitutional act with a reason 2. You can not make a wrong right with a reason 3. You can't hide a head like an ostrich and pretend that you are hidden. 4.There is a clear demarcation between right and wrong. 5. Be yourself hypocrisy if did not work for you with Mwendazake nduguyo wa kisukuma it will never ever work for you in this life time
 
Unatia kichefuchefu......
Kwa vile nilitoa angalizo hili, hivyo sishangazwi na maoni yako haya!.
Naendelea kusisitiza, hayo majina 19, hayakujipeleka yenyewe NEC, yamepelekwa na watu wa Chadema wenyewe!, ndio maana Chadema hawajaripoti forgery yoyote polisi.

Amini nawaambie, kwenye kikao cha Baraza Kuu, litaletwa azimio la kuwasamehe.
Just wait and see.
P
 
Nimeishia hapa we jamaa huna akili.kipindi sophia simba anafukuzwa alikua haja apa?
Kwa vile nilitoa angalizo hili, hivyo sishangazwi na maoni yako haya!.
Naendelea kusisitiza, hayo majina 19, hayakujipeleka yenyewe NEC, yamepelekwa na watu wa Chadema wenyewe!, ndio maana Chadema hawajaripoti forgery yoyote polisi.

Amini nawaambie, kwenye kikao cha Baraza Kuu, litaletwa azimio la kuwasamehe.
Just wait and see.
P
 
Mkuu elvischirwa , kabla ya kosa la kuidharau CC, jee unaujua utaratibu wa CC ya Chadema kumuita mtu kwa masuala ya nidhamu?. Utaratibu ulifuatwa?. Kwa faida ya wengi, sii wengi wanaijua katiba ya Chadema, hata baadhi ya viongozi wao!.
  1. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?.
  2. Hatua ya kwanza ni kuandaa "Hati ya Mashtaka" kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?.
  3. Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa kutumia "despatch" ili kuthibitisha imemfikia, jee hili lilifanyika?, nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, jee huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?.
  4. Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, jee hili lilifanyika?.
  5. Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi cha CC kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kumpa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee kwenye huo uamuzi wa wabunge 19 hili lilifanyika?, Jee sheria, taratibu na kanuni zilifuatwa?!.
  6. Kanuni ya kwanza ya haki ni "no body is condemned unheard!". Yaani hakuna yoyote atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Kuwahukumu wabunge hao watuhumiwa 19 in "absentia" ni CC ya Chadema kukaa kama a kangaroo court.
  7. Kikao cha Baraza Kuu kitaupindua huu uamuzi wa kikangaroo court wa CC ya Chadema, subirieni!.
P
 
Hao covid 19 ndio wanaotakiwa kwenda mahakamani kulalamika.
Speaker kama amepokea barua ya wabunge wake kuvuliwa uanachama,angewavua ubunge mara moja kuokoa fedha za walipa kodi.
 
Huna tena uhalali wa kuisema chadema maana wewe Ni mwanachama wa CCM
 
Ndugu yangu,
Ushabiki wenu wewe na hata Ndugai ndio umewafanya mupofuke.
Covid 19 walipewa wito RASMI na Kamati Kuu ili kusikilizwa, hata baada ya kubadilishiwa ukumbi wa mkutano kama walivyotaka kutoka makao makuu ya Chama, hawakuja.
Nduguyo Ndugai anaogopa zaidi matokeo ya kikao cha Baraza Kuu.
Kwani huko itajulikana hao watu walifikiaje kuapishwa na Speaker 'MAKINI' wakati hapakuwa na uteuzi wa majina ya akina Dada hao, uliofanyika ndani ya CHADEMA.
Ndio maana anabwabwaja ovyo. Sikujua kama nawe una uoga huohuo.
Au NDO bado upo kwenye stahili zako zilezile za vitisho hewa kama vya Lwakatare kumwaga mboga?
 
Kutumia anonymous ID Kuna faida zake especially Kama mtu ni mfuasi wa CCM. Utapunguza idadi ya wanaokuchukia.
 
Wewe uliyekubali kununuliwa kwa vipande 30 ukakubali matokeo una nini cha kujivunia?
 
Wamekutumia kama ganda la muwa na sasa wamekuwacha kama walivyo kukuta na zaidi zaidi umeongeza maadui
 
Nyaraka hazikuwa na maana ya "kuomba msamaha" kama Zitto alivyoamua kupotosha umma mbele ya Rais.
Na Yericko Nyerere
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza hongera kwa andiko zuri, wewe ni mwandishi mzuri, una kipaji cha uandishi, tatizo lako ni dogo tuu, ambalo kwangu naliona kama ndio tatizo kuu la Chadema, kama mngelitatua saa hizi, siku nyingi Chadema ingekuwa Ikulu.

Tatizo lako wewe na wengi wenu ni low IQ, kwa kifupi Chadema ina vilaza sana!. Umeandika bandiko hili refu refu lote kwa ukilaza tuu wa low IQ kushindwa kuona Zitto alisema nini!. Vilaza kama wewe mliotamalaki Chedema ndio mnakifanya Chadema kuendelea kuwa ni chama cha kiharakati badala ya chama tawala in waiting!.

Aliyezungumzia kusameheana kupo ni rais Mama Samia, usimlishe Zitto maneno!. Kama hukumwelewa Zitto, sema tukueleweshe!.

Ukipata nafasi, nunua gazeti la Nipashe la leo, nenda ukurasa wa 7, kuna kitu kinakuhusu.

Jumapili Njema.
P
 
Unaweza ukatuambia maana ya jibu alilokupa Jiwe kuwa kuna mhimili umejichimbia ndani ndani zaidi alikua na maana gani?

Kwahiyo unakiri pia awamu ya jiwe na huyu mama hakuna "checks and balances"
 
Kumbe Chadema ni stable kuliko wengi walivyofikiria na hawana ruzuku .
 
Umevurugwa wewe na kinacho kusumbua ni kutupwa na umri.
 
Mara PAA!! uteuzi.. KATIBU KATA kata ya isalaMagazi.. Sipati picha utavojidai πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…