CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Mkuu mdudu , ni mambo madogo madogo kama haya, yanakifanya Chadema kuonekana very incompetent, suppose kungetokea muujiza Chadema ikashinda uchaguzi, ingetawalaje nchi huku vitu vidogo vidogo kama hivi inashindwa?!

Barua hiyo ya Chadema inasema wabunge hao 19, wamejiteua!. Jee Chadema wanajua barua ya uteuzi wa wabunge hao imeandikwa na nani?, imesainiwa na nani?, imepelekwa na nani?.

Namhurumia sana JJ.Mnyika, he just doesn't know the games people plays!.

Kabla ya kikao cha ile CC kangaroo court ya Chadema, JJ.Mnyika should have done a due diligence report kujua barua ya uteuzi wa majina hayo imeandikwa na nani? imesainiwa na nani? imepelekwa na nani?. Kama sio bonafide genuine Chadema leaders, then ni forgery, lkama ni forgery, then it's a police case, Chadema ilipaswa kuripoti polisi jinai hiyo, na jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jinai hiyo.
Na baada tuu ya ile kangaroo court kikao cha Baraza Kuu kilipaswa kuitishwa to conclude this matter!.
Kama mnadhani Chadema hawajaripoti hii jinai kwa bahati mbaya, na mpaka sasa kikao cha Baraza Kuu hakijaitishwa kwa bahati mbaya tuu, endelea kuamini hivyo!. I'm sure by now, JJ.Mnyika knows the name of the games people plays!.
P
Wewe mzee umezeeka vibaya Sana na sizani hizo teuzi unazozifukuzia utazipata. Chadema imesha wafukuza uanachama hao ndugu zenu ninyi mmewang'ang'ania hao Wana wa haramu kwa mapenzi yapi? Mbona walipo fukuzwa wabunge wa CUF na Lipumba hamkusubiria Mkutano mkuu uitishwe ili hali walipinga kufukuzwa?

Hiyo huruma ya kuwa na wabunge wa Chadema mnaitoa wapi ili hali mmewatandika Risasi na kuwavunja miguu na mikono? Kazi ya kuthibitisha jinai ni ya Chadema au Serikali? Mbona ktk kesi ya urongo ya michongo ya Ugaidi hewa mmeichangamkia kufungua kesi wakati ushaidi ni wa kubumba? Mmeshindwa nini kufungua kesi dhidi ya madai ya Chadema kuwa imefanyika fojari za hao wabunge hewa?
 
Wewe mzee umezeeka vibaya Sana na sizani hizo teuzi unazozifukuzia utazipata. Chadema imesha wafukuza uanachama hao ndugu zenu ninyi mmewang'ang'ania hao Wana wa haramu kwa mapenzi yapi? Mbona walipo fukuzwa wabunge wa CUF na Lipumba hamkusubiria Mkutano mkuu uitishwe ili hali walipinga kufukuzwa?

Hiyo huruma ya kuwa na wabunge wa Chadema mnaitoa wapi ili hali mmewatandika Risasi na kuwavunja miguu na mikono? Kazi ya kuthibitisha jinai ni ya Chadema au Serikali? Mbona ktk kesi ya urongo ya michongo ya Ugaidi hewa mmeichangamkia kufungua kesi wakati ushaidi ni wa kubumba? Mmeshindwa nini kufungua kesi dhidi ya madai ya Chadema kuwa imefanyika fojari za hao wabunge hewa?
Hata hueleweki, Badala ya kukihoji chama chako chenye matumizi hewa mpaka mnashindwa kufanya mkutano unataka pasco awafungulie kesi?
 
Chadema imesha wafukuza uanachama hao ndugu zenu ninyi mmewang'ang'ania hao Wana wa haramu kwa mapenzi yapi?

Mmeshindwa nini kufungua kesi dhidi ya madai ya Chadema kuwa imefanyika fojari za hao wabunge hewa?
Mkuu Lituye, kuna jinai za aina mbilil, public crimes na private crimes, public crimes ni pale jinai inapofanyika against the public, ndipo jeshi la polisi linajichukulia sheria to act lenyewe.

Lakini kwa private crimes zote, lazima mtendewa akaripoti police ndipo hatua zichukuliwe. Kwani Lissu alipoitisha press conference kutangaza kuwa anafuatiliwa na hadi kutaja number za gari, jeshi la polisi walifanya nini?. They did nothing kwasababu Lissu was supposed kuripoti polisi na sio kuitisha press conference!.

Polisi wa doria wakisikia unampiga mkeo nae analia kwa sauti kubwa, hawatabisha hodi kwako kuingilia kati unless mtu toka ndani kwako aripoti ndipo polisi waingilie.

Hata ukiingiliwa na majambazi ukavunjiwa ukaibiwa, ni jukumu lako wewe uliyeibiwa kwenda kuripoti polisi!. Hata police wakipita nje wakaona mlango wa nyumba yako umevunjwa kwa fatuma, hawaji kuuliza au kuchunguza shurti uripoti ndipo hatua zichukuliwe!.

Forgery ni public crime na private crime, ukifanya forgery ya public, police itaingilia kati na kuchunguza, lakini kwa private forgery kama hiyo forgery ya wabunge wanawake 19 wa viti maalum Chadema, ni private forgery, Chadema ilipaswa kuripoti police ndipo uchunguzi uanze!.
Chadema msilee incompetence under any excuses, ndio maana watu wenye akili zao timamu kamwe hawawezi kuwapa nchi!. Niliwahi kuuliza humu.

Ukiwa na madai ya tuhuma yoyote kama hii tuhuma ya Chadema kudai majina ya wabunge wake 19 wa viti maalum yamepelekwa kwa forgery, then kanuni ya "the one who alleges, must prove" inatumika!. Siku watu mkionyeshwa hiyo barua iliyowapeleka Bungeni imeandikwa na nani na imesainiwa na nani, watu mtabaki midomo wazi!.

Kiukweli kabisa Chadema, bado ni chama cha kiharakati, safari ya kuja kuwa chama tawala, bado sana!.
P
 
Mayala = Njaa
Mkuu Lituye, kuna jinai za aina mbilil, public crimes na private crimes, public crimes ni pale jinai inapofanyika against the public, ndipo jeshi la polisi linajichukulia sheria to act lenyewe.

Lakini kwa private crimes zote, lazima mtendewa akaripoti police ndipo hatua zichukuliwe. Kwani Lissu alipoitisha press conference kutangaza kuwa anafuatiliwa na hadi kutaja number za gari, jeshi la polisi walifanya nini?. They did nothing kwasababu Lissu was supposed kuripoti polisi na sio kuitisha press conference!.

Polisi wa doria wakisikia unampiga mkeo nae analia kwa sauti kubwa, hawatabisha hodi kwako kuingilia kati unless mtu toka ndani kwako aripoti ndipo polisi waingilie.

Hata ukiingiliwa na majambazi ukavunjiwa ukaibiwa, ni jukumu lako wewe uliyeibiwa kwenda kuripoti polisi!. Hata police wakipita nje wakaona mlango wa nyumba yako umevunjwa kwa fatuma, hawaji kuuliza au kuchunguza shurti uripoti ndipo hatua zichukuliwe!.

Forgery ni public crime na private crime, ukifanya forgery ya public, police itaingilia kati na kuchunguza, lakini kwa private forgery kama hiyo forgery ya wabunge wanawake 19 wa viti maalum Chadema, ni private forgery, Chadema ilipaswa kuripoti police ndipo uchunguzi uanze!.
Chadema msilee incompetence under any excuses, ndio maana watu wenye akili zao timamu kamwe hawawezi kuwapa nchi!. Niliwahi kuuliza humu.

Ukiwa na madai yoyote kama hii ya Chedema kudai imefanyika forgery kwa wabunge wale, the one who alleges, must prove!.

Kiukweli kabisa Chadema bado sana!.
P
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepoteza dira, kimepotea njia, na hakina mwelekeo, hivyo kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wenzetu wengi kwenye complex issues kama hii, ni uelewa mdogo!, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.

Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa

A Way Forward Kwa Chadema

Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, ni sio tuu, hailitambui Bunge, bali pia, hawamtambui Rais wa JMT. Hivyo hawana haja ya kuandika barua popote, na maadam, hawalitambui Bunge, basi iachane na hao wabunge wa Spika. Lakini kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo ionyeshe kuwa Chadema wamefanya due diligence na kubaini majina hayo yamefojiwa, hivyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, ni mambo ya ndani ya chama, kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, then hao wabunge 19 wa Chadema, hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.

Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update ya Mchango Very Objective

Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P

P Ni mtu wa hovyo sana
 
Mkuu mdudu , ni mambo madogo madogo kama haya, yanakifanya Chadema kuonekana very incompetent, suppose kungetokea muujiza Chadema ikashinda uchaguzi, ingetawalaje nchi huku vitu vidogo vidogo kama hivi inashindwa?!

Barua hiyo ya Chadema inasema wabunge hao 19, wamejiteua!. Jee Chadema wanajua barua ya uteuzi wa wabunge hao imeandikwa na nani?, imesainiwa na nani?, imepelekwa na nani?.

Namhurumia sana JJ.Mnyika, he just doesn't know the games people plays!.

Kabla ya kikao cha ile CC kangaroo court ya Chadema, JJ.Mnyika should have done a due diligence report kujua barua ya uteuzi wa majina hayo imeandikwa na nani? imesainiwa na nani? imepelekwa na nani?. Kama sio bonafide genuine Chadema leaders, then ni forgery, lkama ni forgery, then it's a police case, Chadema ilipaswa kuripoti polisi jinai hiyo, na jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jinai hiyo.
Na baada tuu ya ile kangaroo court kikao cha Baraza Kuu kilipaswa kuitishwa to conclude this matter!.
Kama mnadhani Chadema hawajaripoti hii jinai kwa bahati mbaya, na mpaka sasa kikao cha Baraza Kuu hakijaitishwa kwa bahati mbaya tuu, endelea kuamini hivyo!. I'm sure by now, JJ.Mnyika knows the name of the games people plays!.
P
Spika ccm,police ccm,rais ccm,jaji ccm,wewe ccm ulitegemea nini???? Kwa nini uwape CHADEMA lawama wakati hawahusiki kwa chochote na lolote.Hiyo ni laana ndugu yangu sema ccm chini ya nduli mwendazake walishajipanga kisawasawa kwa sababu ya udhaifu wa donor countries kuwapendelea pendelea wanawake ndiyo maana walipenya kirahisi kwa sababu ya pesa.
 
Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.

Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina

Source: Raia Mwema
Hili likifanyika ni jambo jema, hivi ndivyo nilivyoshauri hapa katika uzi huu.
P
 
kipigo kitakatitifu kipi?uchaguzi haukuwa uhuru..unakuja tu hapa na mitako yako unatingisha eti kipigo.....nenda katingishe mitako yako huko uje hoja za maana..nyau we
 
Wanabodi,

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kwamba tayari wanachama wake 19 waliofukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho wameshapelekewa wito wa kwenda kusikiliza matokeo ya rufaa yao waliyoikata siku ya Mei 11, 2022.
Hiki ni kikao muhimu sana, na kitakwenda kujenga heshima kubwa kwa Chadema kama chama cha siasa chenye vikao,kinachoendesha mambo yake kwa kufuata katiba yake!. Haiwezekani chama, an established party kukaa kama a kangaroo court na kufanya maamuzi ya kiajabu ajabu !.
P
 
Hiki ni kikao muhimu sana, na kitakwenda kujenga heshima kubwa kwa Chadema kama chama cha siasa chenye vikao,kinachoendesha mambo yake kwa kufuata katiba yake!. Haiwezekani chama, an established party kukaa kama a kangaroo court na kufanya maamuzi ya kiajabu ajabu !.
P
Rufaa ni 6 tu so 13 mpaka sasa wamekubali matokeo!!! However wakija mbele ya Baraza kuu na kupiga magoti na kuomba msamaha kama Kafulila au Zitto 2011 basi watasemehewa ila ubunge watapisha tu maana hawakuingia kisheria kiufupi jinai ipo!!!

Walikubali huo mfumo wataleta precedence mbaya sana huku mbele, itafika siku watu watachukua fomu ya Urais na kuipeleka kimya kimya NEC bila hata kupigiwa kura na Kamati kuu!!! Ukiuliza utaambiwa Mbona kina Mdee walifoji fomu za ubunge mkawabariki!!

Wasamehewe ila ubunge wavuliwe.
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepoteza dira, kimepotea njia, na hakina mwelekeo, hivyo kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Karibu tena.
P
Ubunge wa Spika mwisho Leo, kuanzia kesho ama wafungue kesi na kuendelea kuwa wabunge wa mahakama, ama wakubali matokeo na kuisubiria karma.
P
 
Ubunge wa Spika mwisho Leo, kuanzia kesho ama wafungue kesi na kuendelea kuwa wabunge wa mahakama, ama wakubali matokeo na kuisubiria karma.
P
Bwana P. Umezingumzia sana kuhusu Karma. Na umeonyesha wengi wa waliofukuzwa ktk Cdm kwa makosa mbalimbali walivyokumbatiwa na serkali na ccm kwa kuzawadiwa nyadhifa mbalimbali au ulaji, na umetabali na hao Covid 19 nao watazawadiwa udc,Rc na hata ubalozi na nafasi nyinginezo, KWAKO UNAONA NI KARMA INAWALIPA HUKU UKISAU KUWA ALIYEKUTUMA KUTENDA UOVU KWA MAKUBALIANO ATAKUPA VIPANDE 30 MLIVYOKUBALIANA, WEWE HUO KWAKO NI USHUJAA. Nimesikitishwa sana nawewe ulisaliti hapo uko unasubilia uteuzi, . Huo ni ubinafisi. Watazawadiwa lakini Cdm wamelinda heshima ya chama Chao. Wabinafsi kama wewe na hao COVID 19 hamfai, endeleeni kusubili VIPANDE 30
 
Wanabodi,

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
Wanabodi,

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
 
  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
Labda kiongozi huyo ni wewe
 
Magufuli alitueleza maana ya Mayalla ni njaa, ingawa Magufuli alikuwa ni baba wa uongo ila kwa hili la Mayalla alitueleza kweli tupu.
kabisa aiseee wanamjua vizuri sana jamaa nasikia anagongea hadi beer siku hizi siku hiyo kalewa kaanguka na pikipiki hadi leo mkono mmoja mbovu
 
  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
Yani wajumbe wa baraza kuu la Chadema zaidi ya 400 hawana akili ila wewe mjanjamjanja mmoja magumashi misheni town ndio una akili kuwazidi waliojitengezea wenyewe katiba yao.

Nakushauri si kila jambo ni la kudandia mengine jaribu kukaa kimya halafu soma mabandiko ya manguli waliotetea PhD zao darasani kama Askofu Dr Bagoza ndio utajifunza matumizi mazuri ya akili.
 
Back
Top Bottom